Kilimanjaro: Mwanamke mmoja Amuua mama yake mzazi ili arithi shamba


 

59 yrs bado anagombea urithi? Inasikitisha Sana.
 
Hakumbuki kale kamfuko alikokalia miezi 9 ndani ya tumbo la mama? Inasikitisha, tunaishi na mashetani bila kujua. Ikithibitishwa anyongwe ili akaonane na mama.
 
Binti aliona Bi Mkubwa wake amechelewa kufa (miaka 89) ili awahi urithi 🙌

Wazazi tuna changamoto kubwa ya tishio la kuuawa na Watoto wetu ili warithi mali.

Tujitahidi kuwapatia Elimu bora watoto wetu ili waweze kujitambua kwamba hata Mimi Baba yake, hizo Mali nilizonazo nimezipata Kwa kufanya kazi Kwa bidii pamoja na kujinyima vingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…