Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tutaelewana tu, ngoja tuonyeshane makali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo aiga ya wabunge wagonga meza Bungeni
Hao wagombea 18 waliopitishwa baada ya wapinzani wao kuondolewa ndio ilikuwa hivi wasimamizi walikuwa wanakagua mapungufu ya fomu za wagombea wapinzani wa ccm tuMbona kujaza fomu imekuwa ishu sana. Hv mtu akapeleka hiyo fomu hata kunakitu kasahau haiwezekani akaambiwa rekebisha kipengele flani afu uilete upya? Tume inapaswa kurekebisha haya Mambo.
Mm nikizania ni was mwanafunzi wa nasary mwaka wa mwanzoMwandiko wa Mbunge mbaaya kama nini.
Kushinda zile Jana za upinzaniTume ya uchaguzi itende haki,maana naona kuna hujuma dhidi ya wagombea wa chama cha mapinduzi.
Sheria za gizani za Ndugai. Sasa zina wala waoHii ndio habari mpya iliyotufikia kwa sasa , Kwamba Sehemu " E " inahusu Tamko la kisheria la Mgombea Ubunge , na kwa vile Tadayo hakuisaini maana yake ni kwamba ameshindwa kuthibitisha kuwa anazo sifa za kugombea ubunge kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa 2020 , sehemu "E" haikuwekwa kwenye fomu kama mapambo , ilipaswa kujazwa .
View attachment 1548954
Hahaha mkuu hii account n yako kweliTume ya uchaguzi itende haki,maana naona kuna hujuma dhidi ya wagombea wa chama cha mapinduzi.
Sio kazi ya hakimu kukagua form hakimu anasaini panapomhusu tuLawama zielekezwe kwa Mhe. Hakimu aliyemgongea muhuri na yeye kuweka saini yake. Kwanza angemuomba mgombea kwanza kuweka sahihi yake. sijui hapo atajitetea vipi.
Mapumbavu haya yatamsainisha! Yana roho mbaya kama mashetani!basi ngoja tuone
Hapana kibinadamu angemtaka kwanza aweke saini ndipo Mhe. Hakimu asaini. Wewe una maana kuwa Mhe. Hakimu aliona ila akapuuzia.
Watakua wamemuita asign,jamaa roho yao wamemkabidhi shetani na yesu wa burigiDaah kazi kazi wasije wakamsainisha kimagumashi hao mashetani madednecccm
Tume inamilikiwa na mwenyekiti wako,tulieni tuwatafuneTume ya uchaguzi itende haki,maana naona kuna hujuma dhidi ya wagombea wa chama cha mapinduzi.
Wapare CCM damu. Tofauti na wachagaHuyu ndugu Kilewo alishinda ule uchaguzi uliopita Ila walimchakachua mwaka ule wa 2015, naona awamu hii Mungu atamsaidia atapenya.
YESU NI BWANA!
😆😆😆Tutaelewana tu, ngoja tuonyeshane makali.