Uchaguzi 2020 Kilimanjaro, Mwanga: Henry Kilewo amuwekea pingamizi Mgombea Ubunge wa CCM Joseph Tadayo kwa vile hakusaini sehemu "E"

Uchaguzi 2020 Kilimanjaro, Mwanga: Henry Kilewo amuwekea pingamizi Mgombea Ubunge wa CCM Joseph Tadayo kwa vile hakusaini sehemu "E"

Hii ndio habari mpya iliyotufikia kwa sasa , Kwamba Sehemu " E " inahusu Tamko la kisheria la Mgombea Ubunge , na kwa vile Tadayo hakuisaini maana yake ni kwamba ameshindwa kuthibitisha kuwa anazo sifa za kugombea ubunge kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa 2020 , sehemu "E" haikuwekwa kwenye fomu kama mapambo , ilipaswa kujazwa .

View attachment 1548954
NEC na ccm ndo walewale
 
..jamani Joseph Tadayo amegombea nadhani mara 3 dhidi ya Prof.Jumanne Maghembe.

..sasa safari hii amepenya, then mnataka akatwe kwa makosa madogo-madogo kama hili?

..ndiyo maana nasisitiza wasimamizi na tume wawe WAWEZESHAJI wa wenye nia ya kugombea, kamwe wasiwe kikwazo kwa wenye nia za kugombea nafasi mbalimbali.

cc Kilatha, johnthebaptist , tindo
Kabisa wasimamizi wawe wazeshaji sio kikazwo.

Yaani wananchi wanyimwe haki yao ya kidemokrasia kumchagua kiongozi wanaemtaka kisa ujazaji wa form. Logic says the former is more important than the latter.

Huu utaratibu wa kuenguana kisa form kwakweli ni wa kuupinga mahakamani. Inaondoa dhana nzima ya wananchi kuchagua kiongozi wao.
 
Hii ndio habari mpya iliyotufikia kwa sasa , Kwamba Sehemu " E " inahusu Tamko la kisheria la Mgombea Ubunge , na kwa vile Tadayo hakuisaini maana yake ni kwamba ameshindwa kuthibitisha kuwa anazo sifa za kugombea ubunge kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa 2020 , sehemu "E" haikuwekwa kwenye fomu kama mapambo , ilipaswa kujazwa .

View attachment 1548954

.... an incurably defective jurat ....
Halafu Advocate Tadayo is sooo senior, hakuliona hilo?
Hapa hakuna mjadala, FORM HAIKUKAMILIKA.
 
Back
Top Bottom