Kilimanjaro na Arusha mikoa iliyobarikiwa vipaji vya kila aina

Fanya hima mhandisi.......line ipo wazi sana......
Unajua ungekuwa unasomeka Yaeda tungekutana saa hii maana kuna miundombinu ya kurekebisha pande za nainokanoka kabla sijaingia twn ila nitakufuata hapo Lokki mradi tufanye uharibifu, kaa mkao mhandisi πŸ•ΆπŸ‘œπŸ‘’πŸ’„
 
Unajua ungekuwa unasomeka Yaeda tungekutana saa hii maana kuna miundombinu ya kurekebisha pande za nainokanoka kabla sijaingia twn ila nitakufuata hapo Lokki mradi tufanye uharibifu, kaa mkao mhandisi πŸ•ΆπŸ‘œπŸ‘’πŸ’„

yaani mhandisi nimesha pasi nguo kabisa........ipo hapa tayari........ndula nimeshaikalisha na kiwi.....mambo ni yechuyechu......😜
 
Kuzijua fursa na vipaji in vitu viwili tofauti.
Vipaji vipo:
Kigoma
Mbeya
Sukuma yote mitatu
Pwani.
Wachaga kila kitu kwao ni fursa hapo wamejaliwa ila sio vipaji.
 
Hivi kwanini watu wa huko wanapenda kuiweka hii mikoa kama mkoa mmoja? Kwanini kila mkoa usijivunie vipaji vyakevya mkoa husika mpaka muunganishe halafu ndio mseme vipaji kutoka huko? Kwanini isiwepo list pekee inayojitegemea ya vipaji vya Arusha na nyingine vya Kilimanjaro..mikoa mingine ingekuwa inafanya hivyo hakika mwisho wa siku tungeona Kaskazini kwa vipaji si chochote si lolote mfano Tusem Morogoro,Pwani na Dar es salaam ina vipaji vingi au Kigoma na Rukwa au Lindi na Mtwara..au tuje Mwanza na Mara na shinyanga tuunganishe tuseme mikoa hii ina vipaji vingi...watu wa Arusha na Kilimanjaro wanahisi kama wapi mkoa mmoja vile
 
Mbona huelewek unazunguka tuu ..... Hoja yako ni ipi
 
Sijaona FOOTBALL na ndo nlikuwa nasubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Quality vs Quantity...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana wakawa cio bora Ila nnachojivunia ni kuwa tume cover entertainment industry kwa ujumla Yan kaskazini tunaweza tukasimama sisi km sisi na tukawakilisha vyema
Jaribu tuone...hawa majamaa wakabila Kweli hebu mskie huyu "ETI TUNAWEZA SIMAMA SISI KAMA SISI" rudini Huko mkafanye kazi zenu mbna mnang'ang'ania mikoa ya watu kama mnahisi nyny zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hawanaga huu upuuzi alopost jamaa...diamond au Ali kiba angekuwa Wa kutoka huko kwao tungekoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…