Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Nimesoma habari kuwa RC wa kilimanjaro kafungia kiwanda kinachozalisha pombe aina ya simba kwakuwa si nzuri kwa afya ya binadamu kwakuwa ina asidi nyingi.
Anadai alifika pale kiwandani akachukua sample akaipeleka TBS na majibu yakaja kuwa ile pombe ina asidi kwa kiasi kikubwa.
Sasa najiuliza hawa TBS kazi yao nini?
Yani mpaka RC ajiongeze achukue sample ndo waje na majibu. Na bila shaka hiyo pombe ina nembo ya TBS na wakati wanafungua kiwanda walifuata procedures zote ikowemo TBS na TMDA.
Lakini ina maana hawakukagua hizo sample. Jana tu nilikuwa naongea na jamaa namwambia TZ taasisi nyingi hazifanyi kazi zipo tu kutoa vibali na kukusanya pesa ni kama formalities tu.
Anadai alifika pale kiwandani akachukua sample akaipeleka TBS na majibu yakaja kuwa ile pombe ina asidi kwa kiasi kikubwa.
Sasa najiuliza hawa TBS kazi yao nini?
Yani mpaka RC ajiongeze achukue sample ndo waje na majibu. Na bila shaka hiyo pombe ina nembo ya TBS na wakati wanafungua kiwanda walifuata procedures zote ikowemo TBS na TMDA.
Lakini ina maana hawakukagua hizo sample. Jana tu nilikuwa naongea na jamaa namwambia TZ taasisi nyingi hazifanyi kazi zipo tu kutoa vibali na kukusanya pesa ni kama formalities tu.