Kilimanjaro: Ujumbe wa Kodi wenye picha ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wafika kilele cha Mlima Kilimanjaro

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
MLIMANI KILIMANJARO.jpg
Bendera yenye nembo ya TRA na picha ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa na ujumbe wa kodi wa “TUWAJIBIKE kulipa kodi kwa hiari kwa maendeleo ya Taifa letu” imefika katika kilele cha mlima Kilimanjaro tarehe 09 Desemba, 2024, mlima mrefu kuliko yote Afrika.

Watumishi wa TRA nane (8) wameshiriki kupanda mlima Kilimanjaro mwaka huu katika kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika. TRA imedhamiria kupeleka ujumbe, ulipaji wa kodi ni wajibu wa kila mwananchi mwenye kipato kwa maendeleo ya taifa na kwamba inalipwa kwa hiari na kwa uwajibikaji.
 
Back
Top Bottom