Kilimanjaro: Waendesha bodaboda wamwaga chakula msibani, wadai marehemu alikuwa ananyimwa msosi

Kilimanjaro: Waendesha bodaboda wamwaga chakula msibani, wadai marehemu alikuwa ananyimwa msosi

Zinaongeza mzuka eeh?
Yap ila sifahamu kwa Me wengine si unajua tena inshu za one man's treasure is.....

Binafsi napenda sauti iwe ya chini kiasi (standard) siyo ile ya mpaka majirani wajue humu kuna.....

Karucee please make it low, napenda sana 😋
 
Swali ;

je marehemu amewahi kulalamika kwa madereva bodaboda kuwa yeye hapati chakula? Kama hivyo kitabu kitakatifu kinatuambia "Asiyefanya kazi na asile" inaonekana bdbd wote na marehemu walikuwa wa bhangi Sana kunakitu nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom