Kilimanjaro: Wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mjumbe wa Kibosho Kirima -Titus Kimaro

Kilimanjaro: Wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mjumbe wa Kibosho Kirima -Titus Kimaro

Abdul Said Naumanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2024
Posts
673
Reaction score
1,318
Mahakama ya Rufani ya Tanzania imebariki hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washitakiwa watatu, Ibrahim Abubakar, Salima Abubakar, na Hadija Shio, ambao walikutwa na hatia ya kumuua kikatili aliyekuwa mjumbe wa nyumba kumi huko Kibosho Kirima, Moshi - Kilimanjaro, Mrh. Titus Sebastian Kimaro.

Kulingana na ushaidi uliotolewa katika kesi hii, tukio hilo la kusikitisha lilitokea mnamo tarehe 28 Aprili 2019, majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Kibosho Kirima, Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Mrh. Kimaro, ambaye alikuwa kiongozi wa kitongoji hicho kwa nyazfa ya mjumbe wa nyumba kumi, alifika katika eneo la tukio kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya familia ya washitakiwa na jirani yao aitwaye Joseph.

Pia soma: Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Hata hivyo, hali ilibadilika ghafla wakati washitakiwa walipohisi kuwa Mrh. Kimaro alikuwa na upendeleo upande wa mpinzani wao (Joseph). Wakiwa na hasira kali, washitakiwa walimshambulia kwa kutumia mapanga, mishale na mkuki, na kumsababishia majeraha mengi yaliyosababisha kifo chake.

Mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo mke wa marehemu Regina Titus, binti yao Esther Titus Kimaro, na jirani yao Francis Ferdinand Mwacha, waliona kwa macho yao shambulio hilo la kinyama. Baada ya tukio hilo, polisi walifika katika eneo la tukio ambapo walikamata silaha zilizotumika ikiwemo panga, upinde, mishale 19, na mkuki. Mwili wa marehemu ulisafirishwa hadi Hospitali ya KCMC ambapo uchunguzi wa mwili ulifanyika na kubaini kuwa kifo kilisababishwa na kuvuja damu nyingi kutokana na majeraha ya kukatwa.

Washitakiwa, walipofikishwa mahakamani, walikana mashtaka dhidi yao na kudai kuwa walihusishwa kimakosa katika tukio hilo la mauaji, wakieleza kuwa walikuwa wakikabiliwa na mgogoro wa kidini na majirani zao ambao ulisababisha nyumba yao kuchomwa moto. Licha ya utetezi wao, Mahakama Kuu ilithibitisha hatia yao na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa.

Tarehe 16 August mwaka huu, rufaa yao dhidi ya hukumu hiyo ilitupiliwa mbali na Mahakama ya Rufani ya Tanzania, ambayo iliunga mkono uamuzi wa Mahakama Kuu kwamba ushahidi uliotolewa ulikuwa wa kutosha kuwahusisha washitakiwa na mauaji hayo ya kikatili.​

IMG_5912.jpeg

IMG_5913.jpeg

IMG_5914.jpeg

IMG_5915.jpeg

IMG_5916.jpeg
 

Attachments

  • IMG_5916.jpeg
    IMG_5916.jpeg
    264.4 KB · Views: 7
Mods Payge , Cookie, Mhariri, Active, Moderator na wengine wote, naomba mrudishe kichwa cha habari kilicho kuwepo mwanzo: “Mahakama ya Rufani ya Tanzania Imebariki Uamuzi wa Kunyongwa Hadi Kufa kwa Wahusika wa Kifo cha Aliyekuwa Mjumbe wa Kibosho Kirima, Mrh. Titus Sebastian Kimaro.”

Hii itasaidia kuweka uhalisia na mfanano kati ya kichwa cha habari (subject) na maudhui (content), kwa sababu wahusika walishahukumiwa na Mahakama Kuu tangu mwaka 2022. Hivyo, sio vyema kutumia kichwa cha habari mlichokiweka sasa kuonyesha kuwa watu hao ndio kwanza wamehukumiwa wakati haya ni maamuzi ya rufani yao.​
 
Mods Payge , Cookie, Mhariri, Active, Moderator na wengine wote, naomba mrudishe kichwa cha habari kilicho kuwepo mwanzo: “Mahakama ya Rufani ya Tanzania Imebariki Uamuzi wa Kunyongwa Hadi Kufa kwa Wahusika wa Kifo cha Aliyekuwa Mjumbe wa Kibosho Kirima, Mrh. Titus Sebastian Kimaro.”

Hii itasaidia kuweka uhalisia na mfanano kati ya kichwa cha habari (subject) na maudhui (content), kwa sababu wahusika walishahukumiwa na Mahakama Kuu tangu mwaka 2022. Hivyo, sio vyema kutumia kichwa cha habari mlichokiweka sasa kuonyesha kuwa watu hao ndio kwanza wamehukumiwa wakati haya ni maamuzi ya rufani yao.​
Wand , Bridger na Boqin pia kama mtanisaidia katika hili nitawashukuru🤝​
 
Ibrahim Abubakar, Salima Abubakar, na Hadija Shio, ambao walikutwa na hatia ya kumuua kikatili aliyekuwa mjumbe wa nyumba kumi huko Kibosho Kirima, Moshi - Kilimanjaro, Mrh. Titus Sebastian Kimaro.

Kulingana na ushaidi uliotolewa katika kesi hii, tukio hilo la kusikitisha lilitokea mnamo tarehe 28 Aprili 2019, majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Kibosho Kirima, Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Mrh. Kimaro, ambaye alikuwa kiongozi wa kitongoji hicho kwa nyazfa ya mjumbe wa nyumba kumi, alifika katika eneo la tukio kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya familia ya washitakiwa na jirani yao aitwaye Joseph.

Pia soma: Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Hata hivyo, hali ilibadilika ghafla wakati washitakiwa walipohisi kuwa Mrh. Kimaro alikuwa na upendeleo upande wa mpinzani wao (Joseph). Wakiwa na hasira kali, washitakiwa walimshambulia kwa kutumia mapanga, mishale na mkuki, na kumsababishia majeraha mengi yaliyosababisha kifo chake.

Mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo mke wa marehemu Regina Titus, binti yao Esther Titus Kimaro, na jirani yao Francis Ferdinand Mwacha, waliona kwa macho yao shambulio hilo la kinyama. Baada ya tukio hilo, polisi walifika katika eneo la tukio ambapo walikamata silaha zilizotumika ikiwemo panga, upinde, mishale 19, na mkuki. Mwili wa marehemu ulisafirishwa hadi Hospitali ya KCMC ambapo uchunguzi wa mwili ulifanyika na kubaini kuwa kifo kilisababishwa na kuvuja damu nyingi kutokana na majeraha ya kukatwa.

Washitakiwa, walipofikishwa mahakamani, walikana mashtaka dhidi yao na kudai kuwa walihusishwa kimakosa katika tukio hilo la mauaji, wakieleza kuwa walikuwa wakikabiliwa na mgogoro wa kidini na majirani zao ambao ulisababisha nyumba yao kuchomwa moto. Licha ya utetezi wao, Mahakama Kuu ilithibitisha hatia yao na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa.

Tarehe 16 August mwaka huu, rufaa yao dhidi ya hukumu hiyo ilitupiliwa mbali na Mahakama ya Rufani ya Tanzania, ambayo iliunga mkono uamuzi wa Mahakama Kuu kwamba ushahidi uliotolewa ulikuwa wa kutosha kuwahusisha washitakiwa na mauaji hayo ya kikatili.​

Kobaaz

Cc adriz Accumen Mo darcity hydroxo Mlolongo
 
Mahakama ya Rufani ya Tanzania imebariki hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washitakiwa watatu, Ibrahim Abubakar, Salima Abubakar, na Hadija Shio, ambao walikutwa na hatia ya kumuua kikatili aliyekuwa mjumbe wa nyumba kumi huko Kibosho Kirima, Moshi - Kilimanjaro, Mrh. Titus Sebastian Kimaro.

Kulingana na ushaidi uliotolewa katika kesi hii, tukio hilo la kusikitisha lilitokea mnamo tarehe 28 Aprili 2019, majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Kibosho Kirima, Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Mrh. Kimaro, ambaye alikuwa kiongozi wa kitongoji hicho kwa nyazfa ya mjumbe wa nyumba kumi, alifika katika eneo la tukio kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya familia ya washitakiwa na jirani yao aitwaye Joseph.

Pia soma: Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Hata hivyo, hali ilibadilika ghafla wakati washitakiwa walipohisi kuwa Mrh. Kimaro alikuwa na upendeleo upande wa mpinzani wao (Joseph). Wakiwa na hasira kali, washitakiwa walimshambulia kwa kutumia mapanga, mishale na mkuki, na kumsababishia majeraha mengi yaliyosababisha kifo chake.

Mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo mke wa marehemu Regina Titus, binti yao Esther Titus Kimaro, na jirani yao Francis Ferdinand Mwacha, waliona kwa macho yao shambulio hilo la kinyama. Baada ya tukio hilo, polisi walifika katika eneo la tukio ambapo walikamata silaha zilizotumika ikiwemo panga, upinde, mishale 19, na mkuki. Mwili wa marehemu ulisafirishwa hadi Hospitali ya KCMC ambapo uchunguzi wa mwili ulifanyika na kubaini kuwa kifo kilisababishwa na kuvuja damu nyingi kutokana na majeraha ya kukatwa.

Washitakiwa, walipofikishwa mahakamani, walikana mashtaka dhidi yao na kudai kuwa walihusishwa kimakosa katika tukio hilo la mauaji, wakieleza kuwa walikuwa wakikabiliwa na mgogoro wa kidini na majirani zao ambao ulisababisha nyumba yao kuchomwa moto. Licha ya utetezi wao, Mahakama Kuu ilithibitisha hatia yao na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa.

Tarehe 16 August mwaka huu, rufaa yao dhidi ya hukumu hiyo ilitupiliwa mbali na Mahakama ya Rufani ya Tanzania, ambayo iliunga mkono uamuzi wa Mahakama Kuu kwamba ushahidi uliotolewa ulikuwa wa kutosha kuwahusisha washitakiwa na mauaji hayo ya kikatili.​


Mume aelezea upande wake mkasa mzima wa familia yake yaani mke na watoto wake kupata kesi hii :

View: https://m.youtube.com/watch?v=4NkQ-wfmpmw

Dr. Bilal daktari wa binadamu mzaliwa wa Ulanga Mtimbira Morogoro, msomi wa chuo cha Athens Greece digrii ya dini Doctor of Divinity na baadaye kuendelea na masomo ya udaktari wa binadamu Uingereza ......

Mwaka 2019 April 28 Dr. Bilal alipigiwa simu iliyobadili maisha yake ...
Source : millard ayo

Na pia :
Soma zaidi undani wa kesi na hukumu : Source :

Ibrahim Abubakar & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 147 of 2022) [2024] TZCA 752 (16 August 2024)​



When the matter was called on for hearing, the appellants were
represented by a battery of practitioners. These were Messrs. Mashaka
Ngole, David Shilatu, Dominicus Nkwera, Desderius Hekwe, Hamisi
Mayombo and Ms. Lilian Mushemba, all learned counsel. On its part, the
respondent Republic enlisted the services of Ms. Rose Suite, learned
Senior State Attorney, assisted by Mr. Isack Mangunu, learned State
Attorney. It Is instructive that, in the course of the submissions by the
counsel for the appellants, grounds seven and eight were abandoned,
leaving the appeal with seven grounds which were argued by Messrs
Ngole and Nkwera, while the rejoinder was done by Mr. Hekwe.
The appellants' gravamen of complaint in ground one was that
assessors who sat with the learned trial Judge were not sufficiently
summed up consistent with the requirement of section 298 (1) of the
Criminal Procedure Act (CPA). Mr. Ngole's argument, which was seriously
contested by the respondent's counsel, was that vital points of law and
substance of the evidence were not stated. This included the ingredients
of murder, the question of standard of proof and the person on whose
shoulders the burden of proof lies. Mr. Ngole further contended that
matters of credibility of witnesses, and the defence testimony adduced by
the appellants were also left unguided. He contended that, whils

Page 6

Tafsiri ya layman wa JF asiye kuwa msomi wa sheria :
Kesi hiyo ilipoitishwa kusikilizwa, warufani walikuwa
wanawa kilishwa na jopo la mawakili wasomi . Hawa walikuwa mabwana Mashaka
Ngole, David Shilatu, Dominicus Nkwera, Desderius Hekwe, Hamisi
Mayombo na Bi Lilian Mushemba, wote ni mawakili wasomi.

Kwa upande wake,mhojiwa Jamhuri aliandikisha huduma za Bi. Rose Suite, mwanasheria msomi mwenye cheo cha
Mwanasheria Mwandamizi wa Serikali, akisaidiana na Bw. Isack Mangunu, wakili msomi wa ofisi ya Mwanasheria wa Serikali . Ni jambo la kuelimisha kwamba, wakati wa mawasilisho na
mawakili wa warufani, sababu saba na nane ziliachwa,
wakiacha rufaa hiyo ikiwa na sababu saba ambazo zilijadiliwa na Mhe. Ngole na Nkwera, huku rejoinder ikifanywa na Mheshimiwa Hekwe.
Gravamen ya warufani ya malalamiko katika msingi moja ilikuwa kwamba wakaguzi waliokaa na Jaji msomi wa kesi hawakuwa vya kutosha
muhtasari wa matakwa ya kifungu cha 298 (1) cha
Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA). Hoja ya Mheshimiwa Ngole, ambayo ilikuwa nzito iliyopingwa na wakili wa mlalamikiwa, ilikuwa kwamba mambo muhimu ya sheria na kiini cha ushahidi hakijaelezwa. Hii ni pamoja na viungo ya mauaji, suala la kiwango cha uthibitisho na mtu ambaye mabega yake yalitwishwa mzigo wa ushahidi unaotakiwa usiwe na shaka hata kidogo. Bw.Ngole alizidi kudai kuwa masuala ya uaminifu wa mashahidi, na ushahidi wa upande wa utetezi uliotolewa na ...

Page 6
Source :

Ibrahim Abubakar & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 147 of 2022) [2024] TZCA 752 (16 August 2024)​

 
Mume aelezea upande wake mkasa mzima wa familia yake yaani mke na watoto wake kupata kesi hii :

View: https://m.youtube.com/watch?v=4NkQ-wfmpmw

Dr. Bilal daktari wa binadamu mzaliwa wa Ulanga Mtimbira Morogoro, msomi wa chuo cha Athens Greece digrii ya dini Doctor of Divinity na baadaye kuendelea na masomo ya udaktari wa binadamu Uingereza ......

Mwaka 2019 April 28 Dr. Bilal alipigiwa simu iliyobadili maisha yake ...
Source : millard ayo

Na pia :
Soma zaidi undani wa kesi na hukumu : Source :

Ibrahim Abubakar & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 147 of 2022) [2024] TZCA 752 (16 August 2024)​



When the matter was called on for hearing, the appellants were
represented by a battery of practitioners. These were Messrs. Mashaka
Ngole, David Shilatu, Dominicus Nkwera, Desderius Hekwe, Hamisi
Mayombo and Ms. Lilian Mushemba, all learned counsel. On its part, the
respondent Republic enlisted the services of Ms. Rose Suite, learned
Senior State Attorney, assisted by Mr. Isack Mangunu, learned State
Attorney. It Is instructive that, in the course of the submissions by the
counsel for the appellants, grounds seven and eight were abandoned,
leaving the appeal with seven grounds which were argued by Messrs
Ngole and Nkwera, while the rejoinder was done by Mr. Hekwe.
The appellants' gravamen of complaint in ground one was that
assessors who sat with the learned trial Judge were not sufficiently
summed up consistent with the requirement of section 298 (1) of the
Criminal Procedure Act (CPA). Mr. Ngole's argument, which was seriously
contested by the respondent's counsel, was that vital points of law and
substance of the evidence were not stated. This included the ingredients
of murder, the question of standard of proof and the person on whose
shoulders the burden of proof lies. Mr. Ngole further contended that
matters of credibility of witnesses, and the defence testimony adduced by
the appellants were also left unguided. He contended that, whils

Page 6


Source :

Ibrahim Abubakar & Others vs Republic (Criminal Appeal No. 147 of 2022) [2024] TZCA 752 (16 August 2024)​


Aisee
 
Mahakama ya Rufani ya Tanzania imebariki hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washitakiwa watatu, Ibrahim Abubakar, Salima Abubakar, na Hadija Shio, ambao walikutwa na hatia ya kumuua kikatili aliyekuwa mjumbe wa nyumba kumi huko Kibosho Kirima, Moshi - Kilimanjaro, Mrh. Titus Sebastian Kimaro.

Kulingana na ushaidi uliotolewa katika kesi hii, tukio hilo la kusikitisha lilitokea mnamo tarehe 28 Aprili 2019, majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Kibosho Kirima, Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Mrh. Kimaro, ambaye alikuwa kiongozi wa kitongoji hicho kwa nyazfa ya mjumbe wa nyumba kumi, alifika katika eneo la tukio kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya familia ya washitakiwa na jirani yao aitwaye Joseph.

Pia soma: Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Hata hivyo, hali ilibadilika ghafla wakati washitakiwa walipohisi kuwa Mrh. Kimaro alikuwa na upendeleo upande wa mpinzani wao (Joseph). Wakiwa na hasira kali, washitakiwa walimshambulia kwa kutumia mapanga, mishale na mkuki, na kumsababishia majeraha mengi yaliyosababisha kifo chake.

Mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo mke wa marehemu Regina Titus, binti yao Esther Titus Kimaro, na jirani yao Francis Ferdinand Mwacha, waliona kwa macho yao shambulio hilo la kinyama. Baada ya tukio hilo, polisi walifika katika eneo la tukio ambapo walikamata silaha zilizotumika ikiwemo panga, upinde, mishale 19, na mkuki. Mwili wa marehemu ulisafirishwa hadi Hospitali ya KCMC ambapo uchunguzi wa mwili ulifanyika na kubaini kuwa kifo kilisababishwa na kuvuja damu nyingi kutokana na majeraha ya kukatwa.

Washitakiwa, walipofikishwa mahakamani, walikana mashtaka dhidi yao na kudai kuwa walihusishwa kimakosa katika tukio hilo la mauaji, wakieleza kuwa walikuwa wakikabiliwa na mgogoro wa kidini na majirani zao ambao ulisababisha nyumba yao kuchomwa moto. Licha ya utetezi wao, Mahakama Kuu ilithibitisha hatia yao na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa.

Tarehe 16 August mwaka huu, rufaa yao dhidi ya hukumu hiyo ilitupiliwa mbali na Mahakama ya Rufani ya Tanzania, ambayo iliunga mkono uamuzi wa Mahakama Kuu kwamba ushahidi uliotolewa ulikuwa wa kutosha kuwahusisha washitakiwa na mauaji hayo ya kikatili.​

Wote ni wa chama kile cha kijani.

Hawa watu si watu
 
Back
Top Bottom