Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

Hii si Tanzania ninayeijua mimi. Huku ndiko serikali iliyoko madarakani inakotupeleka.

Nasikia kuna swala humu Jamii F "Kama kuna anayejua hii serikali inakotupeleka". Majibu yapo tofauti ila uhakika ni kuwa ushahidi wa wapi dereva anatupeleka umo katika THREAD HII.
 
Ni ngumu kuamini kuwa walifanya haya bila baraka kutoka juu.
Waache watu wadanganyike. Hao watakuwa ni hawa TISS mazwazwa wa siku hizi. Wamewakana kiuongo. Mambo yataisha na watapangiwa kazi nyingine. Hivi ni vile vikosi vinavyozunguka kutesa na kuua watu wenye misimamo tofauti na Magufuli. Nadhani huenda walikuwa wanamfuatilia Mbatia kumkumbusha maagano na fedha aliyopewa alipoenda ikulu ili atengeneza upinzani fake. Kipindi hicho Magufuli na watu wake walishapiga mahesabu wakaona waitumie CUF na Lipumba na NCCR na Mbatia kutengeneza upinzani fake huku wakidhani Chadema imeshakufa na haitafufuka tena. Mbatia asipoangalia wanaweza kumuua kwani inaoneka ameshindwa kutimiza aliyoahidi wakati fungu alishakatiwa.
 
Nadhani aliekimbia ni YEHODAYA.
 
Yeye anapewa hela za usajili anaenda kumsainisha Joseph selasini?
Yeremia Maganja?

Hawapati mbunge hata moja hawa Nccr mageuzi pia Cuf
 
Hawa wanafanya kazi kwenye kitengo sawa na cha sabaya.
Sabaya mkuu wa wilaya ya hai aliwahi kamatwa kama hawa ila cha ajabu sasa hivi eti ni mkuu wa wilaya.
Kwa Tanzania ya leo niseme tu kwamba Idd Amini alikuwa na afadhali kwa sababu ya zama alizoishi.
 
Tuko busy kidogo na JamboLetu hapa Kawe
Kawe kuna nini tena huko?
mbona Gwajima anajilipua hajui maana ya Askofu ni Kiongozi wa Kiroho
anajifananisha na Alhaji Ali Hassan Mwinyi aliyeenda Hijja
Gwajima anajua majina ni kujipachika tu
Kawe mmeshikwa pabaya na Halima, hao wote wa Tanganyika Parkcers sio wapiga kura , mmepelekwa na magari
wenye vichionjio wanawaona subirini tarehe yenu
 
Ni kweli kumekua na utaratibu wa kila office ya CCM za kila mtaa kuandaa costa zinazotosheleza wanachama wake kuwapeleka kwenye shughuli za kichama na kuwarudisha majumbani

Wamejipanga kweli kweli
 
Watu hao waliokuwa wakijitambulisha maeneo mengi kuwa wao ni Usalama wa Taifa na wakati mwingine wakidai wao Askari wa Jeshi la Polisi hatimaye baada ya kukamatwa na kuhojiwa imedaiwa ni watu kutoka kitengo cha ‘Maadili na Usalama’ ndani ya CCM kutoka ofisi ndogo ya CCM Lumumba.

Baada ya kupekuliwa.......
 
Safi sana police wetu. Wachunguzwe waeleze kila kitu na wengine wanaohusika wakamatwe woteee
 
Miongoni mwa mateso hayo ni kuingiziwa mti sehemu ya haja kubwa, kuminywa korodani kwa koleo, kujaribu kuwang’oa meno kwa koleo, mmoja kukatwa sikio na wote kuteswa kwa kupigwa na shoti ya umeme.
 
Baada ya kupekuliwa, watu hao walikutwa na nambari za magari tofauti tofauti na silaha mbalimbali zikiwamo koleo zinazodaiwa kutumika kuwatesa makada wa upinzani waliotekwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…