Pre GE2025 Kilimanjaro: Wananchi Same wamkataa mbunge David Mathayo, wasema haonekani jimboni na bungeni

Pre GE2025 Kilimanjaro: Wananchi Same wamkataa mbunge David Mathayo, wasema haonekani jimboni na bungeni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika ziara ya Mwenezi wa CCM, Paul Makonda Wananchi jimbo la Same wameonesha kutokuwa na imani na mbunge wao, ambapo wamedai kuwa mbunge huyo amekuwa akirudisha nyuma maendeleo ya jimbo hilo hasa kwa kuwagawa vijana na watu. Wamemnukuu Hayati Nyerere kuwa ili maendeleo yawepo lazima kuwepo na SIASA SAFI, lakini mbunge huyo amekuwa chanzo cha kukwamisha maendeleo.

Wananchi hao wameendelea kudai kuwa mbunge wao huyo amekuwa haonekani bungeni jambo ambalo linawapa wasiwasi wananchi hao. ''Hapa tuna Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi hatuna Mbunge, Jimboni hayupo na Bungeni Hayupo anawagawa wananchi"

View attachment 2879588
Hili Jina la huyu mbunge sijawahi kulisikia huko mjengoni hata mchango wa Aina yeyote hajawahi kutoa.
Mimi sio muumini wa siasa sana ila huwa nasikiza sana bunge michango yao!
Bumge hatuna kabisa la Hovyo mno na ukizingatia Kuna wabunge feki!!
 
Katika ziara ya Mwenezi wa CCM, Paul Makonda Wananchi jimbo la Same wameonesha kutokuwa na imani na mbunge wao, ambapo wamedai kuwa mbunge huyo amekuwa akirudisha nyuma maendeleo ya jimbo hilo hasa kwa kuwagawa vijana na watu. Wamemnukuu Hayati Nyerere kuwa ili maendeleo yawepo lazima kuwepo na SIASA SAFI, lakini mbunge huyo amekuwa chanzo cha kukwamisha maendeleo.

Wananchi hao wameendelea kudai kuwa mbunge wao huyo amekuwa haonekani bungeni jambo ambalo linawapa wasiwasi wananchi hao. ''Hapa tuna Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi hatuna Mbunge, Jimboni hayupo na Bungeni Hayupo anawagawa wananchi"

View attachment 2879588
Huyo Mbunge kachoka hata yeye Wala hana Mpango wa Kugombea tena anamalizia maokoto yake tuu Kwa nini ajitese?

Mathayo ana miaka zaidi ya 20 kwenye Ubunge
 
Hili Jina la huyu mbunge sijawahi kulisikia huko mjengoni hata mchango wa Aina yeyote hajawahi kutoa.
Mimi sio muumini wa siasa sana ila huwa nasikiza sana bunge michango yao!
Bumge hatuna kabisa la Hovyo mno na ukizingatia Kuna wabunge feki!!
Aliwahi kuwa Waziri/NW na hana Mpango wa Ubunge tena alishachoka kufanya siasa.
 
CCM hii style ya BASHITE itazidi kuwachafua..UPINZANI wakituliza kichwa wakaidaka na kuifanyia kazi,MMEKWISHA!
Wapinzani watafanya nini Sasa maana hakuna siku watapata Serikali hivyo Wananchi wanajua wapi wapeleke shida zao.

Mbowe alikuwa Rukwa akaambiwa wanavamiwa aliasaidia Kwa lipi? Makonda anaweza mpigia simu yeyote na akatoa majibu.

Makonda akilalamika Rais anatengua na Rais kampa hiyo kazi baada ya kuona Wasaidizi wanadanganya.
 
Back
Top Bottom