Kilimo biashara, dhana ya kimapinduzi ya Rais Samia yenye tija kubwa

Kilimo biashara, dhana ya kimapinduzi ya Rais Samia yenye tija kubwa

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Serikali kupitia Benki ya kilimo Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) imeweza kuwa mdau mkubwa kuwezesha mabenki kutoa mikopo kwa wakulima kutoka Benki mbili zinazotoa mikopo kwa wakulima hivi sasa kufikia 14.

BAJETI YA KILIMO
Serikali imeweza kuongeza bajeti ya huduma za Ugani kutoka TZS bilioni 17.7 hadi TZS bilioni 51.45, kuongeza fedha za uzalishaji wa mbegu kutoka TZS bilioni 5.42 hadi TZS bilioni 10.58, sambamba na kuongeza bajeti hiyo, Rais amewezesha NFRA na Bodi ya Mazao Mchanganyiko kwa jumla ya TZS bilioni 129 ili waweze kufanya kazi zao vizuri.

KILIMO NI BIASHARA PIA KILIMO NI AJIRA ndio maana serikali ya awamu ya sita imekipa kilimo kipaumbele
 
Kwamba hii ndio brain child yake...., Yaani kabla yake hakuna mtu aligundua hili ?

Awamu hii mengi yangefanyika practically na sio ki-propaganda hata kwa theluthi tungepiga sana hatua....

Unaongeza uzalishaji wa mbegu wakati bado masoko yanasuasua.., unadhani kama bei zikipanda maradufu hata mkulima atakumbushwa kupanda chochote...
 
Kwamba hii ndio brain child yake...., Yaani kabla hakuna mtu aligundua hili ?

Awamu hii mengi yangefanyika practically na sio ki-propaganda hawa kwa theluthi tungepiga sana hatua....

Unaongeza uzalishaji wa mbegu wakati bado masoko yanasuasua.., unadhani kama bei zikipanda maradufu hata mkulima atakumbushwa kupanda chochote...
Amemuweka Bashe huko wapige pesa na Rostam
 
Kwamba hii ndio brain child yake...., Yaani kabla yake hakuna mtu aligundua hili ?

Awamu hii mengi yangefanyika practically na sio ki-propaganda hata kwa theluthi tungepiga sana hatua....

Unaongeza uzalishaji wa mbegu wakati bado masoko yanasuasua.., unadhani kama bei zikipanda maradufu hata mkulima atakumbushwa kupanda chochote...
Rais Samia anafanya kila kitu alichoahidi kwa vitendo tena kilimo amekipa kipaumbele sana unakuta wew unalalamika apa ata kulima haujawai ila wakulima ndio wanajua jinsi kilimo kilivyorahisishwa na mkulima wa sasa anauza mazao yake kwa bei ya juu hakuna tena kumkandamiza mkulima
 
Back
Top Bottom