Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Mkuu hayo ya kienyeji nayo siku hizi yanaharibiwa sana na waduduMiembe ya kisasa inahitaji sana dawa ili update embe nzuri. Nakushauri panda ya kienyeji. Nina miembe ya kienyeji ya Maembe dodo ni matamu na makubwa balaa. Situmii dawa yoyote na ninavuna Maembe kila mwaka pia yana soko kubwa ukienda sokoni