Habari za leo. KISIMA naomba ujitahidi kuweka hiyo thread, tutafaidika wengi aidha mimi mwenyewe nataraji kuanza kulima maharage japo nipo kibaha ambapo nimeichuguza ardhi na kuona inafaa.
Naomba unijuze kuhusu kilimo cha umwagiliaji cha maharage, maji yanahijika kwa wingi gani hasa ukiwa na 0.75 ya heka? Naomba jibu Mr. Kisima.
Naomba unijuze kuhusu kilimo cha umwagiliaji cha maharage, maji yanahijika kwa wingi gani hasa ukiwa na 0.75 ya heka? Naomba jibu Mr. Kisima.