Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Kuna aina ya maharage yanaitwa ngwala, waungwana najaribu kutafuta kwenye neti siyapati.
Sifa,
yanastail ukame hasa umasaini
pili yana soko kubwa apo ulaya, marekani na asia,
yeyote mwenye habari ya jina yake ya kiingereza please help!
Weka picha yake ili tuanze kuyatafuta. Naweka aina nilizo nazo ili mtujuze ni ipi kati ya hizo:
upload_2016-9-5_10-6-1.jpeg
upload_2016-9-5_10-6-14.jpeg
images
images
images
images
 
I see,ipo chini sana kumbe,sawa na maharage haya mengine tu ya kawaida...kuna mdau hapa aliweka 300,000/=Tsh hadi 500,000/=Tsh tena kwa miaka hiyo ya nyuma sana.

Vip mazao ya kutoa mafuta kama alizeti na karanga huko hazitoki
Hizo zinakuwaga bei za kubahatisha unanunua mzigo wakati ni mwingi /wakati wa mavuno unaweka store, kuanzia mwezi wa 1/2/na wa tatu unaweza lala maskini ukaamka tajiri,,, Kuhusu ufuta uruhusiwi kuuza nje cose tuna viwanda vya kukamua, ila karanga ukiwa na kibali pia unaweza kupata soko zuri sana huku
 
Hizo zinakuwaga bei za kubahatisha unanunua mzigo wakati ni mwingi /wakati wa mavuno unaweka store, kuanzia mwezi wa 1/2/na wa tatu unaweza lala maskini ukaamka tajiri,,, Kuhusu ufuta uruhusiwi kuuza nje cose tuna viwanda vya kukamua, ila karanga ukiwa na kibali pia unaweza kupata soko zuri sana huku
Ok,unaweza kufahamu wapi pa kuanzia ili niweze kupata kibali cha kutoa karanga hadi Kenya maana nina karanga ambazo nimeshazitoa maganda na soko ni tabu kidogo au waweza kujua wapi naweza pata soko lake.

Na hiyo fiwi imeshuka kwa mwaka huu tu au ina muda bei yake si nzuri maana nilitaka nilime mwaka huu wa mvua sass kama bei ni hiyo itabidi niache.
 
Kwanza inatakiwa biashara iwe endelevu kuanzia miezi 3 na kuendelea ili usipate hasara, kama una mzigo unaojaa gari moja tu nakushauri uzia wenye vibali, kibali kinapatikana wizara ya kilimo
 
Kwanza inatakiwa biashara iwe endelevu kuanzia miezi 3 na kuendelea ili usipate hasara, kama una mzigo unaojaa gari moja tu nakushauri uzia wenye vibali, kibali kinapatikana wizara ya kilimo
Aksante kwa ushauri na nimekupata vyema...Kuna yeyote unayemfahamu mwenye kibali nimuuzie.
 
Chipaka.com sio Uislamu peke yake haukubaliani Na usodoma Ila dini zote.
Wako wa umini wa dini zote ambao NI mashoga,wazinzi,waongo,wafitini Na maovu mengi tu. Kila muumini ana wajibu wa Kibinafsi kufanya mazuri Na kuepukana Na mabaya.
Mwenye-EZ-Mungu Atunusuru Na maovu.
Mimi kinacho nipa wasi *2,unatarajia nini kama mchunga kondoo anatangulia kuharibu mahindi shambani?
Aksante kwa ushauri na nimekupata vyema...Kuna yeyote unayemfahamu mwenye kibali nimuuzie.
Uko mkoa gani mkuu, karanga zenyewe ni zipi /tani ngapi /10/15/30/
 
Mimi kinacho nipa wasi *2,unatarajia nini kama mchunga kondoo anatangulia kuharibu mahindi shambani?

Uko mkoa gani mkuu, karanga zenyewe ni zipi /tani ngapi /10/15/30/
Zipo tani 6 mkuu.Ila naweza kupata nyingine sehemu nyingine hata tani 10 tena
 
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4)Tsh200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5)booster 2ltr@6000=>12,000
6)fungicide=>40,000
7)insecticide=>48,000
8)mbolea supergro tsh 250,000.
9)palizi nafanya mwenyewe
10) navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba.
Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!

Habari mkuu Kisima mungu akutie nguvu, nijalie hari ya hewa inayofaa kwa kilimo hiki na haina ya Udongo, na inachukuwa muda gani mbaka kuvuna. Mungu akuongezeee nguvu
 
Asante kwa maelezo mazuri ila naomba kujua kwa heka moja unatakiwa kuwa na mbegu kiasi gani pia upandaji yaani spacing kutoka mstari kwa mstari na mche hadi ukoje
 
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4)Tsh200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5)booster 2ltr@6000=>12,000
6)fungicide=>40,000
7)insecticide=>48,000
8)mbolea supergro tsh 250,000.
9)palizi nafanya mwenyewe
10) navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba.
Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Kisima tunaomba utueleze ni kiasi cha mbegu unatumia kwenye hekari moja
 
Too bad, mtanisamehe wadau. Nimeandika maelezo juu ya kilimo hiki, bahati mbaya sana sikusave, katika ku submit network imepeperusha maelezo yote!!
Mnisamehe aisee ntatenga muda mwingine wa kuandika upya na kupost!
Muwe wavumilivu!!
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4)Tsh200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5)booster 2ltr@6000=>12,000
6)fungicide=>40,000
7)insecticide=>48,000
8)mbolea supergro tsh 250,000.
9)palizi nafanya mwenyewe
10) navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba.
Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Nashukuru Sana kwa ufafanuzi mzuuri, nimekupata vema.
 
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4)Tsh200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5)booster 2ltr@6000=>12,000
6)fungicide=>40,000
7)insecticide=>48,000
8)mbolea supergro tsh 250,000.
9)palizi nafanya mwenyewe
10) navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba.
Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Mkuu sijaelewa ni mifuko mangapi ya Can unayotumia???? Vipi mbolea aina ya Urea inafaa pia??? Mkuu naomba km utaweza tuwasiliane nje ya hapo...
 
Back
Top Bottom