Zingatia
Senior Member
- Sep 4, 2015
- 179
- 69
Moro sehemu gani mkuu?Nalimia Morogoro mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moro sehemu gani mkuu?Nalimia Morogoro mkuu.
umenishika sana. tuwasiliane mkuu!Nipo Turiani mkuu. Karibu tulisongeshe...
Asante mkuuMimi nimelima msimu huu. Nimelima maharage ya njano. Kwa ekari moja nimetumia debe moja. Maharage yanachukua siku 80-90, kuhusu kupata mazao kiasi gani inategemea na ardhi na wadudu
Ukiondoa suala la udongo na wadudu, tunaomba kadirio la chini la uzalishajiMimi nimelima msimu huu. Nimelima maharage ya njano. Kwa ekari moja nimetumia debe moja. Maharage yanachukua siku 80-90, kuhusu kupata mazao kiasi gani inategemea na ardhi na wadudu
Unaweza pata gunia 8 mpaka 12 kwa makadirio ya chini ya ekari 1Ukiondoa suala la udongo na wadudu, tunaomba kadirio la chini la uzalishaji
tunashukuru mkuu,,Unaweza pata gunia 8 mpaka 12 kwa makadirio ya chini ya ekari 1
Ungefanya market research kwa sehemu uliopo ndo ingekua poa. Ila kwa huku itarange 180-230 iv kutegemea na wingi wa mavunotunashukuru mkuu,,
vp gunia moja la maharage linauzwa around sh ngapi
(ukiachana na tofauti za maeneo linapouzwa)
Tunashukuru Henry Temu usituchoke maswali yetu na aksante!Ungefanya market research kwa sehemu uliopo ndo ingekua poa. Ila kwa huku itarange 180-230 iv kutegemea na wingi wa mavuno
Ungefanya market research kwa sehemu uliopo ndo ingekua poa. Ila kwa huku itarange 180-230 iv kutegemea na wingi wa mavuno
Angalizo: hii kwa maharage aina zote au ya njano tu?tunashukuru mkuu,,
vp gunia moja la maharage linauzwa around sh ngapi
(ukiachana na tofauti za maeneo linapouzwa)
Debe 1 mpaka 1.5 usipande mengi sana hayata zaa vizuriShukrani ndugu Temu.
Naomba pia kufahamu hekali moja inachukua maharage ya mbegu kiasi gani mkuu.