Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Mkuu umenena vyema, kununua miche mara nyingi utapata hadi asilimia 30 madume ambayo Kwa hakika ni hasara kwani unatumia muda wa hadi miezi mitatu kubaini kama ni dume ilihali umepoteza raslimali nyingi.

Acha story za kufunga magunzi ya mahindi au kukata eti itabadilika, haina ukweli.

Mkuu,

Miye nimekwisha fanya kosa hili. Nilinunua miche toka kwa wauzaji wa barabarani. Nina miche kama 14 hivi nyumbani na nimeipanda kama 'shamba darasa' kwa ajili ya mradi mkubwa nitakaoufanya baadaye.

Kwa sasa miche inakaribia miezi 2 ila bado sijajua ipi ni jike (itakayoniletea matunda) na ipi ni dume (hasara). Kuna namna rahisi ya kuitambua ikiwa na umri kama huo wa miezi miwili?


Asante.
 
Mkuu,

Miye nimekwisha fanya kosa hili. Nilinunua miche toka kwa wauzaji wa barabarani. Nina miche kama 14 hivi nyumbani na nimeipanda kama 'shamba darasa' kwa ajili ya mradi mkubwa nitakaoufanya baadaye.

Kwa sasa miche inakaribia miezi 2 ila bado sijajua ipi ni jike (itakayoniletea matunda) na ipi ni dume (hasara). Kuna namna rahisi ya kuitambua ikiwa na umri kama huo wa miezi miwili?


Asante.
Mkuu sina hakika kama kuna njia ya kutambua kama ni dume au la. Nakumbuka kituko kimoja Nilipiga picha ya madume Na kumpelekea bwana shamba mmoja ambaye baada ya kuziona alinipa hongera Kwa kupata miti yeye kutoa mapapai( matunda) marefu! Niliondoka bila kujibu.

Njia pekee ninayofahamu ni kusubiri hadi miezi mitatu utaona inatoa matunda gani.
 
Mkuu,

Miye nimekwisha fanya kosa hili. Nilinunua miche toka kwa wauzaji wa barabarani. Nina miche kama 14 hivi nyumbani na nimeipanda kama 'shamba darasa' kwa ajili ya mradi mkubwa nitakaoufanya baadaye.

Kwa sasa miche inakaribia miezi 2 ila bado sijajua ipi ni jike (itakayoniletea matunda) na ipi ni dume (hasara). Kuna namna rahisi ya kuitambua ikiwa na umri kama huo wa miezi miwili?


Asante.
Njia ya kienyeji huenda ikakusaidia. Chukua Mabunzi (magunzi) ya mahindi, yafunge moja kila mche mmoja wa Mpapai (Kama vile MAMA anavobeba mtoto mgongoni). By default, miche dume yote itageuke jike. Na miche jike itaendelea kubaki jike.
 
Mkuu
Njia hii labda inafanya kazi Kwa wengine. Mimi nimefanya hayo pamoja na kukata Kwa matumaini itakuwa jike lakini imeshindikana mwisho niling'oa na kupanda upya!
Njia Bora Na sahihi ni kununua mbegu.
 
nimewafuatilia kwa karibu sana wadau wote,,nakaribia kuchukua hatua kwa vitendo
 
Mtaji ninao ila tatizo ni shamba siwez kukod miaka mitatu itabidi ninunue ila sijajua ninunue wap ila nafikiria karibu na dar
 
Wana JF, nataka kufanya kilimo cha mapapai ila nahitaji mbegu za muda mfupi kuzaa ili nianze kuvuna mapema. Naomba msaada wa yafuatayo

1 Wapi nitapata mbegu fupi za muda mfupi kuanza kuzaa?
2. Nikitaka kupanda spacing iwe kiasi gani toka mche hadi mche?

Asanteni sana hii ni katika kuhangaika kuongeza kipato maana hii nchi ukizubaa ukajikuta unanyong'onyea sana kwa wanayojili.
Mbegu za zamani hazita kufaa kwa sababu hazini mazao mengi. Kuna mbegu za kisasa ambazo zinakua haraka na kuzaa mapema. Mbegu hizi huzaa sana na huleta faida kubwa. Hupatikana katika maduka ya pembejeo za kilimo, Wazalishaji wa mbegu bora na Vituo vya utafiti.
Pia waweza kupata taarifa sahihi toka kwa maafisa ugani walio karibu nawe au kujifunza mtandaoni.
 
Nimeona kila mtu anajaribu ila hakuna alieleta mrejesho amefanikiwa ama ku fail
 
Nimeona kila mtu anajaribu ila hakuna alieleta mrejesho amefanikiwa ama ku fail
Kweli mkuu watu wamekaa kimya ambacho upande mmoja unaweza kufikiri kuwa zoezi limekuwa gumu Kwa wengi wetu.
Hata hivyo namfahamu mtu mmoja ktk viunga vya jiji la mwanza ana miti zaidi ya 150 lakini kachanganya na passion ukitembelea hapo utafurahi
 
Kwenye bei hapo nakushauri nenda kawaulizie wale wanaouza kwa jumla sokoni ili upate bei ya uhalisia.
 
wakuu salama huku ndani......
kwa wanaotafuta miche ya mipapai mifupi tafadhal ni PM. nina miche ya SINTA FI(ya njano ndani) na Malkia F1(mekundu)
 
Back
Top Bottom