Sasa mkuu mbona kama unaugomvi na muanzisha uzisiwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.
nafikiri ungeačha wakujifunza wajifunze
wew kama umeona mwongo ungeacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu mbona kama unaugomvi na muanzisha uzisiwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.
Habari ndugu,nahitaji mbeguya papai inayoanza kutoa mavuna kwa miezi mitatu sijui ndio hii au nyingine.naomba kujua bei.Yaani ni vurugu huku navuna kule naotesha mingine inatoa maua ...papai Ni zao la biashara na Ni tunda kwa familia . kilimo chake no stressView attachment 1077174View attachment 1077175View attachment 1077176View attachment 1077177View attachment 1077178View attachment 1077179View attachment 1077180
Huyo kwangu Ni mchache Kama karatasi si umeona hajarudi Tena huku,hao watoto wa mama wapo wengi Sana huku kwenye mitandao kazi yao kukatisha watu tamaa na wanatamani kwa kuwa wao hawawezi basi kila mtu afanane naoSasa mkuu mbona kama unaugomvi na muanzisha uzi
nafikiri ungeačha wakujifunza wajifunze
wew kama umeona mwongo ungeacha
Huna lolote, acha kuchafua uzi usiokuhusu...pita pembeni kabisa tuache tunaohitaji kujifunza. Comments zako zinaonesha kiwango cha upumbavu uliofuga kichwani.siwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.
Ulisha wahi lima zao lolote kibiashara? Kilimo chochote ni timing tu iwe kitunguu, nyanya au zao lolote. Wanao lifahamu hilo kamwe hawawezi acha kilimo.kilimo cha tanzania stress tupu....usipoliwa kwenye mbegu...watakupiga kwenye madawa au mbolea...viunzi vyote ukiviluka salama...utalima kisha utapangiwa bei na watu wa mjini...
Usisahau kuleta mrejesho baada ya kujifunza. yaani unajidhihirisha ni jinsi kani ulivyo mtupu.Huna lolote, acha kuchafua uzi usiokuhusu...pita pembeni kabisa tuache tunaohitaji kujifunza. Comments zako zinaonesha kiwango cha upumbavu uliofuga kichwani.
Ni kipi kibaya nimezungumza hapo mkuu?Sasa mkuu mbona kama unaugomvi na muanzisha uzi
nafikiri ungeačha wakujifunza wajifunze
wew kama umeona mwongo ungeacha
How old are you?Usisahau kuleta mrejesho baada ya kujifunza. yaani unajidhihirisha ni jinsi kani ulivyo mtupu.
anyway sina mda wa kubishana na wapuuzi kama wewe.
Mkuu kwa tunaokufuatilia kitambo hapa jukwaani tunajifunza mengi. Achana na hao vijanaKama upo serious kabisa unataka kulima papai na umekwama popote tafadhali usisite kuniandika number yako pm nitakupigia mwenyewe hasa Kama una number ya Voda ...
Hiyo mbegu Ni malikia F1
Acha kulalamika kwenye keyboard mkuu ,mi nalima papai huu mwaka wa tatu sijawahi kudodewa na papai .Kama unazo nikupe connection
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio hizo nazolima malkia F1 na Sasa nazalisha Miche na nitaanza kuuzaKuna lile papai linakuwa na rangi nyekundu sijui ni carrot iliokolea huwa matamu sana ile mbegu yake ni ipi na je ni nzuri au disadvantage zake ni zipi
Nitashukuru ukinijibu
Mkuu hongera sana na ahsante kwakutuhamasisha.Nimelipasua Hilo hapo uoneView attachment 1083359
Yaani ni vurugu huku navuna kule naotesha mingine inatoa maua ...papai Ni zao la biashara na Ni tunda kwa familia . kilimo chake no stressView attachment 1077174View attachment 1077175View attachment 1077176View attachment 1077177View attachment 1077178View attachment 1077179View attachment 1077180