Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Sasa mkuu mbona kama unaugomvi na muanzisha uzi
nafikiri ungeačha wakujifunza wajifunze
wew kama umeona mwongo ungeacha
Huyo kwangu Ni mchache Kama karatasi si umeona hajarudi Tena huku,hao watoto wa mama wapo wengi Sana huku kwenye mitandao kazi yao kukatisha watu tamaa na wanatamani kwa kuwa wao hawawezi basi kila mtu afanane nao
 
siwezi kubishana na wewe. ila tambua mimi sio saizi yako tukija kny suala la kilimo. silimi mapapi kijana.
Huna lolote, acha kuchafua uzi usiokuhusu...pita pembeni kabisa tuache tunaohitaji kujifunza. Comments zako zinaonesha kiwango cha upumbavu uliofuga kichwani.
 
kilimo cha tanzania stress tupu....usipoliwa kwenye mbegu...watakupiga kwenye madawa au mbolea...viunzi vyote ukiviluka salama...utalima kisha utapangiwa bei na watu wa mjini...
Ulisha wahi lima zao lolote kibiashara? Kilimo chochote ni timing tu iwe kitunguu, nyanya au zao lolote. Wanao lifahamu hilo kamwe hawawezi acha kilimo.
 
Huna lolote, acha kuchafua uzi usiokuhusu...pita pembeni kabisa tuache tunaohitaji kujifunza. Comments zako zinaonesha kiwango cha upumbavu uliofuga kichwani.
Usisahau kuleta mrejesho baada ya kujifunza. yaani unajidhihirisha ni jinsi kani ulivyo mtupu.
anyway sina mda wa kubishana na wapuuzi kama wewe.
 
Kama upo serious kabisa unataka kulima papai na umekwama popote tafadhali usisite kuniandika number yako pm nitakupigia mwenyewe hasa Kama una number ya Voda ...
Mkuu kwa tunaokufuatilia kitambo hapa jukwaani tunajifunza mengi. Achana na hao vijana
 
Hiyo mbegu Ni malikia F1

Kuna lile papai linakuwa na rangi nyekundu sijui ni carrot iliokolea huwa matamu sana ile mbegu yake ni ipi na je ni nzuri au disadvantage zake ni zipi
Nitashukuru ukinijibu
 
Kuna lile papai linakuwa na rangi nyekundu sijui ni carrot iliokolea huwa matamu sana ile mbegu yake ni ipi na je ni nzuri au disadvantage zake ni zipi
Nitashukuru ukinijibu
Ndio hizo nazolima malkia F1 na Sasa nazalisha Miche na nitaanza kuuza
Screenshot_20190427-120850.jpeg
 
Mita mbili na nusu mche Hadi mche na hata msitari ndio hivyo hivyo,weka number nikupigie
 
Watu wangine kweli siyo wabunifu,kila mtu anataka aonyeshwe lilipo soko,.ulime na utafute masoko mwenyewe mitaani,Daily watu wanakula Mapapai mitaani.
 
Back
Top Bottom