Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,738
easeeed sukari f1 huvumilia magonjwa na muda wa kuvuna ni cku 60-70
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko lake ni guaranteed .... ni mazuri ... ila fanya utafiti wa mbegu zote hizo kabla hujaamua kubadili mbegu uliyozoea
Nililima gramu 160 nikaongeza 60gm kumalizia shamba... niliuza Dom mkuu...... ila kwa ujumla Balton inachelewa kidogo, ingawa hazifiki siku 90 kamili... ila ukiyatunza vizuri ukubwa wa matunda yake unaridhisha [emoji6]... japo nilipata changamoto ya kuzaa matunda machache kwa kila mche... mingi yalikuwa mawili au moja...
?? Nasubiria jibu na miminasikia Yale matikiti madogo meusi yana soko kubwa kiwandani kama pale Azam..kilo 1 wananunua 2500.
ni kweli?
Uliuzia wapiSoko lake ni guaranteed .... ni mazuri ... ila fanya utafiti wa mbegu zote hizo kabla hujaamua kubadili mbegu uliyozoea
Picha hiyo lilikuwa na siku 60 tangu kupandwaView attachment 846416
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie hulima 750g haya nililowesha mvua ilinizidia badae nkaogopa nkapanda 250g nimevuna mwez huu nataka kupanda 1000g nkauzie dar au domNililima gramu 160 nikaongeza 60gm kumalizia shamba... niliuza Dom mkuu...... ila kwa ujumla Balton inachelewa kidogo, ingawa hazifiki siku 90 kamili... ila ukiyatunza vizuri ukubwa wa matunda yake unaridhisha [emoji6]... japo nilipata changamoto ya kuzaa matunda machache kwa kila mche... mingi yalikuwa mawili au moja...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakwer mie hili cjui ila kwet hapa tabora hayana SOKO watu huuza mpka mia Tatu bei kubwa buku
Mkuu hiyo bei daah , mi ulikuwa msimu wa matikiti mengi kipindi hicho lakin madogo niliuza buku, makubwa 1500-3500Kwakwer mie hili cjui ila kwet hapa tabora hayana SOKO watu huuza mpka mia Tatu bei kubwa buku
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushakuwa na uzoefu mkuu; tatizo mi nilikuwa naifanya kama part time tu nikiwa chuo.... natamani unavyojituma yaanMie hulima 750g haya nililowesha mvua ilinizidia badae nkaogopa nkapanda 250g nimevuna mwez huu nataka kupanda 1000g nkauzie dar au dom
Sent using Jamii Forums mobile app
Meuc au zebraMkuu hiyo bei daah , mi ulikuwa msimu wa matikiti mengi kipindi hicho lakin madogo niliuza buku, makubwa 1500-3500
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nimemaliza chuo na nilikuwa na mpngo wa kwenda chuo mwaka huu huwez amn nimepga chini ajira na kuendrea na elimuUshakuwa na uzoefu mkuu; tatizo mi nilikuwa naifanya kama part time tu nikiwa chuo.... natamani unavyojituma yaan
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mie nilipta matunda lakini ckupata pesa sanaMkuu hiyo bei daah , mi ulikuwa msimu wa matikiti mengi kipindi hicho lakin madogo niliuza buku, makubwa 1500-3500
Sent using Jamii Forums mobile app
Sukari f1 hii ni habari nyingine kabisa.Msaada mie ni mkulima niliezoea kulima MBEGU ya sukari f 1
Sasa naambiwa kuna zingine zinaz Fanya vizur kwa ukubwa na rang nzur kama sugar queen,,
Balton f1
King sugar
Pato f1
Na zinginezo je ukwer ni UPI IP ni MBEGU nzur inayokwa na matokeo bora kwa matunda yake natanguriza shukrani ndg zangu
Sent using Jamii Forums mobile app