Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sawa MKUU yaan sukar ni bata tupu et lakin tajarbug na mbeg zngne ala hiv wakat wa joto sukar usumbua sana et au ni MBEGU zote za tikit zinasumbua wakt wa joto na je ni UPI mwarubani wake maan hainenepi na inakuwa na maumbo mabaya je wakat huu inatakiwa tufanyaje ktk ulimaj wa tikit eteaseeed sukari f1 huvumilia magonjwa na muda wa kuvuna ni cku 60-70
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu kipindi hicho ardhi huwa na joto kali kwa hiyo mahitaji ya maji huwa ni makubwa ukicheza kidogo tu unavuna chenga
Kwangu kuna maji mengi sasa kwahyo kwa keni nimwagie shimo ngapi na je kuna haja ya kuweka matandazoKwa sababu kipindi hicho ardhi huwa na joto kali kwa hiyo mahitaji ya maji huwa ni makubwa ukicheza kidogo tu unavuna chenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mulching fanya kama haitakugharimu sana hapo ulipo. Maana inasaidia kutunza unyevu ukizingatia hiki kiangazi, but kwa shamba kubwa ivo mbona mtihani sana?
Gharama kama ni kubwa za mulching... sio lazima kufanya, kikubwa ujitahidi umwagiliaji maji ya kutosha
Oh sawa kwa keni nikimwagia shimo Tatu si mbaya et lakini pia ni muda gani tikit linahtaj maj muda gani halihitaji mwaj mengiMulching fanya kama haitakugharimu sana hapo ulipo.. . Maana inasaidia kutunza unyevu ukizingatia hiki kiangazi.... but kwa shamba kubwa ivo mbona mtihani sana??
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mpango wa kumwagilia mar ngapi kwa wiki ?Oh sawa kwa keni nikimwagia shimo Tatu si mbaya et lakini pia ni muda gani tikit linahtaj maj muda gani halihitaji mwaj mengi
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Matikiti yanahitaji maji ya kutosheleza wakat wa wiki za mwanzo,, yanahitaji maji mengi wakati wa kukua kwa matunda ili yawe makubwa hadi kama kufikia siku 60 hivi,then yanahitaji maji kidogo mwishoni ili yakomae na yasipasuke....Oh sawa kwa keni nikimwagia shimo Tatu si mbaya et lakini pia ni muda gani tikit linahtaj maj muda gani halihitaji mwaj mengi
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Sio vibaya hiyo distance ila kwa kuacha niche miwili fikiria kuongeza nafasi ya mstari na mstari ili iwe 1x2 M au walau 1x1.5MPia katika upandaj nataka kupanda MBEGU 2 shimo moja et na distance ni 1m square
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Mara mbil kwa wiki yaan siku tat tatUna mpango wa kumwagilia mar ngapi kwa wiki ?
RN Jr