Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Nitakabiliana vipi na wanyama waharibifu Kama tumbili na nguruwe pori.Nililima maeneo ya Kisemvule mbele ya Vikindu nikakata tamaa.
 
Mkuu Kipimbwe, mimi ninalima Muhogo kwa mara ya kwanza eneo la Kimanzichana. Nimeanza kwa kujaribu ekari nne nione itajibu vipi. Ki ukweli sina uhakika sana na masoko lakini nimeona nianze ili msimu usije kunipita. Unaweza kuniambia kwa maeneo haya naweza kwenda wapi kuulizia uhakika wa masoko?
 

Attachments

  • Mihogo1.JPG
    Mihogo1.JPG
    36.5 KB · Views: 277
  • Mihogo3.JPG
    Mihogo3.JPG
    39.4 KB · Views: 282
Mkuu Kipimbwe, mimi ninalima Muhogo kwa mara ya kwanza eneo la Kimanzichana. Nimeanza kwa kujaribu ekari nne nione itajibu vipi. Ki ukweli sina uhakika sana na masoko lakini nimeona nianze ili msimu usije kunipita. Unaweza kuniambia kwa maeneo haya naweza kwenda wapi kuulizia uhakika wa masoko?
Kimanzichana lipo kwenye eneo la MIVARF. Ndio wahusika wameanza kufanya kazi hivyo ni rahisi watakufikia nakukupa maelekezo. Wasipofika tuwasiliane mwezi mmoja kabla ya mavuno kwa PM nitakuunganisha na wanunuzi wa Tandale au Kariakoo kama wakulima wangu wa Rufiji.
 
Nitakabiliana vipi na wanyama waharibifu Kama tumbili na nguruwe pori.Nililima maeneo ya Kisemvule mbele ya Vikindu nikakata tamaa
Nakushauri upande muhogo mchungu kuzunguka shamba lako walau mistari miwili ya mwanzao. Mbegu unaweza kupata kituo cha utafiti pale Kibaha.
 
Kimanzichana lipo kwenye eneo la MIVARF. Ndio wahusika wameanza kufanya kazi hivyo ni rahisi watakufikia nakukupa maelekezo. Wasipofika tuwasiliane mwezi mmoja kabla ya mavuno kwa PM nitakuunganisha na wanunuzi wa Tandale au Kariakoo kama wakulima wangu wa Rufiji.
Nitashukuru sana mkuu. Nitakutafuta mambo yakikaribia, ubarikiwe sana.
 
Nakushauri upande muhogo mchungu kuzunguka shamba lako walau mistari miwili ya mwanzao.Mbegu unaweza kupata kituo cha utafiti pale Kibaha
Mkuu nimekua impressive Sana na hiki kilimo. Niko muheza mkoa wa Tanga, mimi ni Mara yangu ya Kwanzaa mbegu gani nzur inaweza kustawi maeneo haya!
 
. Mkuu nimekua impressive Sana na hiki kilimo. Niko muheza mkoa wa Tanga, mimi ni Mara yangu ya Kwanzaa mbegu gani nzur inaweza kustawi maeneo haya!
Ndugu Grand casual sijajua kwa Tanga upo upande gani lakini kama ni maeneo ya kichanga au tifutifu unaweza panda mbegu inaitwa Kiroba inapatikana kwa bei ndogo sana kwa bundle ya pieces mia pale Kibaha kwa bei ya shilingi elfu tatu kama sikosei.
 
Ndugu Grand casual sijajua kwa Tanga upo upande gani lakini kama ni maeneo ya kichanga au tifutifu unaweza panda mbegu inaitwa Kiroba inapatikana kwa bei ndogo sana kwa bundle ya pieces mia pale Kibaha kwa bei ya shilingi elfu tatu kama sikosei.
Shukrani mkuu nitawatafuta!
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kuunganishwa na Mkulima anayelima mihogo mitamu kibiashara kwa eneo kubwa au Dalali anayeshugulika na ununuzi wa mihogo mitamu kwa mkoa wa morogoro hasa maeneo ya kuanzia Dumila, Kilosa, Turiani na maeneo jirani na hizo sehemu nilizotaja.

Ahsanteni
 
Mkuu Kipimbwe, mimi ninalima Muhogo kwa mara ya kwanza eneo la Kimanzichana. Nimeanza kwa kujaribu ekari nne nione itajibu vipi. Ki ukweli sina uhakika sana na masoko lakini nimeona nianze ili msimu usije kunipita. Unaweza kuniambia kwa maeneo haya naweza kwenda wapi kuulizia uhakika wa masoko?
mkuu, je naweza pata eneo la kukodi huko nikalima mihogo, naomba mawasiliano yako?
 
mkuu, je naweza pata eneo la kukodi huko nikalima mihogo, naomba mawasiliano yako?
Kaka George, nitakuuulizia nikienda week end ijayo maana mimi ninalima kwenye shamba langu mwenyewe. Ila najua kule mashamba ya kukodi yapo na gharama zake sio kubwa. Vumilia kidogo tu nikupatie jibu lililo kamili.
 
Wadau naomba kufahamu bei ya muhogo kwa kilo 1 hapo kiwandani. nimelima muhogo aina yakiroba natafuta masoko pindi utakapokomaa.
 
Wanajamii naomba nami nijiongezee hapo hapo. nimesoma sana topic za muhogo lakini nimeona inazungumziwa mihogo ya kuanzia Mkuranga kuelekea njia ya Mtwara hadi karibu na Mbuga ya Selous. naomba kuuliza maswali yafuatayo:

1. Je, muhogo unaolimwa tabora hauna market katika viwanda vya nje na ndani ya nchi?
2. Sio mtamu kwa kuliwa?

Naomba msaada maana nipo tabora na nafikiria kulima muhogo kama wa hekari 20 kwa biashara, ni bora kutafuta ushauri kabla ya kuingia shambani nikapoteza muda maana shamba tayari ninazo ekari 22. jambo nalofikiria ni muhogo.
thanx
 
Na mimi pia naomba mdau au kama unamhua mtu yoyote anayelima mihogo maeneo ya Turiani mkoa wa morogoro basi tuwasiliane ninapenda nilime maeneo hayo kwani ni karibu kwangu kufika.

Tuchangamkie fursa ya muhogo tuliyopewa na nchi ya China kupeleka muhogo tani za kutosha huko kwao.
 
Wadau watatusaidia kujua vigezo vyote vinavyohitajika hope kuna ambao wameshafanya tusaidiane kwa pamoja.
 
Ndugu Grand casual sijajua kwa Tanga upo upande gani lakini kama ni maeneo ya kichanga au tifutifu unaweza panda mbegu inaitwa Kiroba inapatikana kwa bei ndogo sana kwa bundle ya pieces mia pale Kibaha kwa bei ya shilingi elfu tatu kama sikosei.
Samahani mkuu,

Nimevutwa sana na kilimo hiki hasa kutokana na kutokueleweka kwa mvua.

Nahitaji kujua kwenye shamba la hekar moja kunaingia mashina mangapi ya muhogo?
 
Samahani mkuu,
Nimevutwa sana na kilimo hiki hasa kutokana na kutokueleweka kwa mvua.
Nahitaji kujua kwenye shamba la hekar moja kunaingia mashina mangapi ya muhogo?
Ukipanda kitaalam unaweza kupanda fittings 10,000 ha kwa hekta.
 
Wanajamii naomba nami nijiongezee hapo hapo. nimesoma sana topic za muhogo lakini nimeona inazungumziwa mihogo ya kuanzia Mkuranga kuelekea njia ya Mtwara hadi karibu na Mbuga ya Selous. naomba kuuliza maswali yafuatayo:

1. Je, muhogo unaolimwa tabora hauna market katika viwanda vya nje na ndani ya nchi?
2. Sio mtamu kwa kuliwa?

Naomba msaada maana nipo tabora na nafikiria kulima muhogo kama wa hekari 20 kwa biashara, ni bora kutafuta ushauri kabla ya kuingia shambani nikapoteza muda maana shamba tayari ninazo ekari 22. jambo nalofikiria ni muhogo.
thanx
Mihogo ya tabora tasteless, sijajua tatizo ni mbegu au ardhi. nilinunua mara moja tu sikurudia tena.
 
Husninyo, asante sana ngoja nianze kufatilia tatizo ni nini mbegu au ardhi itanibidi nitembelee mashamba pande tofauti ili niweze kujua aina ya mbegu wanazotumia.
thanx
 
Ndugu Grand casual sijajua kwa Tanga upo upande gani lakini kama ni maeneo ya kichanga au tifutifu unaweza panda mbegu inaitwa Kiroba inapatikana kwa bei ndogo sana kwa bundle ya pieces mia pale Kibaha kwa bei ya shilingi elfu tatu kama sikosei.
Mkuu tunashukuru sana kwa elimu unayotupa.

Mi nahitaji kufaham juu ya kipato kwa heka moja kama utailima vizuri,nitashukuru sana kama utatupa japo
kamchanganuo kidogo kwani binafsi sijui hata inauzwa kwa kipimo gani ie kwa kg,mafungu?naomba msaada wako mkuu
 
Back
Top Bottom