Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Mwenye uwezo wa Kusupply 0.5T ya Cassava chips kwa mwezi Delivery port ikiwa C&F Nzega ani-pm.
 
Somo zuri sana Mkuu, ahsante na ubarikiwe.
Ahsante sana kwa somo murua. Nimeandaa shamba la eka 10 kwa ajili ya zao la muhogo na ninategemea kupata mbegu kutoka kwa watu mbalimbali. Kuna sehemu ambako ninaweza kupata mbegu bora ya kisasa?
 
Ahsante sana kwa somo murua. Nimeandaa shamba la eka 10 kwa ajili ya zao la muhogo na ninategemea kupata mbegu kutoka kwa watu mbalimbali. Kuna sehemu ambako ninaweza kupata mbegu bora ya kisasa?
Ubora wa mbegu unategemea sehemu shamba lilipo, hivyo ni vyema kuwasiliana na watalamu wa kilimo au maofisa ugani wa eneo lako ili wakushauri ipasavyo.
 
Mwenye uwezo wa Kusupply 0.5T ya Cassava chips kwa mwezi Delivery port ikiwa C&F Nzega ani-pm.
Niliwahi kutana na post hii mahali fulani hivi, mkuu ulishafanikiwa? unanipa hamasa ya kujikita katika kilimo cha mhogo baridi!
 
Jamani nisaidieni, nimelima mhogo huko kisarawe lakini naona umeingiliwa na ugonjwa wa kuoza. Ukivuna mihogo unakuta kama imepikwa vile. Huu ni ugonjwa gani na una dawa?
kusharogwa na wazaramo tayari.
 
Je, ukilima heka moja unaweza kupata kipato cha sh ngapi.
 
Wapendwa hamjambo?

Naombeni ushari wenu mwaka huu nataka kuanza kilimo cha mihogo huko bagamoyo, je mnanishaurije kuhusu ardhi ya Bagamo je inakubali kilimo hicho cha mihogo? Na wale waliolima mihogo naombeni mnisaidie ni zipi changamoto zake kuanzia upandaji hadi uvunaji.

Tusaidiane wapendwa katika ujemzi wa taifa letu.
 
Nami nasubiri majibu sababu nimenunua shamba ruvu majirani wamelima mihogo.
 
Wakuu naomba kuuliza Heka moja ya mihogo Unapaka faida kiasi gani!
 
Nahitaji kupanda mbegu za mihogo je mbegu gani ni nzuri ndugu zangu naombeni jibu
 
  • mkoa wa pwani mihogo inastawi sana mkuu maeneo ya kisarawe
  • aina za mihogo zinazo stawi maeneo ya kisarawe ni rasta na enyimba
  • kuhusu mashamba na usafir vinapatikana kwa gharama ndogo .
  • kama una swali unaweza ukauliza.
Kisarawe ipo karibu sana na dar xo soko sio tatizo kwa mihogo yako. Pia kama soko litakuwa haliridhishi unaweza kuprocess mihogo yako ukauza unga.
 
Kama kichwa kinavyojieleza juu apo mimi nataka kuwa mkulima wa mihogo ila cjui where to start ila shamba lipo, welcom for you're activeness thought's.
 
Kwa uku kwetu kanda ya ziwa maeneo ya runzewe mihogo inastawi sana,ila waganda wananunua sana mihogo kwa wingi na kupeleka kwao,hata hivyo kwa sasa unga wa mihogo umepanda bei kwa kiwango cha kisado cha udaga ni tsh 4,000/ = badala ya 2500/= kwaiyo fursa ni kubwa sana
 
Habari wataalam wa kilimo, leo nimepata wazo la kuanzisha kilimo cha Muhogo na viazi.

Kwa kuzingatia masoko na gharama za uendeshaji, nimeona nichague eneo zuri lililopo karibu na Dar ninapoishi.

Kwa upande wa kusini maeneo ambayo yana nafasi ni Kuanzia Mkuranga, kibiti na rufiji ila tatizo hali si shwari kwa ajili ya kuanzisha shughuli za kiuchumi kwa sasa.

Je, eneo gani la PWANI la karibu zaidi upande wa kaskazini, mashariki au magharibi ambalo naweza kununua shamba kwa bei nafuu na ni zuri kwa kilimo cha MUHOGO na viazi?
 
Habari wataalam wa kilimo, leo nimepata wazo la kuanzisha kilimo cha Muhogo na viazi.
Kwa kuzingatia masoko na gharama za uendeshaji, nimeona nichague eneo zuri lililopo karibu na Dar ninapoishi.

Kwa upande wa kusini maeneo ambayo yana nafasi ni Kuanzia Mkuranga, kibiti na rufiji ila tatizo hali si shwari kwa ajili ya kuanzisha shughuli za kiuchumi kwa sasa.

Je, eneo gani la PWANI la karibu zaidi ambalo naweza kununua shamba kwa bei nafuu na ni zuri kwa kilimo cha MUHOGO na viazi?
La kuongezea, atakayeshauri pia akiweza aoneshe bei ya shamba kwa ekari na eneo lilipo
 
Habari wataalam wa kilimo, leo nimepata wazo la kuanzisha kilimo cha Muhogo na viazi.
Kwa kuzingatia masoko na gharama za uendeshaji, nimeona nichague eneo zuri lililopo karibu na Dar ninapoishi.

Kwa upande wa kusini maeneo ambayo yana nafasi ni Kuanzia Mkuranga, kibiti na rufiji ila tatizo hali si shwari kwa ajili ya kuanzisha shughuli za kiuchumi kwa sasa.

Je, eneo gani la PWANI la karibu zaidi ambalo naweza kununua shamba kwa bei nafuu na ni zuri kwa kilimo cha MUHOGO na viazi?
maeneo ya kibaha maeneo unaweza pata kule kongowe, bei kuanzia 4m kwa hekari.

Maeneo ya mkuranga hata 700,000/= kwa heka unapata.

Usiogope machafuko mkuu, wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.
 
Back
Top Bottom