Sasa hivi unalima Hekari ngapi mkuu ?Ningejua kuna hii mada leo nilipoenda shambani kukagua ngano yangu na Bwana shamba mmoja wa Serikali kule Kilolo ningepiga picha vizuri.
Kwenye hiyo picha, hiko kijani ni Ngano nilizozipanda huko Iringa. Nimeipiga leo saa 8 au 9 Mchana.
Hongera sana Kwa determination! consistency itsa key...Hakuna kitu chepesi katika hii Dunia, lazima uweke mipango ili kazi iwe bora lazima ujue risks na uweke strategies ya kukabiliana na mambo ili UPATE matokeo mazuri
MUHIMU: mtu wa kwanza aliyesema upepo unaweza kutengeneza umeme walimuonaje?
Mwingine aliyekuja na idea ya maji kutengeneza umeme walimuonaje?
Je na yule aliyekuja na idea ya kutengeneza chombo kitembee angani na kibebe mizigo na watu walimuonaje?
Na hiki Ambacho Cha kupata fedha ndani ya kilimo wewe naye unaonaje?
Kila kitu kinahitaji mipango(strategies) uthubutu, na umakini. Ninachokuomba kama una details muhimu nisaidie Mimi kijana tuh na kama Kuna mtu sahihi wa kupata details hizi nisaidie contact zake.
Asante Kwa hongera.Hongera sana Kwa determination! consistency itsa key...
Bahati mbaya Sina namna naweza toa ushauri wa kilimo,I tried once na nilifail na nilikuchukia nimebaki kulima maua tu.....All the best
Sawa nimekuelewa..Asante Kwa hongera.
Wewe haukufeli kufanya kilimo ila ulichofeli ni kukata tamaa. Unapoingia katika Kila jambo unahitaji kujua kwamba sio wewe wa kwanza kufanya wapo wengi. Wengi walifaulu na wengi walifeli pia. Unapoliendea jambo jua tuh kwamba Kuna kufeli pia, ila chukua kufeli kama somo kwako. Kwa mfano umelima mahindi ekari moja umepata junia sita wakati Kuna walioipata Hadi 20+. Baada ya mavuno utakua unajua Kwa nini wewe ulipata junia 6 na mwingine 20+ ile sababu ndio changamoto unayotakiwa kuitatua unapoingia Tena Kwenye kilimo.
KWa yeyote mwenye taarifa za hiki kilimo endeleeni kutoa comment
Ndio ni mahindi mara ya kwanza niliwekeza 900,000 ktk eka mbili nikapata laki 6 yaani hata pesa haikuludi. Nililudi Tena msimu uliofuata nikapata faida ya laki 5 Kila eka. Sasa hivi bado naendelea nachoSawa nimekuelewa..
Je umewahi shiriki kilimo tofauti na Ngano?
Ok.. pambanaNdio ni mahindi mara ya kwanza niliwekeza 900,000 ktk eka mbili nikapata laki 6 yaani hata pesa haikuludi. Nililudi Tena msimu uliofuata nikapata faida ya laki 5 Kila eka. Sasa hivi bado naendelea nacho
Mkuu naomba mawasiliano yako Kuna kitu nataka nijue zaidi.Ni Kilimo rahisi kisicho na gharama sana. Kwa huku Makete na kule Kilolo ninapolima, roughly gharama zake ni kama ifuatavyo kwa Ekari 1:
1. Kukodi Shamba Tsh 50,000
2. Kulima Ekari 1 Tsh 70,000
3. Mbegu Kilo 50-75@2500
4. Kupanda Tsh 50,000
5. Mbolea Pandia 1bg Tsh 75,000
6. Kiuagugu(2,4-D) Tsh 24,000
7. Viuatilifu(Lumps) Tsh 50,000
8. Uvunaji Tsh 50,000
9. Kubeba/safirisha Tsh 50,000
10. Vifungashio 10-12@1000
Jumla kuu Tsh 550,000/=
Mavuno: 10-12 bgs@100Kg Tuchukue 10 tu sawa na Kilo 1000
Kilo 1 Sokoni inacheza 1500 hadi 2000. Tukichukua minimum 1500×1000=1,500,000/=
Faida= 1,500,000-550,000
Roughly 950,000 ndani ya miezi 3.
Hapo ni kila kitu kikiwa sawa. Nina uzoefu wa Kilimo hiko kwa miaka 6 sasa.
Ingia tu. Uzoefu unapatikana kwa kutenda!😂😂😂Dah ukisoma hivi utasema hapa ndio pakuweka Hela,ingia ulingoni Sasa🤔
Hahahaaa....lima maua ya paretho walauHongera sana Kwa determination! consistency itsa key...
Bahati mbaya Sina namna naweza toa ushauri wa kilimo,I tried once na nilifail na nilikuchukia nimebaki kulima maua tu.....All the best
Aisee umenipa ushauri mzuri,maana kuna plot za urithi huko Nyanda źa juu labda nikajaribuHahahaaa....lima maua ya paretho walau
Wakora waito.Ingia tu. Uzoefu unapatikana kwa kutenda!
HahahaaaWakora waito.
Mkuu nasikia kwenye heka pato ni dogo sana ndio maana wabena hawaitikii kulima, je ni kweli ?Kilimo kizuri sana hiko. Mimi nalima huku Makete Mkoa wa Njombe pamoja na kule Kilolo Mkoa wa Iringa kwenye mashamba ya ASA na nimeingia mkataba na ASA kulima mbegu. Noti ipo sana kwenye Kilimo mkuu.
Soko lake linakuaje?Kilimo kizuri sana hiko. Mimi nalima huku Makete Mkoa wa Njombe pamoja na kule Kilolo Mkoa wa Iringa kwenye mashamba ya ASA na nimeingia mkataba na ASA kulima mbegu. Noti ipo sana kwenye Kilimo mkuu.