Kitandu Nkoru
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 885
- 973
Nami pia nasubiri nipo kiti cha mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa.Madaba ruvuma, same. Muda wa kuvuna miezi 6-8-12. Bei ya shambani kilo 1000-1500
Je, Tangawizi zinaliwa/chimbuliwa na wanyama kama Nyani, kima au Nguruwe Pori?
Madaba ruvuma, same. Muda wa kuvuna miezi 6-8-12. Bei ya shambani kilo 1000-1500
Tafadhalini wadau naomba kupata maelezo juu ya kilimo cha tangawizi kwa vipengele vifuatavyo:-
1/ Maeneo yanakolimwa hapa Tanzania. 2/ Muda wa kulima hadi kuvunwa 3/ Soko lake likoje hapa nchini
Salamu,
Kuna vitu vingine sio vya kuuliza,kwa maswali yako wala usijaribu kulima,
"
Kukodisha Shamba lake sh...?
Kulima Heka 1 sh...?
Mbolea sh ngapi....?
Heka 1 Kupalilia sh...?
Heka 1 kuvuna sh....?
Ni mikoa gani inasitwi",
Kwanza kabisa jua Hekta moja ni ekari kiasi gani, hakuna mkulima mtaongea kwa hekta, kila mmoja ataongelea ekari,
Shamba katufute utakapo pata uta negotiate bei ya kukodi, kulima shamba bei ni moja Tanzania nzima kwa jembe la kwanza na la pili, nenda shambani utakapo pata utajua kutokana na umbali trekta zinapopatokana, Kuvuna ni wewe kutafuta wavunaji, kila sehemu inategemea, ingia shambani fanya research mwenyewe.
Kupalilia bei ni standard Tanzania nzima, nenda shambani utajua na sio whatsapp, Mbolea bei ni moja Tanzania nzima, pata shamba utajua gharama za kufikisha shambani toka uliponunua, utapata gharama halisi.
Nakushauri usiingie, kilimo kinataka utayari na ku-focus kwenye challenge na sio mauzo.
Karibu.
Tangawizi inalimwa Kigoma sehemu gani?Shilingi mia sita kwa kilo huku Kigoma.