Salamu,
Kuna vitu vingine sio vya kuuliza,kwa maswali yako wala usijaribu kulima,
"
Kukodisha Shamba lake sh...?
Kulima Heka 1 sh...?
Mbolea sh ngapi....?
Heka 1 Kupalilia sh...?
Heka 1 kuvuna sh....?
Ni mikoa gani inasitwi",
Kwanza kabisa jua Hekta moja ni ekari kiasi gani, hakuna mkulima mtaongea kwa hekta, kila mmoja ataongelea ekari,
Shamba katufute utakapo pata uta negotiate bei ya kukodi, kulima shamba bei ni moja Tanzania nzima kwa jembe la kwanza na la pili, nenda shambani utakapo pata utajua kutokana na umbali trekta zinapopatokana, Kuvuna ni wewe kutafuta wavunaji, kila sehemu inategemea, ingia shambani fanya research mwenyewe.
Kupalilia bei ni standard Tanzania nzima, nenda shambani utajua na sio whatsapp, Mbolea bei ni moja Tanzania nzima, pata shamba utajua gharama za kufikisha shambani toka uliponunua, utapata gharama halisi.
Nakushauri usiingie, kilimo kinataka utayari na ku-focus kwenye challenge na sio mauzo.
Karibu.