mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 949
Habari zenu wana JF,
Naomba kama kuna mwana JF anayejishughulisha na kilimo cha Tangawizi anipatie mawasiliano yake ili niweze kununua tangawizi nitakazo weza kutumia kama mbegu shambani kwangu. Nakaribisha mawazo mbadala kuhusu namna ya kulima na soko la zao hili ndani ya nchi yetu.
Karibuni tubadirishane uzoefu kuhusu kilimo cha zao hili.
Ahsanteni
Naomba kama kuna mwana JF anayejishughulisha na kilimo cha Tangawizi anipatie mawasiliano yake ili niweze kununua tangawizi nitakazo weza kutumia kama mbegu shambani kwangu. Nakaribisha mawazo mbadala kuhusu namna ya kulima na soko la zao hili ndani ya nchi yetu.
Karibuni tubadirishane uzoefu kuhusu kilimo cha zao hili.
Ahsanteni