Lucas Mganda
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 250
- 178
Wadau nahitaji kulima viazi mviringo maeneo ya mbeya au njombe hivyo naomba mwenye information zitakazoweza kunisaidia anijuze kwani sijawahi kulima hata Mara moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nataka kusaidiwa katika hilo mkuu.Wadau nahitaji kulima viazi mviringo maeneo ya Mbeya au Njombe hivyo naomba mwenye information zitakazoweza kunisaidia anijuze kwani sijawahi kulima hata Mara moja.
Rutuba imeisha na pia mabadiliko ya sura ya nchi. Jua pia Ug hutumia sana mazao yenye GMO.Nimesomea uganda eneo linaitwa bukinda in kabare district. Hii sehemu wanalima sana viazi ulaya. Sisi pia kama wanafunzi wa seminary tulikuwa tukilima hivyo viazi. Yani kwa kule viazi vinalimwa bila mbolea wala dawa yoyote na mavuno nimakubwa ile mbaya. Leo nimepitia humu jamvini nimeshangaa kuona kuwa et sikuizi viazi vinalimwa na Urea sijui CAN, sijui dawa ya ukungu. Mara wadudu?
Swali langu ni kwamba hivi hii arth ya TZ inatatizo gani?
Ulitumia kama shingapi hadi kuvuna?nilipanda tigo ekali moja gunia tano baada ya miez minne nilivuna gunia 48
Nashukuru,kiongozi ila nilitaka kujua kama naweza ku-connect zile springer kama sita kwenye bomba moja sijui kama itafanya kazi,tatizo sijapata mtu mwenye nayo kuweza kujaribu kama inaweza kunifaa au la kwa huku kwetu.Ndio,pumpu za money maker ni bora na ni sahihi kwa matumiz ya bustani,pump hz zinauwezo mkubwa wa kuvuta maji na kusafirisha maji umbali merefu zaid
Kwa Dar sijajua maana mimi niko nje ya huo mji, ila nahisi kupatikana inawezekana sema gharama itakuwa juu.Hivi mbegu za viazi mviringo Dar es Salaam vinapatikana?
Huko ulipo mbegu zinapatikana kwa bei gani? Natafuta kiasi tuu za kujaribu kupanda hapa Dar.Kwa Dar sijajua maana mimi niko nje ya huo mji, ila nahisi kupatikana inawezekana sema gharama itakuwa juu.
Mi bado natatizwa na gunia la viazi,hivi huwa na debe ngapi? Na pia naomba kusaidiwa mbolea unatumia mifuko mingapi kwenye kupandia?Nilipanda Tigo ekali moja gunia tano baada ya miez minne nilivuna gunia 48
Mkuu naomba unijuze mfano nikivuna viazi na kuvihifadhi vinaweza kukaa mda gani pasipo kuharibika?Kilimo cha viazi kusini i.e Njombe :
Kwa eka moja,
Kukodi 100000-150000
Kulima-Elfu 50
Mbolea elfu 50-70 (inategemeana aina ya mbolea na umenunua lini)
na si chini ya mifuko miwili ya kupandia
Mbegu gunia 7@elfu 40-50 or above
Mbolea ya kukuzia elfu 60 or above mara mifuko 3
Madawa ya ya ukungu,fanya elfu 40
Hela ya palizi elfu 50
Mengineyo 100000
Masoko yapo hasa kwa mwaka huu gunia la debe 6 lilifika 60 kwa sasa sipo sijui ni shingapi.
Changamoto kubwa ni ardhi iliyochoka na mabadiriko ya tabia ya nchi ambayo hupelekea viazi kutoota vizuri,ila ukipanda wakati mvua zimeanza kunyesha una uhakika wa kuvuna.
Mavuno inategemeana kama ulizingatia vigezo;lakini ni kati ya gunia 20-60 au zaidi za debe 6
Mwaka jana nililima huko Njombe hivyo viazi ila mwisho wa siku nimetapeliwa na aliyekuwa msimamizi maana nilikuwa bize sanaKilimo cha viazi kusini i.e Njombe :
Kwa eka moja,
Kukodi 100000-150000
Kulima-Elfu 50
Mbolea elfu 50-70 (inategemeana aina ya mbolea na umenunua lini)
na si chini ya mifuko miwili ya kupandia
Mbegu gunia 7@elfu 40-50 or above
Mbolea ya kukuzia elfu 60 or above mara mifuko 3
Madawa ya ya ukungu,fanya elfu 40
Hela ya palizi elfu 50
Mengineyo 100000
Masoko yapo hasa kwa mwaka huu gunia la debe 6 lilifika 60 kwa sasa sipo sijui ni shingapi.
Changamoto kubwa ni ardhi iliyochoka na mabadiriko ya tabia ya nchi ambayo hupelekea viazi kutoota vizuri,ila ukipanda wakati mvua zimeanza kunyesha una uhakika wa kuvuna.
Mavuno inategemeana kama ulizingatia vigezo;lakini ni kati ya gunia 20-60 au zaidi za debe 6