Dominic mr
Member
- Jan 19, 2018
- 9
- 1
Habari wanaJF,
Nimepanda viazi hekta 3 na nimevipandia samadi yanguruwe.
Kwajinsi vyuma vilivyo kaza sina mpango wakukuzia zaid yakupiga dawa nakupalia tu.
Naomba msaada wakitalamu ntafanikiwa malengo yakutoa magunia yakutsha au itkula kwangu hata nisiludshe hela ya mbegu.
Nimepanda viazi hekta 3 na nimevipandia samadi yanguruwe.
Kwajinsi vyuma vilivyo kaza sina mpango wakukuzia zaid yakupiga dawa nakupalia tu.
Naomba msaada wakitalamu ntafanikiwa malengo yakutoa magunia yakutsha au itkula kwangu hata nisiludshe hela ya mbegu.