Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

Lakini biashara/project yeyote huwa rahisi/nyepesi sana ukiwa unasimuliwa.

Ila ingia ndani ukajionee mwenyewe, mambo huwa si rahisi kama watu wanavyosimulia hapa.

Hakunaga pesa inapatikanaga kirahisi, hapo kwenye milion 45 huenda mwenzio alitumia gharama hadi milion 30
mkuu usemacho ni kweli kaabisa. lakini kaa ukijua kuwa kilimo ni target hiyo m45 kwa heka 10 alipata hasara au faida kidogo imagine kuna watu wameuzia gunia moja laki4? kiasi kwamba heka moja tu ukipata magunia 60 kwa bei hiyo una m24.

mimi mwaka jana nililima nyanya mkuu nimeuzia bei ya 26k shambani kwa dumu lita 20 na hadi namaliza mavuno bei ilikuwa 22-24k shambani na nilipata dumu 411 wastani wa m10 na sehemu nilipata gharama hazikufika m2. mtu ukimwambia haya anakataa ni basi tu watu hatujaamua kuwa serious na kilimo chenye tija
 
Lakini biashara/project yeyote huwa rahisi/nyepesi sana ukiwa unasimuliwa.

Ila ingia ndani ukajionee mwenyewe, mambo huwa si rahisi kama watu wanavyosimulia hapa.

Hakunaga pesa inapatikanaga kirahisi, hapo kwenye milion 45 huenda mwenzio alitumia gharama hadi milion 30
Mkuu ni heka ya nyanya makadirio nichume ndoo700-1000 bei iliyopita Kwa Sasa ni 17-20. Matarajio yangu nikute bei hata Iko 10k tu manake Bado Nina uhakika wa m7+
 

Attachments

  • IMG_20240509_142915_223.jpg
    IMG_20240509_142915_223.jpg
    2.5 MB · Views: 24
mkuu usemacho ni kweli kaabisa. lakini kaa ukijua kuwa kilimo ni target hiyo m45 kwa heka 10 alipata hasara au faida kidogo imagine kuna watu wameuzia gunia moja laki4? kiasi kwamba heka moja tu ukipata magunia 60 kwa bei hiyo una m24.

mimi mwaka jana nililima nyanya mkuu nimeuzia bei ya 26k shambani kwa dumu lita 20 na hadi namaliza mavuno bei ilikuwa 22-24k shambani na nilipata dumu 411 wastani wa m10 na sehemu nilipata gharama hazikufika m2. mtu ukimwambia haya anakataa ni basi tu watu hatujaamua kuwa serious na kilimo chenye tija
Heka ya vitunguu hiawezi kukupa gunia 60 mkuu.

KIkawaida ukifaulu sana heka itakupa gunia 40 au 45, au 50 kwa wanao loga 😅

Na ukifeli sana heka inakupa gunia 25
 
Heka ya vitunguu hiawezi kukupa gunia 60 mkuu.

KIkawaida ukifaulu sana heka itakupa gunia 40 au 45, au 50 kwa wanao loga 😅

Na ukifeli sana heka inakupa gunia 25
kipindi namaliza form 4 nilikimbilia pwani kisarawe mkuu sehemu mopja inaitwa vizembe hapo ni mtoni kijiji jina huwa linanitoka nakumbukum,buka tu vizembe mto ruvu. nilikutana na mkulima mmoja alikuwa anavuna gunia zaidi ya 70 kwa heka. na sisi ndo tulikuwa vibarua wake kuvuna hadi kupakia kwenye gari.
 
mkuu usemacho ni kweli kaabisa. lakini kaa ukijua kuwa kilimo ni target hiyo m45 kwa heka 10 alipata hasara au faida kidogo imagine kuna watu wameuzia gunia moja laki4? kiasi kwamba heka moja tu ukipata magunia 60 kwa bei hiyo una m24.

mimi mwaka jana nililima nyanya mkuu nimeuzia bei ya 26k shambani kwa dumu lita 20 na hadi namaliza mavuno bei ilikuwa 22-24k shambani na nilipata dumu 411 wastani wa m10 na sehemu nilipata gharama hazikufika m2. mtu ukimwambia haya anakataa ni basi tu watu hatujaamua kuwa serious na kilimo chenye tija
nyanya ukiipatia ina hela... mkuu
 
kipindi namaliza form 4 nilikimbilia pwani kisarawe mkuu sehemu mopja inaitwa vizembe hapo ni mtoni kijiji jina huwa linanitoka nakumbukum,buka tu vizembe mto ruvu. nilikutana na mkulima mmoja alikuwa anavuna gunia zaidi ya 70 kwa heka. na sisi ndo tulikuwa vibarua wake kuvuna hadi kupakia kwenye gari.
Maybe 😁😁😁

Lakini mimi nilizungumzia kwa singida na manyara.

Mkuu nitakuja pm unipe raman ya huko rufiji na mimi niende nikajaribu maana kitunguu kimeoanda sana bei mjini saivi
 
Usiweke matumani sana ukifanya kilimo hiki fanya tu kama hiyo pesa ya kufanya kilimo uliibiwa.
 
mkuu sipo rufiji nipo geita kwa sasa na ndo nyumbani kule nilienda kwenye kazi nyinyine tu ya kuchomaa mkaa. ndo nikawa kibarua wa mashambani tu
Maybe 😁😁😁

Lakini mimi nilizungumzia kwa singida na manyara.

Mkuu nitakuja pm unipe raman ya huko rufiji na mimi niende nikajaribu maana kitunguu kimeoanda sana bei mjini saivi
 
Usiweke matumani sana ukifanya kilimo hiki fanya tu kama hiyo pesa ya kufanya kilimo uliibiwa.
shida kubwa iko hapa mkuu wengi wanaingia kwenye kilimo kwa matamanio ya kuwa mamilionea kwa muda mfupi tena hawa wanasoma na ku google siju heka moja ya vitunguu inatoa magunia mangapi theni akiona gunia 100 anaona kuna pesa za bure hapa
 
Ndo hivo, mimi kuna mshikaji wangu alitoka mkoa flan kaenda KATAVI kulima vitunguu, amekaa huko mwaka mzima akiwa ameacha mke na watoto mkoa mwingine huku akiwa amewaambia kuwa anaenda kutafta.

Alikaa huko mwaka mzima, akalima vitunguu akavuna akauza akapata milion 5, akaja kupiga hesabu ya gharama aliyotumia kuanzia kuanzia kukodi shamba, mbegu, vibarua, mbolea n.k akajikuta amepata faida ya laki 4 tu.

Imagine umeacha mke na watoto mwaka mzima ukiwa umeenda kutafta alafu unarudi laki nne ya faida, yaani ilibidi hadi mke akaenda kumshtaki kwa baba ake mzazi (Baba mkwe wa mwanamke).
Mkuu huyo bado alikua mshindi Sana, kosa alilofanya ni kutoendelea na miaka mingine. Kuna faida nyingi Sana alizipata ambazo zipo inform of "experience". Hakuna utajiri wa halalali na wa kudumu utakaoutengeneza ndani ya mwaka 1.
 
Back
Top Bottom