Zero brainer
Member
- Feb 24, 2024
- 38
- 104
😂😂😂Mkuu huyo bado alikua mshindi Sana, kosa alilofanya ni kutoendelea na miaka mingine. Kuna faida nyingi Sana alizipata ambazo zipo inform of "experience". Hakuna utajiri wa halalali na wa kudumu utakaoutengeneza ndani ya mwaka 1.
Eti "hakuna utajiri wa halali na wa kudumu unaotengezwa ndani ya mwaka mmoja" 😂😂😂