Zero brainer
Member
- Feb 24, 2024
- 38
- 104
πππMkuu huyo bado alikua mshindi Sana, kosa alilofanya ni kutoendelea na miaka mingine. Kuna faida nyingi Sana alizipata ambazo zipo inform of "experience". Hakuna utajiri wa halalali na wa kudumu utakaoutengeneza ndani ya mwaka 1.
Yes, kabla ya huo mwaka wa kugemua hua kuna miaka kadhaa nyuma ya kujifunza kupitia changamoto na hata kufeliπππ
Eti "hakuna utajiri wa halali na wa kudumu unaotengezwa ndani ya mwaka mmoja" πππ
Unafaham kwa deb la vitunguu linatoa kg ngap?Ndo hivo, mimi kuna mshikaji wangu alitoka mkoa flan kaenda KATAVI kulima vitunguu, amekaa huko mwaka mzima akiwa ameacha mke na watoto mkoa mwingine huku akiwa amewaambia kuwa anaenda kutafta...
Mang'ola niliwahi fika ,aisee wanalima kitunguu pale ni balaa
Utakaa muda gani na utalala wapi kama hauna nduguTwende tukajilipue mkuu.
Utakaa muda gani na utalala wapi kama hauna ndugu
Nicheki DMTwende tukajilipue mkuu.
Poa mkuu upo maeneo gani nipo darMwanaume unaenda kutafuta una uliza pa kulala, inasikitisha! Tutalala huko huko shambani tutakapo weka kambi, twende.
Uko Tanganyika nasikia kitunguu kinasitawNimezawaliwa pale na nimekulia pale Mahando,Niko Katavi Tanganyika kwasasa lile eneo Huwa hawaweki mbolea linasitawi sana ni Mbuga ambayo Iko mwambao wa ziwa Viktoria ukitokea Mahando kuelekea kaskazini kunavijiji kadhaa utavipita na kukutana na mradi wa maji ya ziwa Viktoria unaotikea sehemu Moja Ihelele mradi huu ndo unatoa maji Mwanza kupeleka mikoa ya Jirani Shinyanga,Tabora nk.Nataka kusema nini project utakayoenda kuweka labda iwe ya wizi vinginevyo hawaruhusu kabisa kufanya shughuli yoyote ya kilimo kwenye maeneo hayo , other wise mwenyeji wako hakukufafanulia hili
Nikweli kabisa hii na hurumii generator unatumia mitaro ya moto tuUko Tanganyika nasikia kitunguu kinasitaw
Mimi si tu kusoma nimzaliwa,Kisendi namfahamu sana hata yeye ananijua ,kushoka alishafariki Ndugu yake Kisendi anaitwa Magolyo yupo Geita kwa Inyasi YAKOBO napajua ni ndugu kwa upande wa Bibi kizaa Baba .ukiulizia mtu ana itwa Samwel Boniphace,au Mwanagokele nafahamika sana paleππMkuu namtafu
Mkuu naomba unisaidie kumjua jamaa yangu sana anaitwa kisendi pastory huyu jamaa alikuwa anasomea mbeya (Afya) wadogo zake ni akina kushoka(shoka alikuwa na saloon hapo senta mahando.)
Kuhusu bikoni ni kweli lakini Kuna maeneo Bado hawajaweka pia Kuna maeneo yenye mito ambayo hukausha maji mwezi 10.
Nilikuwa huko mwezi huu mwanzoni na nimebahatika kupata heka2 zipo vzr tu wenyeji wangu ni family ya nyasi na kulwa msabato. Nadhani kama umesomea hapo umepata picha kamili mkuu.
Nisaidie kumpata kisendi. Nakumbuka kipindi anaumwa kushoka alikuwa mjomba wake mstaafu sijui mwalimu ama la nilienda pale kumuona.Mimi si tu kusoma nimzaliwa,Kisendi namfahamu sana hata yeye ananijua ,kushoka alishafariki Ndugu yake Kisendi anaitwa Magolyo yupo Geita kwa Inyasi YAKOBO napajua ni ndugu kwa upande wa Bibi kizaa Baba .ukiulizia mtu ana itwa Samwel Boniphace,au Mwanagokele nafahamika sana paleππ
Ngoja nifanyeje mawasiliano ya huko Mahando nione maana ni kitambo kweliNisaidie kumpata kisendi. Nakumbuka kipindi anaumwa kushoka alikuwa mjomba wake mstaafu sijui mwalimu ama la nilienda pale kumuona.
Naomba mawasiliano ya kisendi tafadhar
Mkuu Adventure C,Nikweli kabisa hii na hurumii generator unatumia mitaro ya moto tu