Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nshalima kilosa seheem ya mvumi na lumumo mm nna uzoefu kiasi....kweli kitungu knalipa ila ombea usikutane na changamoto zke utaliaaaaa
Jamani waliofanikish tunaombeni waje watoe ushaur hap tushe idea napia waliofeli pia waje watoe changmoto hapa.tujufunze
Ebwaba Dar sasa hivi gunia ni laki mbili yani
kwa igawa wanapima vidole ktk upandaji.pato niguni mia hdi mia20kw eka.soko ni msimu unaotoa mazao.mwez1 hd7 soko nzur
lita5 iliyobk anauza na uelewe lita kwasahvi ni sh20alfu naww hutajua imeoteshw litangapi.matokeo unafeli kupand eka
Msada kw wanaolima morogoro n maeneo gani yanalimwa?
kwa ekari tatu mbegu kiasi gani inahitajika?
usiingie shambani kulima KWASABABU TU mwenzako amelima akafanikiwa, nenda kwasababu unajua unachoenda kukifanya na umeamua kukifanya.
Mkuu baada ya kusoma hii nimeshapata jibu ya lile swali uliloniuliza.5.MBOLEA hapo iko tatizo unampa mbolea mifuko 5 akakuzie shamban yy anakuzia 2 hapo amekata production kwa30%