Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Habari ndugu zangu,

Kwa jina naitwa Joseph ni mkulima na mfanyabiashara wa vitunguu. Kitunguu ni zao lenye manufaa makubwa na kipato cha hali ya juu endapo tu utafuata maelekezo ya mtaalamu.

Dhumuni langu hapa ni kuwaletea mbegu bora kabisa za vitunguu (Red Bombay) ambazo hukupa mavuno mazuri na yenye kipato kikubwa sana.

Bei ya mbegu hizi ni tsh 30,000/= kwa kopo la lita moja(1) na tsh 600,000/= kwa ndoo ya lita ishirini.

Guarantee: Ndoo ya lita 20 ambayo ni sawa na makopo 20 ya lita moja inatosha kupanda eneo la hekari 1 (m70*m70) na kiwango cha chini cha mavuno ni gunia 100 na kiwango cha juu ni gunia 110-120 ndani ya siku 90 (3 months) toka kupanda. Gunia moja sokoni kariakoo, ilala, buguruni, temeke na mabibo kwa sasa bei ni tsh 130,000/= * gunia 100 = tshs 13,000,000/= ndani ya miezi 3.

Kama utakua na swali lolote au kutaka kujua zaidi usisite kunitafuta kwa namba zangu za simu +255655003510 au e-mail address: josephkadendulah@gmail.com

Ahsanteni sana na karibuni tujenge maisha bora kwa kila mtanzani.

Jambo Jema Kaka.

Vipi gharama za kukodisha Shamba pamoja na vibarua. ?
 
nipo interesting sana na kilimo.........

pamoja na kilimo kunipatia hasara miaka mitatu mfululizo , ila bado sijakikatia tamaa........

najipanga , nikiwa full nitakutafuta.

Pacha vipi tena?
Kumbe nawe mkulima mwenzangu?
Pole sana kwa hasara!!
 
Water pump nakushauri utafute zile za kusukwa na mafundi, huwa zinauzwa kuanzia laki 9 ila huwa ni imara na inavuta maji mengi sana, ndan ya saa moja unakua ushamwagia eneo la ekari moja. Ila hizi za madukan za laki 3 hazifai kwa kilimo serious.

kuna muda nilishawishika kununua hizo za laki 3...vip hizo za kusuka mtaani zinatumia petrol pia?
 
Kama kuna whatsapp group ya kilimo mniadd namba yangu ni 0759922889,pili wakulima watarajiwa tafuteni soko kwanza kabla ya kulima maana storage ya vitunguu kwa wengi ni shida pia hii variety inatoa produce nzuri tatizo huwezi kuvihifadhi kwa muda mrefu kwani vina shingo kubwa na maji mengi pia harufu yake si kali
 
Nimesema kwa anaetaka kujiunga na group la kilimo whatsapp ani PM namba yake ya simu please!
 
Toeni go ahead kama hakuna group nilicreate now then ni post taharifa ya kuwapo kwa group mchango wangu mm niko chuo cha kilimo Tengeru na pia wapo wenzangu ninaosoma nao na waliomaliza pia ambao wanafahamu kilimo kwani wengi wameshaajiliwa na makampuni na serikali pia ni mabwana na bibi shamba
 
Toeni go ahead kama hakuna group nilicreate now then ni post taharifa ya kuwapo kwa group mchango wangu mm niko chuo cha kilimo Tengeru na pia wapo wenzangu ninaosoma nao na waliomaliza pia ambao wanafahamu kilimo kwani wengi wameshaajiliwa na makampuni na serikali pia ni mabwana na bibi shamba

Mkuu li create then tengeneza post yenye mada tajwa uweke na namba zako tusonge mbele. Go ahead.
 
Back
Top Bottom