Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

fursa hivi embu ng'amua kidogo kuhusu TAYODA mkuu
 
Majina ya cheti cha kuzaliwa ni Emmanuel Hilary, kwa sasa ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, chuo kikuu cha Dar-es-salaam katika fani ya udaktari.

Nina ndoto ya kuwa mjasiliamali pia, ni mwanajamvi mpya hivyo naomba mnipokee na kunipa ushirikiano mimi mdogo wenu. Natanguliza shukrani
 
Kwa shamba kubwa unaweza kusia mbegu moja kwa moja shambani?
 
Kilimo bila surveying ili upate ujuzi kitakutia presha. Pia atlist ni muhimu kujenga partnership kwa anayeanza kulima mara ya kwanza na mzoefu ili kupata uzoefu.
 
Hello comrades
Naomba ushauri kwa yeyote mwenye utaalamu au uzoefu wa hiki kilimo
Baada ya kuona fursa kwenye kilimo cha vitunguu swaumu, nilishawishika kuanza kulima.

Baada ya uchunguzi wa awali kuhusu aina ya udongo, tabia nchi na upatikanaji wa maji, nilitafuta na kupata shamba maeneo ya Tunduma ambalo lilikuwa na sifa zinazotakiwa kwa kilimo cha vitunguu.

Nilianza maandalizi ya shamba, na nikaamua kupanda kwa batches, na batch ya kwanza vimeshatoka, vina wiki ya tatu. Kuna issue moja ambayo sikuiangalia vizuri wakati natafuta eneo, nayo ni jua. Recently nimegundua kuwa shamba langu liko kwenye ukanda wa jua kali hasa kipindi cha kiangazi na wakati utaalamu unaonyesha kuwa ili kitunguu swaumu kikue vyema kinahitaji jua lililopoza.

Je, Kuna namna yoyote Naweza kucontroll jua ili mimea istawi vyema? Natanguliza shukrani
 
Jua sio tatizo. Hakikisha unamwagilizia maji ya kutosha. Jua husaidia sana katika ukuaji wa mimea. Na hii ni nzuri sana kama jua ni kali hata magonjwa huwa sio mwengi. Cha muhimu ni water water water. Ila naomba nikuulize swali mbegu gani ulitumia?
 
Habari wana jamii. Natamani sana kuwa mkulima, hasahasa natamani kubase ktk kilimo cha vitunguu Maji na mpunga. Lkn challenge niliyonayo ni mtaji. Sasa nimeamua kutake risk ya kuuza nyumba yangu iliyopo dar ili nipate mtaji ktk kilimo.

Najipa moyo kuwa baada ya miaka mitatu kilimo kitanipa pesa ya kujenga Nyumba nyingine. Lkn kabla sijafanya hilo nimeona nibandike hapa hili wazo ili niweze pata ushauri wenu pia
 
Mkuu hakikisha ni kilimo cha umwagiliaji na kufuata ushauri wa kitaalamu ila kutegemea mvua hiyo nikamali coz mvua siku hizi hazina kanuni kama Garimoshi la Mpanda-Tabora.
 
Kwan gharama/mtaji wa kuwekeza kwenye hekta moja unawekurange sh. Ngapi jamani wachambuzi mnahitajika pls
 
Asante Mkuu Uliyeweka Bandiko hili, naomba kama unazo Contact zozote za Huyu Bwana Kangoye Naomba unitumie kwenye In Box yangu Tafadhali ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…