Vp mkuu ulipata patner!??na mm nipo interested na hii kitu nipo moshi..........kama uneza taka partnership npo tayar
Mkuu hiyo ilikuwa ni kipindi ganiHilo la mvua inaweza kuwa kweli kak..
Nilipanda kitunguu heka 5, nilipo anza kuvuna siku hiyo hiyo ilinyesha mvua kiangazi nikala hasara sikupata kitu
Ndio kitunguu hakipatani na mvua haswa kikiwa kimekomaa,kikiwa kichanga hakuna shida hvyo zingatia kukilima kikomae kiangazi,pia ardhi yako iwe na matoleo ya maji maana kama.maji si ya kusimama pia hakitoharibika ,na kuna variety mfano tajirika ya east west vinavumilia maji mengi hata vikiwa vimekomaa,lazima utazame shamba kwanza .kulima eka haizidi milioni mbili kwa kila kitu yaani from kukodi shamba mpaka mavunoMkuu nina taka kuingia kwenye kilimo target yangu kubwa ni horticulture,sana ni kilimo cha mboga mboga ikiwemo vitunguu nyanya karoti na hoho wazo langu kuu ni kuanza na kitunguu mwakani nifanye deployment ya horticulture kwa kitunguu kwa eka moja.. nimesikia swala la mvua kunyesha na kuozesha vitunguu nataka nipate msaada wa kitaalamu pia na makadirio ya gharama za horticulture kwa hyo eka moja
Tusaidie mkuu kwa unalolijuaNimefika mkuu
[/COLOR][/SIZE]
aani wachangiaji wengi hapa, sio wakulima nahisi ni watu wakusikia kuhusu kilimo, sijaona mchango wowote unaoweza kumsaidia mleta mada pamoja na mimi, @kilimomaarifa, tunakuomba huku.
Vp mkuu, naweza pata heka 1 hukoWadau nataka kupanda vitunguu maji na pilipili hoho maeneo ya kisarawe.
Naomba wadau mnisaidie ushauri pamoja na soko .
Asante.
Ah kiongozi soma vizuri maelezo ya apo juuHeka moja unaweza pata magunia mangapi
hiyo bei ni kwa mikoa ipi...au soko lipi?..Vitunguu na hoho vyote vinahitaji udongo tifutifuti, au tifutifu kichanga,USIWE MFINYANZI, muda mzuri wenye bei nzuri ya kitunguu na hoho ni November- May, Kitunguu by November huanza na bei ya 100,000-150,000 tsh. Mavuno kwa eka moja ya kitunguu wastani ni gunia 70 kama mbegu ni OPV,kama mbegu ni local mavuno ni gunia 50@ kilo 120. Kama mbegu ni hybrid F1/ Chotara mavuno maximum kwa eka 1 ni gunia 120.
AGRONOMY YA KITUNGUU.KIASI cha mbegu cha kutosha eka 1.
Kitunguu maji utahitaji kilo 1 na ziada ya gram 200 kama imergency cost ya mbegu ni kuanzia 180,000-460000 kutegemea na mbegu/ aina ( Hybrid au OPV). Ni vyema ukaanza na mbegu aina OPV kama vile Red Cleore,au Red Bombay anza na hizi OPV coz si gharama sana hyo mbegu kiasi cha 1.2 kgs zaweza uzwa maximum tsh 360000 zatosha eka1, utahitaji mifuko 2 ya Mbolea ya kupandia mbolea kama DAP au Yara Miller Winner au NPK utahitaji hizo mbolea wakati ukisia mbegu kitalu na wakati wa kutransplant cost ya mifuko 2 ni 180,000 kama siyo mbolea za Yara, coz mbolea za Yarra ni ghari zaidi, miche ya kitunguu hukaa kitaluni wiki6-8. Shambani itakaa siku 90, utahitaji mifuko 3 ya mbolea ya kukuzia CAN, cost ni kama tsh 240,000, utahitaji booster pia lita 2 kama super grow etc utahitaji dawa za wadudu kama decis, imidaclopid au duduall etc utahitaji dawa 2 za wadudu tofauti angalau lita 2, gharama ya booster na dawa za wadudu ni kama tsh 120,000, SOKO zuri la kitunguu ni mwezi November- May,bei hufika tsh 150,000 - 250,000tsh by May kwa gunia 1. JUMLA KUU YA gharama ya kuzalisha kitunguu kwa eka 1 ni wastani wa 1.8 -2.5 Million.
hi
hiyo bei ni kwa mikoa ipi...au soko lipi?..
Mkuu naomba kujua kampuni zenye uhakika wa mbegu bora ya kitunguu, nina ekari 2 pale kijiji cha Kware Ruaha nataka nikaweke mbegu mwezi huu wa nane japo sijui msimu utanibeba, kwani nilitaka kupanda mwezi wa nne nikastukia bei ilibidi nipige tikiti kuzugaIRINGA-RUAHA MBUYUNI, DAR-ES-SALAAM-KARIAKOO, NA ZANZIBAR-MWANAKWEREKWE
EMkuu naomba kujua kampuni zenye uhakika wa mbegu bora ya kitunguu, nina ekari 2 pale kijiji cha Kware Ruaha nataka nikaweke mbegu mwezi huu wa nane japo sijui msimu utanibeba, kwani nilitaka kupanda mwezi wa nne nikastukia bei ilibidi nipige tikiti kuzuga
ungetueleza ilikuwaje hd ukapata hasara ingetusaidia sanaNimelima na nimenunua sina hamu kabisa na biashara hii wanaofaidi ni madalali wa pale kariakoo na kwingineko 10m ilikatika kama mchezo