Mbolea nlitumia samadi na mbegu nilinunua wakat wa mavuno kwenye mwezi wa 8-9 kuhusu aina ya mbegu ni hardneck vile vya Kati...Mkuu kwa upande wa mbolea uliweka mbolea gani? Kiasi gani hadi kuvuna nusu heka? Bei ya mbegu kilo 1200 ilikuwa ni mwezi gani? Je ulinunua ikiwa bei rahisi (wakati wa mavuno) au ghali? Ulipanda aina gani ya vitunguu kati vile vikubwa vyeupe au vile vidogo vya kawaida?
Asante mkuu. Je kuna ambao walitumia mbolea ya chumvi chumvi maeneo hayo? Kama ndio matokeo yalikuwaje?Mbolea nlitumia samadi na mbegu nilinunua wakat wa mavuno kwenye mwezi wa 8-9 kuhusu aina ya mbegu ni hardneck vile vya Kati...
Mbolea ya chumvi chumvi sina uzoefu nayo na kwa kwa hapa hawatumii kabsa labda wataalamu wa humu jf watusaidie...Asante mkuu. Je kuna ambao walitumia mbolea ya chumvi chumvi maeneo hayo? Kama ndio matokeo yalikuwaje?
Soko lipo Sana kuanzia miezi ya January mpaka May hapo utapiga hela ndefuVp kuhusu soko ni la kutafuta au ni very open !??
Ahsante kwa mrejesho mkuu ngoja nifuatilie kuhusu swala la udongo halafu nione itakuaje.Kiongozi niko salama, siyo mwenyeji sana na kibaha, ila jambo la msingi ni kujua kwamba mazao hayo yote yanahitaji udongo kichanga, au tifutifu au kichanga tifutifu, yaani udongo ulio loose, uwe unapitisha maji kwa haraka. Udongo ulio loose husaidia ile build ( tunguu) kutanuta na kukua. Kingine cha kujua ni kuwa kitunguu swaumu hakina mbegu za madukani hivyo utahitaji kununua toka masokoni. Mazao hayo yoote yanachukua wastani wa miezi mitano tangu kupanda mpaka kuvuna. Sasa ni muhimu kupiga hesabu zako vizuri kujua kwa kibaha masika huanza lini? Lengo hasa ni kujipanga uvivune kabla ya masika kuanza! Vikikutwa na mvua shambani vitaoza!!
Maji ya uhakika ya kumwagiliahali ya hewa
Mkuu gharama inahusishaShamba nilikodi kwa miaka miwili iligharimu sh 1.000.000/=kwa miaka yote miwili kuhusu kuhudumia shamba nlimpata kijana ambaye alikuwa anasimamia shughuli zote za shamba kwahyo iligharimu Kama sh 500,000/= kwahiyo gharama yote ilikuwa 1,5m
Kilimo cha hiki zao ni cha umwagiliaji kwa sababu mvua huwa inaharibu Sana hili zao kwahiyo itafaa kwenye maeneo ya bonde lenye maji ya MTO au kisima hapo itakufaa miezi ya kupanda ni miezi ambayo mvua imepingua kidogo kuanzia mwez wa 2- 4,na udongo aina yoyote usipokuwa usiwe mfinyanzi na mchangamchanga.Kuhusu mbegu bora uende mashambani wanakolima mana mbegu za sokoni zingine hazioti...Kama Una swali lolote usisite kuuliza...ahsanteniKwa makusudi mazima kabisa,nakuomba ukipata muda uandike upya huo mrejesho wako bila kukosa taarifa muhimu kama.
1.Huota baada ya muda gani kupandwa?
2.Kwa kutegemea mvua kama chanzo cha maji,ni ipi miezi mizuri ya kupanda?
3.Step za uhudumiaji kwa kupiga madawa na amount yake
4.Mbolea gani na kiasi gani itahitajika.
n.k
Ila nina swali la kipekee,je,kwa maeneo yenye udongo wa tifutifu na ni milimani na mvua hunyesha kuanzia NOVEMBA-MEI/JUNI,zao hilo litastawi?
Ahsante.
Mkuu mi ningependa kujua kama vitunguu mbegu yake ikoje. Ina sifa maalum au naweza tu kwenda sokoni nikanunua debe kadhaa nikavunja vunja na kwenda kupanda.
[emoji120] [emoji120]Kilimo cha hiki zao ni cha umwagiliaji kwa sababu mvua huwa inaharibu Sana hili zao kwahiyo itafaa kwenye maeneo ya bonde lenye maji ya MTO au kisima hapo itakufaa miezi ya kupanda ni miezi ambayo mvua imepingua kidogo kuanzia mwez wa 2- 4,na udongo aina yoyote usipokuwa usiwe mfinyanzi na mchangamchanga.Kuhusu mbegu bora uende mashambani wanakolima mana mbegu za sokoni zingine hazioti...Kama Una swali lolote usisite kuuliza...ahsanteni
Hongera mkuu, sasa naomba uniweke sawa hapa kwenye swala la mbegu, je kuna mbegu kwa ajiri ya kitungu swaumu maana kwa taarifa nilizosikia ni kuwa mbegu huwa kitunguu chenyewe kile unatoa punje moja moja then unapanda naomba uniweke sawa kwenye hili kama hutojali.Kilimo cha hiki zao ni cha umwagiliaji kwa sababu mvua huwa inaharibu Sana hili zao kwahiyo itafaa kwenye maeneo ya bonde lenye maji ya MTO au kisima hapo itakufaa miezi ya kupanda ni miezi ambayo mvua imepingua kidogo kuanzia mwez wa 2- 4,na udongo aina yoyote usipokuwa usiwe mfinyanzi na mchangamchanga.Kuhusu mbegu bora uende mashambani wanakolima mana mbegu za sokoni zingine hazioti...Kama Una swali lolote usisite kuuliza...ahsanteni
Mbegu zile punje Mkuu siyo kitunguu kizima....ahsanteHongera mkuu, sasa naomba uniweke sawa hapa kwenye swala la mbegu, je kuna mbegu kwa ajiri ya kitungu swaumu maana kwa taarifa nilizosikia ni kuwa mbegu huwa kitunguu chenyewe kile unatoa punje moja moja then unapanda naomba uniweke sawa kwenye hili kama hutojali.