Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Na hapo unaweza kupata gunia ngapi?
 


Mkuu kilimomaarifa.tajiri, niaje kiongozi.

Ebana naomba utalaamu/uzoefu wako katika hili:

Ili kupata mavuno MENGI yenye ubora (katika kilimo chochote kile), je mkulima atumie mbolea ipi.... ya kienyeji (samadi) ama ya kiwandani (DAP, CAN, NPK, n.k) ama achanganye/atumie zote awamu kwa awamu?

Huku mashambani kumekuwa na mkanganyiko mkubwa. Baadhi ya wakulima wanasema kuwa mbolea ya kienyeji ndo inafaa kuanzia kupanda mpk mwisho mavuno, ila ya kiwandani inaharibu rutuba ya asili (inaua ardhi). Wengine wanasema ya kiwandani ndo inafaa zaidi kuanzia kupanda mpk mwisho kuvuna, inatoa best results (mavuno mengi sana). Wengine pia wanasema ukizitumia zote (I.e ya kienyeji na ya kiwandani, awamu kwa awamu) ndo utapata best results ktk mavuno.

Ni mkanganyiko mkubwa. Hebu wataalamu wa mambo haya tupeni ushauri wenu katika hili.

-Kaveli-
 
Wenzako tunapiga hela ww endelea kuwa na mashaka ulizia kilo moja sahiv sh ngapi sokoni
Sasa izo milion saba ni pesa za kujisifia na wewe. Nikiigawa kwa miezi mitano ni kama vile ulikuwa unafanyia m1 kwa mwezi. Sasa unajisifu kupata m1 kwa mwezi. Au ulikuwa hujashika pesa ya namna iyo.

Wewe kwanza muongo tu. Upo hapa unajikanyaga kanyaga tu. Mara nilikodi shamba ka m1, mara nililipa msimamizi laki tano jumla 1.5 ndyo cost. Huoni hata aibu. Cost za mbegu, umwagiliaji, uandaaji wa shamba, mbolea, vibarua, ulinzi etc umemuachia nani.

Nyie ndyo tunawaitaga wakulima wa internet.
 
Ww Kama ni mkulima si ulete data zako
 

ipi namna bora ya kitaalamu kuzuia kitunguu kisiharibiwe na mvua??
 
Mkuu naomba number yako ya simu unaonekana una utaalamu wa kulima kitunguu,na mm nataka kuanza kulima mwaka huu
 
Jamani bei ya kitunguu maji ipo chini huku Iringa hadi majanga. Gunia Tsh 35000/= asalale!
 
Jamani bei ya kitunguu maji ipo chini huku Iringa hadi majanga. Gunia Tsh 35000/= asalale!
Shambani au sokoni?

Mwaka wetu huu,na wale waliolima hyprid akina neptune hasa hasa wenye degree wataisoma..
 
Habari wana jf, naombasaaada kwa MTU ambaye ameshawahi kulima vitunguu maeneo ya njiapanda au kileo kama unaenda mwanga. Kuanzia gharama za kukodi shamba palizi mbegu na kiss cha mavuno...asante
 
Habari zenu wanajukwaa!!!!

Sticking to the point:

Nimejaribu ku search na ku google kuhusiana na hiki kilimo cha vitunguu saumu nimepata kuhusu yafuatayo:
1. Udongo unaofaa kukilima
2. Maeneo kinapolimwa
3. Hali ya hewa inayofaa

SIJAPATA YAFUATAYO:
A. Ain a za vitunguu saumu
B. Mbolea zinazotumika kukilima na jinsi ya kuzitumia kutegemea umri wa kitunguu hicho
C. Madawa yanayotumika na kwa muda gani.
D. Utofauti wake na vitunguu maji kwenye taratibu za kukilima
E. Aina za mbegu, gharama zake na zinakopatikana
F. Kiasi gani cha mbegu kwa ekari moja
G. Taratibu za nyongeza kukihusu katika mchakato wa kukitunza.

NAWAKARIBISHA WABOBEZI WOTE KATIKA KUTUDADAVULIA kinagaubaga ya hii kitu.
Maofisa kilimo wote tusaidieni hapa tujikwamue kwa maana no way out AJIRA HAKUNA. Inabidi tujiajiri katika kilimo.
Yeyote mwenye utaalamu wa kilimo cha vitunguu Saumu atusaidie.

SHUKRANI NAWEKA MBELE!!!
KARIBUNI.
 
Wakuu mwezi nne nahitaji kuanza heka 1 ya kulima kitunguu maji maeneo ya Moro, naomba utaalamu wenu kuhusu mbegu bora ni ipi? Dawa kwa ajili ya kinga na soko la uhakika napataje. Au ushauri wowote utaonifaa kwa sabab ndio mara yangu ya kwanza kulima.
Asanteni.
 
Habari ndugu zangu,

Naomba mwenye uzoefu na kilimo cha vitungu maji tusaidiane na nia ya kulima mwaka huu zao hilo 0717 209059 pia whatsap ipo hiyo namba.

Natanguliza shukrani kwa mtakaojitolea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…