Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Haswa vinapendwa vitunguu vyekundu so meru super,neptune,jambar ziko poa ,hata red bombay ina vitunguu vyekundu sema tatizo ni vinatoa mabomba (boltingl sana tatizo ambalo kwenye improved na hybrid hakuna so kila mbegu inakua kitunguu
i prefer hiyo Neptune japo ni ghali ila kizuri huwa na gharama, kama naweza nunua smartphone hata hizo mbegu ni muhimu kununua yenye quality ambayo hutajuta kuitumia.
 
Jaman ndo napandikiza kitunguu hapa nadhan naweza toa mzigo May!!!
 
Kitunguu kimekuwa cha kisenge mno this time, nililima msimu wa mwezi wa 9 mpaka mwezi huu nimevuna sokoni hamna bei. Naskia harufu ya loss tu bora ningefungua car wash tu!
 
wadau najiandaa kusia mbegu mwez2 tr15 shamba nitapeleka mwez wa4 mavuno wa7 wataalam hapo vp nipe simiyu (MKOA MPYA JIRAN NA SHINYANGA NA MWANZA ) kwa wale wagen wa mikoa midogo. wataalam vp hapo taming ya soko!?
 
 
nataka lima heka moja nipo singida......samahani naomba kujuzwa nasikia kitunguu kikinyeshewa kimeharibika
 
Jamani habarini. Huu mjadala nimeupenda sana unaonekana kua mzur sana kwangu naomba uendelee haswa kwa kujibiwa ni mwez gani ambao nikivuna nakuta gunia liko juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…