i prefer hiyo Neptune japo ni ghali ila kizuri huwa na gharama, kama naweza nunua smartphone hata hizo mbegu ni muhimu kununua yenye quality ambayo hutajuta kuitumia.Haswa vinapendwa vitunguu vyekundu so meru super,neptune,jambar ziko poa ,hata red bombay ina vitunguu vyekundu sema tatizo ni vinatoa mabomba (boltingl sana tatizo ambalo kwenye improved na hybrid hakuna so kila mbegu inakua kitunguu
Karibu sana ndugu yanguMkuu nakukubali nilitembelea page yenu aisee mko vyema sana kwenye idara zenu.
Mungu awasimamie siku moja tukijaliwa tutafanya kazi pamoja.
shukran mkuuKaribu sana ndugu yangu
Naomba unipatie link yenu nami nipitieKaribu sana ndugu yangu
www.sevia.bizNaomba unipatie link yenu nami nipitie
Jiandae kwa 40 guniaJaman ndo napandikiza kitunguu hapa nadhan naweza toa mzigo May!!!
Daaaaaaa! KwannJiandae kwa 40 gunia
Kwa uzoefu wa mwak jana may Iringa ilkuwa mpaka 180000 kwa gunia.Jiandae kwa 40 gunia
Mm niko mkuranga jee hali ya hewa inaruhusu kilimo cha vitunguu majiNahitaji ushauri juu ya kilimo cha vitunguu maji
Milioni moja?
Inategemea unalimia wapi?
Inategemea umwagiliaji kwa pampu au mifereji au mvua
Uzoefu wangu huku Kilosa huu:
Mbegu lita 7 kwa ekari @ 25,000/= jumla 175,000/=
Kuandaa kitalu 20,000/=
Kusia mbegu 10,000/=
kutunza kitalu 30,000/=
kukodi shamba 100,000/=
kufyeka shamba 48,000/=
kukatua udongo 64,000/=
kulainisha udongo 48,000/=
kutengeneza majaruba 25,000/=
kupandikiza 160,000/=
dawa ya kuua magugu 40,000/=
palizi mara mbili 100,000/=
Mbolea mifuko mitatu 210,000/=
Mtu wa kuweka mbolea mara mbili 10,000/=
madawa kuua wadudu na magonjwa 50,000/=
mpiga dawa wiki kumi 50,000/=
kung'oa 50,000/=
kukata vitunguu gunia mia 200,000/=
usafiri 100,000/=
chanja kukodi 100,0000
umwagiliaji petrol 2500 x lita 5 x wiki 10 = 125,000/=
mtu wa kumwagilia 5000 x wiki 10 = 50,000
JUMLA KUU = 1,855,000/=
Kwa wastani ni mil 2
asante sana ushauri wako utakuwa msaada kwangu
Wakuu na tafaadhali niwekeni kwenye hilo kundi nipate maujuzi ya kilimo kwanza 0788907760jamani wakuu niwekeni kwenye grp la kilimo na mifugo nilipoteza simu. 0627575354