Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Hadi hzi mambo mnahitaj pdf[emoji23][emoji23], kajitupie kwa wanaofanya hii mambo wakupe mwongozo.
Nilikuwa nataka kufanya kilimo intensive sasa nina andaa kitu kama proposal ili niweze ku tackle investors kaka, so nina kusanya documents
 
Realtor

Jaribu Mang'ola kaka, Iringa kuna maeneo wanalima sana vitunguu pia-nimesahau ni kijiji gani along BY road.

Kilimo Kinalipa.

Mkuu naomba basi kwa wakulima wa kitungu dawa ninazo za kutosha snow thunder na round up
Za kutosha 0742645349
 
Samahan jamani, kama Kuna mtu anauza water pump used inchi 2 Kwa mikoa ya iringa na mbeya naomba tuwasiliane lakn iwe imetumika mwaka mmoja tu.wasilian nami kupitia 0758531443,ahsante
 
Habari wana JF nimeweza kujiunga humu kuweza kupata elimu ya kujifunza juu ya hatua za ulimaji wa vitunguu swaumu na maeneo husika yanayolima vitunguu swaumu...me napatikana mkoa wa dar es salaam..
0714_852712 namba zangu za simu kwa atakayeweza kunielezea kiundani zaidi plz wana JF..
 
Habari wana JF mwenye elimu ya kutosha juu ya kilimo cha vitunguu swaumu na mikoa yake yanayolima hivyo vitunguu swaumu..nahitaji elimu juu ya kilimo hiko...kwa mwenye elimu hiyo tafadhari naomba anijuze...
Mawasiliano:0714852712
 
Kuna Threads nyingi tu humu kuhusu kilimo Cha vitunguu, zitafute Google
 
Uzaaji wake hujatueleza
 
Kwanini usitafute kijana ambaye ni mwaminifu umuachie hiyo biashara awe anakulipa?,either kwa siku au mwezi.
 
Kwanini usitafute kijana ambaye ni mwaminifu umuachie hiyo biashara awe anakulipa?,either kwa siku au mwezi.
Kwenye pesa hakuna uaminifu boss, aither rent it out for some fees na makubaliano yanayoeleweka au uza tuu lakini swala la uaminifu sahau ni mambo ya kipuuzi sana kisheria na watakuibia tuu
 
Habari wadau,

Napita tu wadau, nasambaza upendo huu kwa wafanya biashara/makampuni tusiingie hasara;

31March ni deadline (siku ya mwisho) kufanya MAKADIRIO YA KODI. siku moja ya kuchelewa faini 225,000/=
KWA MSAADA ZAIDI NICHEKI 0788104228

 
Mkuu[emoji1602]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…