Ukitumia neptune mbegu kg 1.5 ni tsh 555,000/=
Kukodi shamba=
Kulima trecta=
Kuandaa kitalu sqm 500=
Kuandaa matuta ya kusia=
Kunyesha ya kwanza=
Kusia=
Kutafuta na kutandika matandizo=
kunyesha kitalu mara 20(mafuta,kibarua etc)=
Kitalu mbolea can kg 1,seedling starter 1=
Dawa ya ukungu 0.5kg na ya wadudu(thrips and red spider)=
Kibarua kitaluni=
Kupiga harrow shamba au kulima na ng'ombe=
Kunyesha ya kwanza na kuandaa matuta=
Kusia shamb eka vibarua=
Mbolea dap kg90 ya eka=
Kunyesha shamba mara 2 kwa wiki kwa mwezi mmoja kisha mara moja kwa mwezi kwa miez 3=
Palizi mbili =
Mbolea shambani urea/can kg 90,yara winner kg 90=
Dawa ukungu kg 1(ivory 72/rido/ebony 72 etc,blue copper),wadudu thrips,red spider,caterpillar(evisect,dynamec,belt)=
Kibarua kupiga dawa=
Kuvuna vibarua=
Hizo general gharama jaza amount kwa uliko uone unapata kiasi gani ,hapo ya kwako au msimamizi nnje ya budget