Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Mkuu Bavaria, naomba umalizie pia hapo... kwa kila Ekari moja unaweza kupata kilo Ngapi kwa makadirio? Na mapato pia kwa bei ya soko ikoje? Pia hizi details ni maeneo gani?

Shukrani mkuu kwa details nzuri.
Mbna mi sijaelewa chchote hapa
 
Mimi napenda kuwasisitiza mambo makuu matatu katika kilimo hichi kwasababu nimeshuhudia watu wana ingizwa Chaka na kupoteza mamilioni

1. Usianze kulima kabla hujapata ABC kamili za kilimo na changamoto zake. Tembelea watu ambao wana uzoefu Kwenye kitunguu. Jua Majira ya kukilima kitunguu, jua soko lilivyo na linavyo badilika, jua mbegu bora na mahitaji ya kitunguu n.k

2. Kama Ni muajiriwa chonde chonde achana na kilimo cha whasap na simu, yaani usikae ofisini ukawa unatuma tu hela shamba, weka ratiba ya Kwenda shamba at least twice a month ukaone maendeleo

3. Hakikisha hakikisha ndugu unapata mtu mwaminifu wa kusimamia shamba masaa yote. Yani ndio awe project manager wako ambaye kazi Yake Ni kusimamia shamba lako. Awe amesha lima kitunguu au anakijua kilimo

NB: Usiwaze faida kwasasa, achana na habari za kuuliza ekari moja inatoa gunia ngapi na gunia shilingi ngapi. Target yako kwasasa iwe kujifunza hivyo anza na ekari moja au chini ya hapo.
Kama unakunywa bia piga mbili mzee nitalipa,,
 
Mkuu Kubota nimependa mchanganuo wako, mimi niliwahi kulima vitunguu misimu miwili, msimu wa kwanza nilipata hasara ya shilingi laki tatu kwa kilimo cha heka moja. Msimu wa pili ndio ilikuwa funga kazi maana nilipata hasara ya 2 million kutoka kilimo cha heka mbili!! Changamoto nilozokutana nazo huku Arusha, bei ya kukodisha shamba ni kubwa, tulikuwa tunakodisha shamba sh 300,000 kwa heka. Bei ya pembejeo nayo iko juu sana kulinganisha na soko. Kuuza mazao wakati mzigo umejaa sokoni, yaani mali kuzidi mahitaji (demand na supply). Mwanzoni niliambiwa naweza kupata gunia 70-100 kwa heka, lakini sikuwahi kupata idadi hiyo ya magunia japo niliweka mahitaji yote kama inavyotakikana na kitunguu kilitoka vizuri sana kwa misimu yote. Tatizo kubwa nililiona wakati wa mauzo, hapa ndio mahali nilijua kilimo ni mwanaharamu na wakulima wataendelea kuwa maskini mpaka mwisho wa maisha yao kwa mtindo huu. Kitunguu hakipimwi kwa kilo huku bali kwa mtindo wa rumbesa. Unakuta gunia moja linabeba mpaka kilo 150. na bei yake haivuki 60,000 kwa gunia. Na mazingira yalivyo huuzi bila dalali, yaani pale ndio nilijua kwanini watu wengi wanalazimisha kubakia kwenye ofisi za kuajiriwa kuliko kujichanganya na kilimo. Na viongozi wetu hawana msaada wowote kwa huu uhuni tunaofanyiwa wakulima hasa wakati wa mauzo. Tatizo hili ni sugu na litaendelea kumfanya mkulima wa nchi hii kuwa maskini na kudharaulika daima (nadhani mmewahi kusikia msemo wa kejeli kama maisha yamekushinda kalime) Yaani kilimo kimegeuzwa kama sehemu ya kumkomoa mtu, eti utasikia ili kumkomoa mtu inabidi arudhishwe akalime, na ukijaribu kuangalia kama kweli mimi katika misimu yangu miwili ya kilimo cha kitunguu nimepata hasara unategemea nini?

Nini kifanyike, kama tunataka kweli kilimo iwe ni sehemu ya ajira inayolingana na jasho unalovuja ni lazima serekali iingilie kati na kusiwepo tena na manunuzi ya mazao ya mkulima kwa njia ya rumbesa bali kipimo iwe ni kwa kilo. Pembejeo zishushwe bei hata kama ni kwa ruzuku toka serekalini japo sidhani kama hili linawezekana kwani watunga sera za kilimo wao sio wakulima bali wafanya biashara. Iwapo sera haziboreshwa na kusimamiwa kwa umakini ni dhahiri wakulima hasa wadogo wadogo wataendelea kuwa maskini na mimi sintowashauri watu waache kazi za ajira huko maofisini hata kama wananyanyasika kwani huku kwenye kilimo ni kutafuta kufa siku si zako.

CC: Bavaria
Sorry mkuu. Mashamba ya kukodi Arusha ni sehemu gani?
 
asanten sana kwa mnaojitolea kutupa uzoefu wenu ktk kilimo cha kitunguu mwaka huu nakima mwez wa2 tr 15 nasia mbegu nipo simuyu (mkoa mpya kutoka shinyanga) vp huo muda ila nimepanga kutumia.mbegu ya kawaida toka singida kitunguu chekundu nimeshapata eneo nizur kwa maneno ya mzoefu wa kitunguu ni aridhi nyeus unapasuka kuruhusu hewa na haiitaj maj meng sana yan inatunza maj naomba kuwasilisha nimejieleza ili kukosolewa mapema kabla cjaanza kama kunakitu sijakifanyia sahh hapo nitafurai nikisahishwa na wazoef hum au watalam pia namba yangu ni 0717209059 mapokea ushaur zaid hat whatsp nipo
Umefikia wap na kilimo chako ndugu?
 
Habarini wapendwa.
Ninahitaji Msaada wa mbegu nzuri za vitunguu kwa kupanda mkoa wa Iringa eneo lenye udongo tifutifu na penye umwagiliaji wa machine.
Pia naomba kwa wanaojua vizuri kilimo hili cha vitunguu wanijuze zaidi vitu vya muhimu kuzingatia kwa sababu ndo Mara yangu ya kwanza nataka nilime msimu huu wa kilimo cha vitunguu maji. nioteshe mwezi huu kitalu na kisha nipanfikize miche mwezi Mei.
Asanteni in advance, Nawasilisha
 
Pamoja sana mkuu, karibu sana

Mkuu kilimomaarifa.tajiri , nimerudi tena ndugu yangu.

Nilipandia samadi ya kuku pekee. Nilipanda tarehe 12 mwezi huu April, kwakweli Mbegu zimeota vizuri. Now nahesabu siku zikifika week tatu, nitaweka NPK (17:17:17) kwa ajili ya kukuzia. Then maua yakianza, nitacheza na boosters... kama ulivyonielekeza hapa chini:
NIKO SALAMA KIONGOZI

SO, PANDIA SAMADI, AFTER 3 WEEKS WEKA NPK /YARA MILLER WINNER, KISHA MAUA YAKIJA JUU PIGA BOOSTER KAMA VILE OMEX, AU WUXAL MACRO MIX, AU SUPER GRO, AU WUXAL MACRO MIX, BOOSTER HIZI HUSTIMULATE MAUA MENGI KUJA.


Sasa mkuu, naomba pia unifahamishe kuhusu MADAWA & SUMU za kupulizia ili kukinga na kuzuia magonjwa mbali mbali, i.e kuanzia mmea unapoota mpaka kuanza mavuno.

1. MADAWA au/na SUMU sahihi kwa zao la Bamia ni yepi? na utaratibu wa kupulizia upoje, yaani nipulizie kila baada ya muda gani? in preventive basis (nisingependa mmea uugue hata kidogo).

Kwa jinsi nilivyoona huku field (mashambani), matatizo/magonjwa yanayosumbua sana Bamia ni manne:

A) PANZI... hawa ni wadudu fulani hivi wanaotafuna shina la mmea. Yaani mmea unapoota na kuanza kuweka shina, unakuta mmea umeanguka kwa kukatwa shina pale chini kabisa karibia na udogo. Sijawaona live wadudu hao, ila nimeelezwa kuwa ni 'PANZI wakata shina'.

B) CHAWA wekundu... hawa nimewaona live kwa macho. Wapo kama utitiri hivi. Hawa huanza kushambulia pale mmea unapoanza kukua, mmea unapoanza kuweka jani la tatu na kuendelea. Hawa wanakaa nyuma ya jani lenyewe, hulifanya jani lijikunje hivi.

C) UKUNGU... hii husababisha madoa madoa meusi kwenye majani.

D) WADUDU watoboa tunda... hawa nao nimewaona live. Hawa wapo kama kiwavi hivi au kama funza. Wanatoboa tunda lenyewe kabisa, yaani unakuta bamia imetobolewa na mdudu yupo ndani.

Huku nilipo, changamoto hizo wanasema wanazikabili kwa SUMU na DAWA. SUMU wanayotumia ni 'MUPA FORCE 720EC' ambayo wanapulizia mara baada tu ya mmea kuanza kuweka shina ili PANZI asiukate, sumu hii wanaipuliza kila week. Na mavuno yakianza, sumu hii hupulizwa kila week pia ili kuzuia wale WADUDU watoboa tunda.

DAWA wanayotumia ni 'ATTAKAN C 344SE' kwaajili ya kuzuia CHAWA wekundu na kuzuia UKUNGU. Kabla ya matunda/mavuno kuanza, dawa hii hupulizwa kila week. Matunda/Mavuno yakianza, hupulizwa kila siku mbili.

JE, hizo SUMU/DAWA ni sahihi? na huo utaratibu wa kupulizia ni sahihi? Mkuu naomba muongozo wako, coz now mmea wangu tayari ushaota.

2. Tupo kipindi cha masika, mvua ni nyingi sana. Mtu anamaliza tu kupuliza dawa/sumu, ghafla mvua inanyesha! Nakumbuka kuna uzi fulani humu humu JF uliwahi ku-mention kimiminika ambacho ni kinatisha sumu kwenye mmea ili mvua isioshe. Ulitaja kitu kama 'AQUA STICKER' (kama sijakosea spelling). Nimeitafuta sana kwenye maduka mengi ya kilimo huku nilipo haipo na wala hawaijuwi. Labda nitajaribu kwenda maduka ya K/Koo. Maana pia nimewapigia simu at Balton Tz pale Mwenge, nao hawana hiyo AQUA STICKER, ila wamenambia wanayo inaitwa SUPER LINK for the same function, wanaiuza elfu 20 kwa lita moja.

3. Uwekaji wa mbolea ya NPK upoje, naiwekaje kwenye ardhi/shimo la mmea?? kwaajili ya kukuzia.

4. Natarajia kupanda tena Bamia kwa awamu ya pili. Hizi nitazifanya kwa utaratibu huu: Mbolea ya kupandia namix DAP & SAMADI KUKU; Mbolea ya kukuzia naweka NPK (17:17:17) pekee; kisha nacheza na Boosters to finalize. Hii iko poa?

Ahsante.

-Kaveli-
 
Kaveli
KARIBU SANA



Sasa mkuu, naomba pia unifahamishe kuhusu MADAWA & SUMU za kupulizia ili kukinga na kuzuia magonjwa mbali mbali, i.e kuanzia mmea unapoota mpaka kuanza mavuno.

1. MADAWA au/na SUMU sahihi kwa zao la Bamia ni yepi? na utaratibu wa kupulizia upoje, yaani nipulizie kila baada ya muda gani? in preventive basis (nisingependa mmea uugue hata kidogo). DAWA NZURI ZA KUTUMIA NI ZILE ZENYE SUMU (YAANI ACTIVE INGREDIENT YA CYPERMETHRIN, PROFENOFOS, IMIDACLOPLID, CHROLOPHYIVOS, NA ABAMECTIN) TRADE NAME ZA HAYO MADAWA NI KAMA BLAST, BUFFALO, DUDUALL, DURSBAN ETC. NI VYEMA KUPIGA HIZI DAWA KILA BAADA YA SIKU 14 KAMA KINGA, NA NI VYEMA UKAWA NA DAWA ZENYE SUMU MBILI TOFAUTI UKAWA UNAZIPIGA KWA KUPISHANISHA , ILI KUEPUKA USUGU KWA WADUDU, YAANI WIKI HII UKIPIGA SUMU YENYE CYPERMETHRIN MPIGO UJAO UNAPIGA YENYE CHOLOPHOVIVOS ETC, HAKIKISHA UNAPIGA DAWA JIONI AU ASUBUHI SANA, USIPIGE DAWA MCHANA WA 6-9, HAPO UNAUA NYUKI

Kwa jinsi nilivyoona huku field (mashambani), matatizo/magonjwa yanayosumbua sana Bamia ni manne:

A) PANZI... hawa ni wadudu fulani hivi wanaotafuna shina la mmea. Yaani mmea unapoota na kuanza kuweka shina, unakuta mmea umeanguka kwa kukatwa shina pale chini kabisa karibia na udogo. Sijawaona live wadudu hao, ila nimeelezwa kuwa ni 'PANZI wakata shina'.=HAO TUNAWIATA SOTA/CUTWORM, TUMIA SUMU (ACTIVE INGREDIENT/GUARENTEE) YOYOTE YENYE IMIDACLOPLID, ABAMECTIN AU CYPERMETHRIN ITAMALIZA (KAMPUNI YA SYNGENTA WANA DAWA YENYE TRADE NAME YA MATCH-HII HUUA SANA HAO FUNZA)

B) CHAWA wekundu... hawa nimewaona live kwa macho. Wapo kama utitiri hivi. Hawa huanza kushambulia pale mmea unapoanza kukua, mmea unapoanza kuweka jani la tatu na kuendelea. Hawa wanakaa nyuma ya jani lenyewe, hulifanya jani lijikunje hivi.=HAO TUNAWAITA RED SPIDER MITES, NI WASUMBUFU MNO, NA UKICHEZA WANAMALIZA SHAMBA, HAO HUWA TUNAWAMALIZA KWA KUTUMIA DAWA YENYE SUMU YA DIMETHOATE NA UNAPISHANISHA NA NYINGINE YENYE IMIDACLOPLID AU ABAMECTIN AU CYPERMETHRIN, ILA KUMBUKA HIYO DIMETHOATE (MFANO MADUKANI INAUZWA KAMA DIMATE, AU DUME AU HIVYO HIVYO DIMETHOATE, HIYO NI SUMU KALI SANA UNAPOPIGA USIZIDISHE ZAIDI YA MLS 10 ZA DAWA KWA MAJI LITA 15. UKIZIDISHA DOZI NA MCHE UKIWA NA MAUA , YATAKAPUKUTIKA YOOTE

C) UKUNGU... hii husababisha madoa madoa meusi kwenye majani. HAPO TAFUTA SUMU YENYE MANCOZEB NA METALAXYL NDANI YAKE (MADUKANI UTAZIPATA ZIKUUZWA KAMA IVORY, AU VICTORY AU EBONY AU RIDOMIL GOLD, AU EUREKA, AU SUCCESS AU MISTRESS) MASHAMBULIZI YAKIZIDI TAFUTA ZINGINE ZENYE NGUVU ZAIDI ZINAUZWA KWA BRAND/TRADE NAME YA SCRORE, AU NATIVO (SUMU NI AZOXTROBIN) AU MULTI POWER PLUS 78 WP

D) WADUDU watoboa tunda... hawa nao nimewaona live. Hawa wapo kama kiwavi hivi au kama funza. Wanatoboa tunda lenyewe kabisa, yaani unakuta bamia imetobolewa na mdudu yupo ndani. HAO TUNAWAITA FRUIT BORER, HAO TUNAWADHIBITI KWA KUTUMIA ILE DAWA YA SYNGENTA YENYE TRADE NAME YA MATCH, AU NOVATHION, AU KARATE, AU ABAMECTIN

Huku nilipo, changamoto hizo wanasema wanazikabili kwa SUMU na DAWA. SUMU wanayotumia ni 'MUPA FORCE 720EC' ambayo wanapulizia mara baada tu ya mmea kuanza kuweka shina ili PANZI asiukate, sumu hii wanaipuliza kila week. Na mavuno yakianza, sumu hii hupulizwa kila week pia ili kuzuia wale WADUDU watoboa tunda.

DAWA wanayotumia ni 'ATTAKAN C 344SE' kwaajili ya kuzuia CHAWA wekundu na kuzuia UKUNGU. Kabla ya matunda/mavuno kuanza, dawa hii hupulizwa kila week. Matunda/Mavuno yakianza, hupulizwa kila siku mbili.

JE, hizo SUMU/DAWA ni sahihi? na huo utaratibu wa kupulizia ni sahihi? Mkuu naomba muongozo wako, coz now mmea wangu tayari ushaota.=HIZO DAWA NI SAHIHI, KIKUBWA NI KUJUA TU SUMU ILIYOMO NDANI, KWA MFANO HIYO MUPA FORCE SUMU YAKE NI PROFENOFOS , HIYO ATTAKAN SUMU YAKE NI IMIDACLOPLID. MUDA WA KUPULIZA NASHAURI KWA MWANZONI WAPULIZE KILA BAADA YA SIKU 14, NA MATUNDA YAKIANZA WAPULIZE KILA BAADA YA SIKU 7, NA WAKITAKA KUVUNA WAACHE SIKU 5-10 ZIPITE NDIPO WAVUNE HAYO MATUNDA

2. Tupo kipindi cha masika, mvua ni nyingi sana. Mtu anamaliza tu kupuliza dawa/sumu, ghafla mvua inanyesha! Nakumbuka kuna uzi fulani humu humu JF uliwahi ku-mention kimiminika ambacho ni kinatisha sumu kwenye mmea ili mvua isioshe. Ulitaja kitu kama 'AQUA STICKER' (kama sijakosea spelling). Nimeitafuta sana kwenye maduka mengi ya kilimo huku nilipo haipo na wala hawaijuwi. Labda nitajaribu kwenda maduka ya K/Koo. Maana pia nimewapigia simu at Balton Tz pale Mwenge, nao hawana hiyo AQUA STICKER, ila wamenambia wanayo inaitwa SUPER LINK for the same function, wanaiuza elfu 20 kwa lita moja.=PATA HIYO SUPER LINK, ITAKUSAIDIA

3. Uwekaji wa mbolea ya NPK upoje, naiwekaje kwenye ardhi/shimo la mmea?? kwaajili ya kukuzia. SAWA UNAWEZA TUMIA HIYO NPK (17:17:17) KWA AJILI YA KUKUZIA, UNAWEZA IWEKA INA SOLID FORM, YAANI UNAWEKA PUNJE ZILE GRAM 5=KISODA 1, UNAWEKA PEMBENI KIDOGO KUTOKA SHINA UNAZUNGUSHA KISHA UNAFUKIA NA UDONGO

LAKINI PIA UNAWEZA IWEKA IN FORM OF SOLUTION, YAANI UNAIYEYUSHA KATIKA MAJI KABISA KAMA UNAWATER TANK KISHA UNAPOFUNGULIA YAE MAJI, YANAKUJA MAJI YENYE MBOLEA NDANI YAKE, HAPA KIPIMO NI GRAM 100 YA MBOLEA=KIGANJA CHAKO KIMOJA UNALOWEKA KATIKA MAJI LITA 15, UNAACHA INAYEYUKA NDIPO UNAIAPPLY KATIKA MMEA KWA KUMWAGIA. SO KAMA UNATAKA KUTENGENEZA SOLUTION NYINGI MEANS ITAKUBID UFANYE CONVERSION MATHEMATICS , KUWA KAMA GRAM 100 ZA MBOLEA ZINAKWENDA NA MAJI LITA 15, JE MAJI LITA 1000 LET SAY NI MBOLEA KIASI GANI UTAPATA JIBU. HII WANAITUMIA SANA WALE WENYE DRIP/UMWAGILIAJI WA MATONE.


4. Natarajia kupanda tena Bamia kwa awamu ya pili. Hizi nitazifanya kwa utaratibu huu: Mbolea ya kupandia namix DAP & SAMADI KUKU; Mbolea ya kukuzia naweka NPK (17:17:17) pekee; kisha nacheza na Boosters to finalize. Hii iko poa? IKO POA KABISA


KARIBU SANA

Ahsante.

-Kaveli-[/QUOTE]
Sasa mkuu, naomba pia unifahamishe kuhusu MADAWA & SUMU za kupulizia ili kukinga na kuzuia magonjwa mbali mbali, i.e kuanzia mmea unapoota mpaka kuanza mavuno.

1. MADAWA au/na SUMU sahihi kwa zao la Bamia ni yepi? na utaratibu wa kupulizia upoje, yaani nipulizie kila baada ya muda gani? in preventive basis (nisingependa mmea uugue hata kidogo).

Kwa jinsi nilivyoona huku field (mashambani), matatizo/magonjwa yanayosumbua sana Bamia ni manne:

A) PANZI... hawa ni wadudu fulani hivi wanaotafuna shina la mmea. Yaani mmea unapoota na kuanza kuweka shina, unakuta mmea umeanguka kwa kukatwa shina pale chini kabisa karibia na udogo. Sijawaona live wadudu hao, ila nimeelezwa kuwa ni 'PANZI wakata shina'.

B) CHAWA wekundu... hawa nimewaona live kwa macho. Wapo kama utitiri hivi. Hawa huanza kushambulia pale mmea unapoanza kukua, mmea unapoanza kuweka jani la tatu na kuendelea. Hawa wanakaa nyuma ya jani lenyewe, hulifanya jani lijikunje hivi.

C) UKUNGU... hii husababisha madoa madoa meusi kwenye majani.

D) WADUDU watoboa tunda... hawa nao nimewaona live. Hawa wapo kama kiwavi hivi au kama funza. Wanatoboa tunda lenyewe kabisa, yaani unakuta bamia imetobolewa na mdudu yupo ndani.

Huku nilipo, changamoto hizo wanasema wanazikabili kwa SUMU na DAWA. SUMU wanayotumia ni 'MUPA FORCE 720EC' ambayo wanapulizia mara baada tu ya mmea kuanza kuweka shina ili PANZI asiukate, sumu hii wanaipuliza kila week. Na mavuno yakianza, sumu hii hupulizwa kila week pia ili kuzuia wale WADUDU watoboa tunda.

DAWA wanayotumia ni 'ATTAKAN C 344SE' kwaajili ya kuzuia CHAWA wekundu na kuzuia UKUNGU. Kabla ya matunda/mavuno kuanza, dawa hii hupulizwa kila week. Matunda/Mavuno yakianza, hupulizwa kila siku mbili.

JE, hizo SUMU/DAWA ni sahihi? na huo utaratibu wa kupulizia ni sahihi? Mkuu naomba muongozo wako, coz now mmea wangu tayari ushaota.

2. Tupo kipindi cha masika, mvua ni nyingi sana. Mtu anamaliza tu kupuliza dawa/sumu, ghafla mvua inanyesha! Nakumbuka kuna uzi fulani humu humu JF uliwahi ku-mention kimiminika ambacho ni kinatisha sumu kwenye mmea ili mvua isioshe. Ulitaja kitu kama 'AQUA STICKER' (kama sijakosea spelling). Nimeitafuta sana kwenye maduka mengi ya kilimo huku nilipo haipo na wala hawaijuwi. Labda nitajaribu kwenda maduka ya K/Koo. Maana pia nimewapigia simu at Balton Tz pale Mwenge, nao hawana hiyo AQUA STICKER, ila wamenambia wanayo inaitwa SUPER LINK for the same function, wanaiuza elfu 20 kwa lita moja.

3. Uwekaji wa mbolea ya NPK upoje, naiwekaje kwenye ardhi/shimo la mmea?? kwaajili ya kukuzia.

4. Natarajia kupanda tena Bamia kwa awamu ya pili. Hizi nitazifanya kwa utaratibu huu: Mbolea ya kupandia namix DAP & SAMADI KUKU; Mbolea ya kukuzia naweka NPK (17:17:17) pekee; kisha nacheza na Boosters to finalize. Hii iko poa?
 
Shamba nilikodi kwa miaka miwili iligharimu sh 1.000.000/=kwa miaka yote miwili kuhusu kuhudumia shamba nlimpata kijana ambaye alikuwa anasimamia shughuli zote za shamba kwahyo iligharimu Kama sh 500,000/= kwahiyo gharama yote ilikuwa 1,5m
Acha uongo.
Mbegu ulipewa bure
Madawa ulipewa bure
Mbolea ulupewa bure
Transport ilikuwa bure
 
Vitunguu na hoho vyote vinahitaji udongo tifutifuti, au tifutifu kichanga,USIWE MFINYANZI, muda mzuri wenye bei nzuri ya kitunguu na hoho ni November- May, Kitunguu by November huanza na bei ya 100,000-150,000 tsh. Mavuno kwa eka moja ya kitunguu wastani ni gunia 70 kama mbegu ni OPV,kama mbegu ni local mavuno ni gunia 50@ kilo 120. Kama mbegu ni hybrid F1/ Chotara mavuno maximum kwa eka 1 ni gunia 120.

AGRONOMY YA KITUNGUU.KIASI cha mbegu cha kutosha eka 1.

Kitunguu maji utahitaji kilo 1 na ziada ya gram 200 kama imergency cost ya mbegu ni kuanzia 180,000-460000 kutegemea na mbegu/ aina ( Hybrid au OPV). Ni vyema ukaanza na mbegu aina OPV kama vile Red Cleore,au Red Bombay anza na hizi OPV coz si gharama sana hyo mbegu kiasi cha 1.2 kgs zaweza uzwa maximum tsh 360000 zatosha eka1, utahitaji mifuko 2 ya Mbolea ya kupandia mbolea kama DAP au Yara Miller Winner au NPK utahitaji hizo mbolea wakati ukisia mbegu kitalu na wakati wa kutransplant cost ya mifuko 2 ni 180,000 kama siyo mbolea za Yara, coz mbolea za Yarra ni ghari zaidi, miche ya kitunguu hukaa kitaluni wiki6-8. Shambani itakaa siku 90, utahitaji mifuko 3 ya mbolea ya kukuzia CAN, cost ni kama tsh 240,000, utahitaji booster pia lita 2 kama super grow etc utahitaji dawa za wadudu kama decis, imidaclopid au duduall etc utahitaji dawa 2 za wadudu tofauti angalau lita 2, gharama ya booster na dawa za wadudu ni kama tsh 120,000, SOKO zuri la kitunguu ni mwezi November- May,bei hufika tsh 150,000 - 250,000tsh by May kwa gunia 1. JUMLA KUU YA gharama ya kuzalisha kitunguu kwa eka 1 ni wastani wa 1.8 -2.5 Million.


Mnaota kulima vitunguu somen huu uzi
 
Inategemeana na unataka kulima wapi (sehemu utakayoweza ku manage shamba vizuri na kwa ukaribu) , source ya maji (mvua au umwagiliaji) itakayo determine msimu utakaolima (masika au kiangazi ). Kifupi, bei huwa nzuri kuanzia December mpaka April. Hapa katikati bei zinaathiriwa na uwingi wa kitunguu sokoni. Unaweza ukalima ili uvune mwezi December, au ukalima na kukihifadhi mpaka hiyo miezi bei zikikaa vyema.
 
Kaveli
KARIBU SANA



Sasa mkuu, naomba pia unifahamishe kuhusu MADAWA & SUMU za kupulizia ili kukinga na kuzuia magonjwa mbali mbali, i.e kuanzia mmea unapoota mpaka kuanza mavuno.

1. MADAWA au/na SUMU sahihi kwa zao la Bamia ni yepi? na utaratibu wa kupulizia upoje, yaani nipulizie kila baada ya muda gani? in preventive basis (nisingependa mmea uugue hata kidogo). DAWA NZURI ZA KUTUMIA NI ZILE ZENYE SUMU (YAANI ACTIVE INGREDIENT YA CYPERMETHRIN, PROFENOFOS, IMIDACLOPLID, CHROLOPHYIVOS, NA ABAMECTIN) TRADE NAME ZA HAYO MADAWA NI KAMA BLAST, BUFFALO, DUDUALL, DURSBAN ETC. NI VYEMA KUPIGA HIZI DAWA KILA BAADA YA SIKU 14 KAMA KINGA, NA NI VYEMA UKAWA NA DAWA ZENYE SUMU MBILI TOFAUTI UKAWA UNAZIPIGA KWA KUPISHANISHA , ILI KUEPUKA USUGU KWA WADUDU, YAANI WIKI HII UKIPIGA SUMU YENYE CYPERMETHRIN MPIGO UJAO UNAPIGA YENYE CHOLOPHOVIVOS ETC, HAKIKISHA UNAPIGA DAWA JIONI AU ASUBUHI SANA, USIPIGE DAWA MCHANA WA 6-9, HAPO UNAUA NYUKI

Kwa jinsi nilivyoona huku field (mashambani), matatizo/magonjwa yanayosumbua sana Bamia ni manne:

A) PANZI... hawa ni wadudu fulani hivi wanaotafuna shina la mmea. Yaani mmea unapoota na kuanza kuweka shina, unakuta mmea umeanguka kwa kukatwa shina pale chini kabisa karibia na udogo. Sijawaona live wadudu hao, ila nimeelezwa kuwa ni 'PANZI wakata shina'.=HAO TUNAWIATA SOTA/CUTWORM, TUMIA SUMU (ACTIVE INGREDIENT/GUARENTEE) YOYOTE YENYE IMIDACLOPLID, ABAMECTIN AU CYPERMETHRIN ITAMALIZA (KAMPUNI YA SYNGENTA WANA DAWA YENYE TRADE NAME YA MATCH-HII HUUA SANA HAO FUNZA)

B) CHAWA wekundu... hawa nimewaona live kwa macho. Wapo kama utitiri hivi. Hawa huanza kushambulia pale mmea unapoanza kukua, mmea unapoanza kuweka jani la tatu na kuendelea. Hawa wanakaa nyuma ya jani lenyewe, hulifanya jani lijikunje hivi.=HAO TUNAWAITA RED SPIDER MITES, NI WASUMBUFU MNO, NA UKICHEZA WANAMALIZA SHAMBA, HAO HUWA TUNAWAMALIZA KWA KUTUMIA DAWA YENYE SUMU YA DIMETHOATE NA UNAPISHANISHA NA NYINGINE YENYE IMIDACLOPLID AU ABAMECTIN AU CYPERMETHRIN, ILA KUMBUKA HIYO DIMETHOATE (MFANO MADUKANI INAUZWA KAMA DIMATE, AU DUME AU HIVYO HIVYO DIMETHOATE, HIYO NI SUMU KALI SANA UNAPOPIGA USIZIDISHE ZAIDI YA MLS 10 ZA DAWA KWA MAJI LITA 15. UKIZIDISHA DOZI NA MCHE UKIWA NA MAUA , YATAKAPUKUTIKA YOOTE

C) UKUNGU... hii husababisha madoa madoa meusi kwenye majani. HAPO TAFUTA SUMU YENYE MANCOZEB NA METALAXYL NDANI YAKE (MADUKANI UTAZIPATA ZIKUUZWA KAMA IVORY, AU VICTORY AU EBONY AU RIDOMIL GOLD, AU EUREKA, AU SUCCESS AU MISTRESS) MASHAMBULIZI YAKIZIDI TAFUTA ZINGINE ZENYE NGUVU ZAIDI ZINAUZWA KWA BRAND/TRADE NAME YA SCRORE, AU NATIVO (SUMU NI AZOXTROBIN) AU MULTI POWER PLUS 78 WP

D) WADUDU watoboa tunda... hawa nao nimewaona live. Hawa wapo kama kiwavi hivi au kama funza. Wanatoboa tunda lenyewe kabisa, yaani unakuta bamia imetobolewa na mdudu yupo ndani. HAO TUNAWAITA FRUIT BORER, HAO TUNAWADHIBITI KWA KUTUMIA ILE DAWA YA SYNGENTA YENYE TRADE NAME YA MATCH, AU NOVATHION, AU KARATE, AU ABAMECTIN

Huku nilipo, changamoto hizo wanasema wanazikabili kwa SUMU na DAWA. SUMU wanayotumia ni 'MUPA FORCE 720EC' ambayo wanapulizia mara baada tu ya mmea kuanza kuweka shina ili PANZI asiukate, sumu hii wanaipuliza kila week. Na mavuno yakianza, sumu hii hupulizwa kila week pia ili kuzuia wale WADUDU watoboa tunda.

DAWA wanayotumia ni 'ATTAKAN C 344SE' kwaajili ya kuzuia CHAWA wekundu na kuzuia UKUNGU. Kabla ya matunda/mavuno kuanza, dawa hii hupulizwa kila week. Matunda/Mavuno yakianza, hupulizwa kila siku mbili.

JE, hizo SUMU/DAWA ni sahihi? na huo utaratibu wa kupulizia ni sahihi? Mkuu naomba muongozo wako, coz now mmea wangu tayari ushaota.=HIZO DAWA NI SAHIHI, KIKUBWA NI KUJUA TU SUMU ILIYOMO NDANI, KWA MFANO HIYO MUPA FORCE SUMU YAKE NI PROFENOFOS , HIYO ATTAKAN SUMU YAKE NI IMIDACLOPLID. MUDA WA KUPULIZA NASHAURI KWA MWANZONI WAPULIZE KILA BAADA YA SIKU 14, NA MATUNDA YAKIANZA WAPULIZE KILA BAADA YA SIKU 7, NA WAKITAKA KUVUNA WAACHE SIKU 5-10 ZIPITE NDIPO WAVUNE HAYO MATUNDA

2. Tupo kipindi cha masika, mvua ni nyingi sana. Mtu anamaliza tu kupuliza dawa/sumu, ghafla mvua inanyesha! Nakumbuka kuna uzi fulani humu humu JF uliwahi ku-mention kimiminika ambacho ni kinatisha sumu kwenye mmea ili mvua isioshe. Ulitaja kitu kama 'AQUA STICKER' (kama sijakosea spelling). Nimeitafuta sana kwenye maduka mengi ya kilimo huku nilipo haipo na wala hawaijuwi. Labda nitajaribu kwenda maduka ya K/Koo. Maana pia nimewapigia simu at Balton Tz pale Mwenge, nao hawana hiyo AQUA STICKER, ila wamenambia wanayo inaitwa SUPER LINK for the same function, wanaiuza elfu 20 kwa lita moja.=PATA HIYO SUPER LINK, ITAKUSAIDIA

3. Uwekaji wa mbolea ya NPK upoje, naiwekaje kwenye ardhi/shimo la mmea?? kwaajili ya kukuzia. SAWA UNAWEZA TUMIA HIYO NPK (17:17:17) KWA AJILI YA KUKUZIA, UNAWEZA IWEKA INA SOLID FORM, YAANI UNAWEKA PUNJE ZILE GRAM 5=KISODA 1, UNAWEKA PEMBENI KIDOGO KUTOKA SHINA UNAZUNGUSHA KISHA UNAFUKIA NA UDONGO

LAKINI PIA UNAWEZA IWEKA IN FORM OF SOLUTION, YAANI UNAIYEYUSHA KATIKA MAJI KABISA KAMA UNAWATER TANK KISHA UNAPOFUNGULIA YAE MAJI, YANAKUJA MAJI YENYE MBOLEA NDANI YAKE, HAPA KIPIMO NI GRAM 100 YA MBOLEA=KIGANJA CHAKO KIMOJA UNALOWEKA KATIKA MAJI LITA 15, UNAACHA INAYEYUKA NDIPO UNAIAPPLY KATIKA MMEA KWA KUMWAGIA. SO KAMA UNATAKA KUTENGENEZA SOLUTION NYINGI MEANS ITAKUBID UFANYE CONVERSION MATHEMATICS , KUWA KAMA GRAM 100 ZA MBOLEA ZINAKWENDA NA MAJI LITA 15, JE MAJI LITA 1000 LET SAY NI MBOLEA KIASI GANI UTAPATA JIBU. HII WANAITUMIA SANA WALE WENYE DRIP/UMWAGILIAJI WA MATONE.


4. Natarajia kupanda tena Bamia kwa awamu ya pili. Hizi nitazifanya kwa utaratibu huu: Mbolea ya kupandia namix DAP & SAMADI KUKU; Mbolea ya kukuzia naweka NPK (17:17:17) pekee; kisha nacheza na Boosters to finalize. Hii iko poa? IKO POA KABISA


KARIBU SANA

Ahsante.

-Kaveli-
Sasa mkuu, naomba pia unifahamishe kuhusu MADAWA & SUMU za kupulizia ili kukinga na kuzuia magonjwa mbali mbali, i.e kuanzia mmea unapoota mpaka kuanza mavuno.

1. MADAWA au/na SUMU sahihi kwa zao la Bamia ni yepi? na utaratibu wa kupulizia upoje, yaani nipulizie kila baada ya muda gani? in preventive basis (nisingependa mmea uugue hata kidogo).

Kwa jinsi nilivyoona huku field (mashambani), matatizo/magonjwa yanayosumbua sana Bamia ni manne:

A) PANZI... hawa ni wadudu fulani hivi wanaotafuna shina la mmea. Yaani mmea unapoota na kuanza kuweka shina, unakuta mmea umeanguka kwa kukatwa shina pale chini kabisa karibia na udogo. Sijawaona live wadudu hao, ila nimeelezwa kuwa ni 'PANZI wakata shina'.

B) CHAWA wekundu... hawa nimewaona live kwa macho. Wapo kama utitiri hivi. Hawa huanza kushambulia pale mmea unapoanza kukua, mmea unapoanza kuweka jani la tatu na kuendelea. Hawa wanakaa nyuma ya jani lenyewe, hulifanya jani lijikunje hivi.

C) UKUNGU... hii husababisha madoa madoa meusi kwenye majani.

D) WADUDU watoboa tunda... hawa nao nimewaona live. Hawa wapo kama kiwavi hivi au kama funza. Wanatoboa tunda lenyewe kabisa, yaani unakuta bamia imetobolewa na mdudu yupo ndani.

Huku nilipo, changamoto hizo wanasema wanazikabili kwa SUMU na DAWA. SUMU wanayotumia ni 'MUPA FORCE 720EC' ambayo wanapulizia mara baada tu ya mmea kuanza kuweka shina ili PANZI asiukate, sumu hii wanaipuliza kila week. Na mavuno yakianza, sumu hii hupulizwa kila week pia ili kuzuia wale WADUDU watoboa tunda.

DAWA wanayotumia ni 'ATTAKAN C 344SE' kwaajili ya kuzuia CHAWA wekundu na kuzuia UKUNGU. Kabla ya matunda/mavuno kuanza, dawa hii hupulizwa kila week. Matunda/Mavuno yakianza, hupulizwa kila siku mbili.

JE, hizo SUMU/DAWA ni sahihi? na huo utaratibu wa kupulizia ni sahihi? Mkuu naomba muongozo wako, coz now mmea wangu tayari ushaota.

2. Tupo kipindi cha masika, mvua ni nyingi sana. Mtu anamaliza tu kupuliza dawa/sumu, ghafla mvua inanyesha! Nakumbuka kuna uzi fulani humu humu JF uliwahi ku-mention kimiminika ambacho ni kinatisha sumu kwenye mmea ili mvua isioshe. Ulitaja kitu kama 'AQUA STICKER' (kama sijakosea spelling). Nimeitafuta sana kwenye maduka mengi ya kilimo huku nilipo haipo na wala hawaijuwi. Labda nitajaribu kwenda maduka ya K/Koo. Maana pia nimewapigia simu at Balton Tz pale Mwenge, nao hawana hiyo AQUA STICKER, ila wamenambia wanayo inaitwa SUPER LINK for the same function, wanaiuza elfu 20 kwa lita moja.

3. Uwekaji wa mbolea ya NPK upoje, naiwekaje kwenye ardhi/shimo la mmea?? kwaajili ya kukuzia.

4. Natarajia kupanda tena Bamia kwa awamu ya pili. Hizi nitazifanya kwa utaratibu huu: Mbolea ya kupandia namix DAP & SAMADI KUKU; Mbolea ya kukuzia naweka NPK (17:17:17) pekee; kisha nacheza na Boosters to finalize. Hii iko poa?[/QUOTE]


kilimomaarifa.tajiri, habari mkuu. Nimerudi tena ndugu.

A). Mkuu wangu, Bamia inaendelea vyema. Dawa/Sumu nilinunua za aina tatu: MUPA FORCE, PROFECRON, na ATTAKAN C. week ya kwanza nilipuliza MUPA FORCE. Week ya pili nilipuliza PROFECRON. Kesho week ya tatu natarajia kupuliza ATTAKAN C. Nazingatia ule ushauri wako kwamba ni vizuri kutumia dawa/sumu aina mbili au zaidi ili kuzuia usugu wa dawa kwa wadudu. Dawa ya ukungu bado sijapiga, ila natarajia kwenda kuchukua Ridomil Gold au Blue Copper au Multi Power Plus (sijuwi ni ipi the best kati ya hizo kwa kukinga & kutibu ukungu).

B). Hapa kwa wakulima wengine majirani, kuna ugonjwa ambao umekuwa common yaani unasumbua sana kwa wote. Majani yanajikunja irregularly, yaani kama yanasala hivi, ni kuanzia kwenye tawi mpk jani. Sio kule kujikunja kwa jani by red spider mites (utitiri mwekundu), hapana. Bali hii yenyewe ni kama ukichaa hivi, yani kuanzia tawi linajikunja kunja ovyo ovyo (kama herufi 'S') mpk kwenye jani. Mfano tawi linajikunja kunja kuelekea chini badala ya upward. Jani nalo linakuwa kwenye umbo la kujikunja kunja irregularly mfano jani linakutana kwa kujifunga/kujifunika lenyewe au jani linajifunua lenyewe kwa muelekeo wa downward (jani haliko soft na halikai ktk ordinary shape yake). Yaani binafsi naweza kuuita ni 'ukichaa' wa mmea.

Mkuu, huo ni ugonjwa gani? na tiba yake ni nini?

Umemkumba kila mkulima wa bamia huku tulipo. Wanasema ugonjwa huo hushamiri zaidi wakati wa masika kama hivi sasa. Wanasema mmea unakuwa fresh tu kwa week za mwanzo. Ila ukishakua kuelekea kuweka vifunda vya maua, hapo ndo mmea unaanza 'kuwehuka' kama nilivyoelezea hapo juu.

C) Kuhusu mbolea za maua na matunda... najua kuna Multi K, Super Grow, n.k. Je ni ipi ambayo ni the best? Nataka mmea utoe maua mengi. Nakumbuka you mentioned nutrients like zinc, boron, etc kwenye Boosters. So ni booster ipi ambayo ni bora sana kuliko zingine zote?

D). Je ni kweli kwamba wakati wa mvua nyingi kama kipindi hiki, uchanuaji wa maua huwa ni hafifu sana? kutokana na uhaba wa jua.

Ahsante.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom