Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Ngano haina tofouti na shairi kwnye cost of production sbb procedure ni zile zile.tofouti ni mavuno na bei. Mavuno ya ngano yapo chni kidogo na bei yake pia.
 
NiPM nikuelekeze. Nibiashara nzuri yenye faida kwa sasa

Kwann akuPM wakat unaweza kutoa hzo mbinu na wote tukajifunza?
Hao waliopoteza muda wao kwa faida ya wote ni wajinga au?
 

Nitakuomba mawasiliano yako kwa ufafanuzi zaidi
 

Mbona wanasema ni miezi mitatu hadi minne?
 

Naomba tuanzishie topic moja moja, wengine tutamalizia
 
Kwa ekari moja unawe\za kupata kilo 300-500, kilo moja inauzwa 2000/=-2500/=
Gharama zote za kulima, madawa na kuvuna inaweza kufikia laki moja kwa ekari moja

Mashamba yanakodishwa au kununuliwa?
 

Tunaomba feedback mkuu.
 
Ufuta unalipa sana ndugu zangu.. mwaka huu June nilikuwa na nunua kwa wakulima wadogo na kuleta Dar ni superprofit. Lkn sasa nimeumua kulima eka 5 na mimi..

Wakati unaleta dar, unakuwa tayari na wateja au unaleta ili uje kutafuta wateja???
 

Kwahyo hakuna msimu maalumu wa kuanza na kuisha? Kwa lindi msimu unaanza lini na unaisha lini?

Na mbolea unatumia ya aina gani?
 

Dawa gani inapigwa? Inapigwa baada ya muda gani wa kupanda?

Samahani unaweza nikadiri gharama za kuhudumia ufuta kwa eka 1 toka kupanda hadi kuvuna? Kila kitu ikiwemo dawa, vibarua, mbegu, dawa nk
 

Ulete feedback mkuu, itatupa mwanga.
 
Umeainisha vizuri lakini hujasema soko likoje na wateja wapo au hawapo baada ya kuvunwa na zao likisha ingia kiwandani na kuwa product yakuuzika international pia soko liko vipi, eb jaribu kuchunguza utuambie mkuu.
 

Naomba uniPM number zako mkuu.
 

daaah japokuwa nalima ekari 5 tu lakini umenipa lesson 0652112026 tutaftane kaka unipe mautundu
 
Nimependa comment za wadau wa jf juu ya kilimo cha ufuta ukweli ni kwamba ufuta ni biashara nzuri na sio kilimo kizuri sana. ninasema hivi sababu nimefanya kilimo hiki lakini katika kufanya analysis ya kukodi shamba(pori) kufyeka kuunguza nyasi kwa dawa kung'oa visiki
 
Sorry kwa thread yangu kukatika. kwa hiyo kwa maelezo hayo na mengine mengi sio kilimo kizuri sana lakini ni biashara nzuri sana na hio inatokana na kwamba inahitaki mtaji mkubwa ili kufanya kwa hiyo competition kwa watamyabiashara wadogo inakuwa ndogo mimi nilianza na mtaji wa 6m lakini ndani ya mwezi mmoja nina faida ya 6m nilifarijika sana so kama mtu anataka kujua namna ya biashara ya mazao naweza msaidia lakini kilimo chake hapana maana sikupata matarajio niliotaka.
 
Ulifanyia wapi mkuu, ingekuwa bora nichangamoto zp ulizokukutanazo embu funguka natupate mawazo mapya kutoka kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…