Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

ni pm nikuelekeze. Nibiashara nzuri yenye faida kwa sasa
 
Hongera kwa maelezo yako mazuri ya mavuno ya ufuta, nimevutiwa sana na kilimo cha ufuta kama itawezekana kupata mawasiliano yako ili kupata mafunzo zaidi kuhusu kilimo cha ufuta ningefurahi.

Asante
 
Nina hekari 2 maeneo ya rukwa mtowiso plan yangu nijaribu kulima ufuta vipi soko zuri ni wapi? Na je heka mbili zinafaa kuanzia? Note: ninauwezo hata wa kukodi heka 2 zaidi.
 
Habari za Jioni Wakulima Wenzangu / na wadau wa Kilimo.

Kwanza Kabisa,napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa nafasi hii.

Aidha,pamoja kuwa kuna thread hapa zilizowahi kuletwa kuhusu Ufuta na ukulima,zaidi pia na mambo mengine yalijadiliwa;Lakini leo napenda kuwaomba mchango wa mawazo yenu katika kilimo hiki cha Ufuta.

Kuwajulisha tu,nilikutana na mdau moja hapa Jamiiforum,na tumekubaliana kufanya kazi pamoja kuhusu kilimo hiki.

Lakni,pia pamoja na ushirirkiano huu nilionao pamoja na mdau huyu,naona sio mbaya kupata mawazo mazuri juu ya ulimaji huu.Nachoweza kusema tuu kwamba tunategemea kulima hekari 100 na tunategemea kutumia kiasi cha M 9.5-11.

Matumizi bado ni changamoto hasa tunapojaribu kupunguza gharama zaidi ukizingatia tunaanza rasmi mwishoni mwa August mwaka huu

Nachoomba kutoka kwenu ni ;
  1. Wapi tunaweza kupata mbegu nzuri za ufuta.
  2. Ushauri gani au utaalamu gani tuzingatie katika ulimaji huu.
  3. Kama kuna mtu anaweza kutukodisha majembe,au tractor la kulimia;maana tunajaribu kubana matumizi na tunaangalia which avenue ni bora zaid and much efficient tractor au Ng'ombe.
Na mwisho je soko likoje maana hatutakuwa tayari kuuza kwa bei za kutupa na kwa hasara.Gharama hizi ni lazima zirudi na faida juu.

ushauri wenu na maoni yenu tutashkuru sana.Hasa hukusu Mbegu za Ufuta .Mashamba tunayo yako morogoro ya kukodisha.
na kama kuna mtu mwenye mashamba masafi na mazuri zaidi ya kukodisha anijulishe mara moja.Lazima yawe na rutuba nzuri na kuanzia 100-200.


Ahsanteni.
 
Mnataka kulima ufuta huo sehemu gani morogoro?
 
Lakni,pia pamoja na ushirirkiano huu nilionao pamoja na mdau huyu,naona sio mbaya kupata mawazo mazuri juu ya ulimaji huu.Nachoweza kusema tuu kwamba tunategemea kulima hekari 100 na tunategemea kutumia kiasi cha M 9.5-11.

Matumizi bado ni changamoto hasa tunapojaribu kupunguza gharama zaidi ukizingatia tunaanza rasmi mwishoni mwa August mwaka huu

Nachoomba kutoka kwenu ni ;
  1. Wapi tunaweza kupata mbegu nzuri za ufuta.
  2. Ushauri gani au utaalamu gani tuzingatie katika ulimaji huu.
  3. Kama kuna mtu anaweza kutukodisha majembe,au tractor la kulimia;maana tunajaribu kubana matumizi na tunaangalia which avenue ni bora zaid and much efficient tractor au Ng'ombe.

Na mwisho je soko likoje maana hatutakuwa tayari kuuza kwa bei za kutupa na kwa hasara.Gharama hizi ni lazima zirudi na faida juu.

ahsanteni.

Sasa mkuu unataka kulima hekari 100 ya kitu ambacho soko lake hulijui/hauna uhakika wake, na mnaanza mwishoni mwa mwezi huu! Kila la heri
 
Kwa heka 100 mimi naona kama unalima kwa heka sh 50,000 hapo tayari 5,000,000

Kupalilia kama ukipalilia kwa heka 30,000 hapo tayari 3,000,000

Kupanda kama unapanda kwa hela 30,000 hapo tayari 3,000,000

Kuvuna kama utavuna kwa heka sh 30,000 hapo tayari 3,000,000

Kama utaweka ulinzi wa mali zako shambali kuna gharama

Kama uta pack kwenye magunia ni gharama ya kila gunia na gharama ya labour.Kama ni hatua itabidi usafirishe mzigo uje mjini au kwenye ghala.Kama utaweka manager/Bwana shamba itabidi nae alipwe.Na wewe mwenyewe itabidi ujilipe gharama zako nauli , muda nk.Haya ni makisio yangu tu bro sijui huko kwako Morogoro gharama zipoje ila ningekuwa mimi ndio wewe ningeandaa angalau 20M kwa hiyo project
 
Sasa mkuu unataka kulima hekari 100 ya kitu ambacho soko lake hulijui/hauna uhakika wake, na mnaanza mwishoni mwa mwezi huu! Kila la heri

Tunajua soko. Lakni mawazo ya wengine sio mabaya. Na pia kuna watu wako resourceful ndo maana sikuona haja kuweka ujuaji hapa. Ndo maana tunataka maujanja.


The King.
 
sasa mkuu unataka kulima hekari 100 ya kitu ambacho soko lake hulijui/hauna uhakika wake, na mnaanza mwishoni mwa mwezi huu! Kila la heri

Hakuna mazao ya shambani yenye price garantee Tanzania yetu hi, labda shairi na tumbaku.
 
Kuhusu Mbegu za ufuta nyingi zinatoka Mtwara kwenye kituo cha utafiti Naliendele, wizara ya kilimo ina mawakala nafikiri kila mkoa.
 
Kwa heka 100 mimi naona kama unalima kwa heka sh 50,000 hapo tayari 5,000,000

Kupalilia kama ukipalilia kwa heka 30,000 hapo tayari 3,000,000

Kupanda kama unapanda kwa hela 30,000 hapo tayari 3,000,000

Kuvuna kama utavuna kwa heka sh 30,000 hapo tayari 3,000,000

Kama utaweka ulinzi wa mali zako shambali kuna gharama

Kama uta pack kwenye magunia ni gharama ya kila gunia na gharama ya labour.Kama ni hatua itabidi usafirishe mzigo uje mjini au kwenye ghala.Kama utaweka manager/Bwana shamba itabidi nae alipwe.Na wewe mwenyewe itabidi ujilipe gharama zako nauli , muda nk.Haya ni makisio yangu tu bro sijui huko kwako Morogoro gharama zipoje ila ningekuwa mimi ndio wewe ningeandaa angalau 20M kwa hiyo project

Kaka makisio yako ni hatare!! Thanks tho


The King.
 
hakuna mazao ya shambani yenye price garantee tanzania yetu hi,labda shairi na tumbaku.

Geba ww unajihusisha na hicho kilimo cha shairi au Tumbaku?
Kama ndio tupe somo kuhusu hayo mazao

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Tumbaku Sijawahi Kulima,,ila Shairi Na Ngano Sawa Nina Uzoefu Nazo
 
Kuhusu Mbegu za ufuta nyingi zinatoka Mtwara kwenye kituo cha utafiti Naliendele,wizara ya kilimo ina mawakala nafikiri kila mkoa

Mkuu Kuna Mbegu Inalimwa Huko Namtumbo Inatoa Mavuno Mazuri,wanasema Ni Kampuni Ya Sedco,km Unaufahamu Ya Hyo Mbegu Naomba Nielekeze Au Km Naweza Kupata Madukani.
 
Back
Top Bottom