Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Mkuu GEBA2013, tikiti linahela pengine ni usimamizi ndio ulikuangusha. Huwezi kulinganisha pato la ufuta na tikiti hata siku moja. Dunia ya sasa unatakiwa ufanye uzalishaji wenye uhakika wa kutoboa. Mi sifanyi kilimo cha kutegemea mvua hicho walifanya mababu!
Ni mara 100 nikalima ekari2 ntakazozimudu na nikawa na uhakika wa mavuno kuliko ekari mia huku nikiumiza kichwa na shingo kila kukicha nikiomba neema ya mvua.
Fanya vzr mahesabu yako na tafakari kwa kina kile nilichokiandika hapo juu kwani nina uhakika wa nisemacho.
Kama huamini kwamba sh milioni3 haiwezi kuzalisha milioni40, basi njoo na hiyo hela shambani kwangu nikupe darasa nakuhakikishia hiyo hela itapatikana ndani ya siku75. Ila sharti utarudi kwenu na sh m15 tu!!
Ni mara 100 nikalima ekari2 ntakazozimudu na nikawa na uhakika wa mavuno kuliko ekari mia huku nikiumiza kichwa na shingo kila kukicha nikiomba neema ya mvua.
Fanya vzr mahesabu yako na tafakari kwa kina kile nilichokiandika hapo juu kwani nina uhakika wa nisemacho.
Kama huamini kwamba sh milioni3 haiwezi kuzalisha milioni40, basi njoo na hiyo hela shambani kwangu nikupe darasa nakuhakikishia hiyo hela itapatikana ndani ya siku75. Ila sharti utarudi kwenu na sh m15 tu!!
Last edited by a moderator: