Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Sorry kwa thread yangu kukatika. kwa hiyo kwa maelezo hayo na mengine mengi sio kilimo kizuri sana lakini ni biashara nzuri sana na hio inatokana na kwamba inahitaki mtaji mkubwa ili kufanya kwa hiyo competition kwa watamyabiashara wadogo inakuwa ndogo mimi nilianza na mtaji wa 6m lakini ndani ya mwezi mmoja nina faida ya 6m nilifarijika sana so kama mtu anataka kujua namna ya biashara ya mazao naweza msaidia lakini kilimo chake hapana maana sikupata matarajio niliotaka.

Ungetusaidia hzo matarajio ulizokosa.embufunguka mkuu.
 
Nilifanya kilimo eneo la wilaya ya masasi mtwara, now changamoto kubwa ua mwaka huu ni kutokanama na kwamba watu wengi sana walilima na hii ni kutokama na bei nzuri ya mwala jana. changamoto ni kuwepo kwa gharama nyingi za maandalizi mpaka siku ya mwisho ya kuuza unatumia pesa.

Mfano unahitaji kuwa na shamba kufyeka 60,000 kwa ekari kung'oa visiki 30,000 kwa eka kulima 60,000 kwa eka kupanda 15,000 kwa eka kupalilia 20,000 kwa eka upuliziaji dawa 15,000 kwa ekari dawa ya kuua wadudu, dawa ya kukuzia 20,000 kwa ekari dawa ya kuua magugu kabla ya kulima 15,000*2 kwa eka na gharama nyingine za upepetaji ufuta nk. na mwisho ni changamoto ya bei pis inabidi kuwa mwangalifu katika kuacha nafasi kati ya shina na shina na mwisho ni bei ya kuuzia ambayo inayumba sana kutegemeana na soko.
 
nilifanya kilimo eneo la wilaya ya masasi mtwara . nw changamoto kubwa ua mwaka huu ni kutokanama na kwamba watu wengi sana walilima na hii ni kutokama na bei nzuri ya mwala jana. changamoto ni kuwepo kwa gharama nyingi za maandalizi mpaka siku ya mwisho ya kuuza unatumia pesa. mfano unahitaji kuwa na shamba kufyeka 60,000 kwa ekari kung'os visiki 30,000 kwa eka kulima 60,000 kwa eka kupanda 15,000 kwa eka kupalilia 20,000 kwa eka upuliziaji dawa 15,000 kwa ekari dawa ya kuua wadudu, dawa ya kukuzia 20,000 kwa ekari dawa ya kuua magugu kabla ya kulima 15,000*2 kwa eka na gharama nyingine za upepetaji ufuta nk. na mwisho ni changamoto ya bei pis inabidi kuwa mwangalifu katika kuacha nafasi kati ya shina na shina na mwisho ni bei ya kuuzia ambayo inayumba sana kutegemeana na soko.

Asante sna mku hyo changamoto naweza kuikabili. Vipi kuhusu mbegu bora na pato lake kwa eka ni gunia ngapi?vp unajua kuhusu mbegu ya kampuni sedco?nasikia wanambegu nzuri ya ufuta.

Msaada pls.
 
Mkuu nakusumbua sbb nataka nipate marifa zaidi ya ufuta sbb nampango wakulima na ndyo naenda kwnye mandalizi yenyewe.
 
Asante sana mku hyo changamoto naweza kuikabili.vp kuhusu mbegu bora na pato lake kwa eka ni gunia ngapi?vp unajua kuhusu mbegu ya kampuni sedco?nasikia wanambegu nzuri ya ufuta.msda pls.

Kuhusu kujua mbegu gani ni nzuri kwa sasa suala la mbegu sio shida kabisa ika ikubidi uwahi kununua mimi nilinunua mwaka jana kwa tsh 5500/kg na nikanunua na dawa kwa ajili ya kutibu mbegu unachotakiwa kufanya ni kuwahi kununua mbegu mfano kwa sasa unaweza pata hata kwa tsh 3000/kg lakini huwa ibapanda mpaka 8000/kg hivyo ni vema kuwahi kupata mbegu mapema maana ukikosa mbegu utakuwa kile ulichofanya ni bure.

Jambo jingine kwa wanaofanya kilimo kikubwa ni vema kuwa na uhakika wa wafanyakazi, kama umepanga kulima kwa trekta kuwa na plan B ya kulima kwa jembe la mkono kwa muda uleule mara nyingi watu wa trekta ni wasumbufu na mimi hili lilinigharimu maana walishindwa kulima kwa kuwa shamba lilikuwa halijasafishwa vizuri na hata hivyo ni wadumbufu kwa ujumla sijui huko kwako.
 
asante sna mku hyo changamoto naweza kuikabili.vp kuhusu mbegu bora na pato lake kwa eka ni gunia ngapi?vp unajua kuhusu mbegu ya kampuni sedco?nasikia wanambegu nzuri ya ufuta.msda pls.

Kuhusu kujua mbegu gani ni nzuri kwa sasa suala la mbegu sio shida kabisa ika ikubidi uwahi kununua mimi nilinunua mwaka jana kwa tsh 5500/kg na nikanunua na dawa kwa ajili ya kutibu mbegu unachotakiwa kufanya ni kuwahi kununua mbegu mfano kwa sasa unaweza pata hata kwa tsh 3000/kg lakini huwa ibapanda mpaka 8000/kg hivyo ni vema kuwahi kupata mbegu mapema maana ukikosa mbegu utakuwa kile ulichofanya ni bure.

Jambo jingine kwa wanaofanya kilimo kikubwa ni vema kuwa na uhakika wa wafanyakazi,kama umepanga kulima kwa trekta kuwa na plan B ya kulima kwa jembe la mkono kwa muda uleule mara nyingi watu wa trekta ni wasumbufu na mimi hili lilinigharimu maana walishindwa kulima kwa kuwa shamba lilikuwa halijasafishwa vizuri na hata hivyo ni wadumbufu kwa ujumla sijui huko kwako.
 
Wadau wa zao la ufuta. Leo nimeona niendelee kutoa uzoefu kidogo niliopata katika hiki kilimo. mambo mengine ya kuzingatia ni pamoja na yafuatayo.

1. Andaa shamba lako mapema shamba zuri kwa kilimo cha ufuta ni shamba jipya kama unaweza pata ambalo halijawahi limwa hivyo unafyeka kisha unachoma nyasi nyasi na kutoa visiki kama unampango wa kulima kwa trekta,kumbuka shamba lisilotuamisha maji tafadhali

2. Baada ya kusafisha shamba subiri kidogo nyasi ziote ila hakikisha nyasi hazioti hadi kutoa maua baada ya hapo piga dawa ya kuua nyasi dawa ya kuua nyasi hupulixiwa kipindi cha jua. Kuua nyasi kunasaidia kupunguza ugumu wa palizi na kuongeza mbolea baada ya nyadi kukauka ndani ya siku 14 lima shamba lako

3. Anza kuandaa mbegu zako na hii itategemea kama mbegu zako zimeshawekwa dawa ama bafo jama hazijawekwa dawa weka dawa ya kuxuia wadudu waharibufu ili zisishambuliwe mara tu baada ya kupanda.

4. Panda mbegu zako kwa kufuata vipimo sahihi kati ya mstari na mstari na shina kwa shina.

Hizo ndizo hatua za mwanzo kabisa nitaendelea kudadafua siku zijazo.
 
Kwa wale wanaohitaji mbegu wanaweza wasiliana nami.

Mbegu yako ni ya kampuni gani? nimepata shamba km eka mia moro ila inahitaji kusafishwa sbb ni shamba jipya.vp unaweza ukanisaidia uwezekano wakupata shamba lingne yakukodi lililosafishwa?yenye uwezekano wakulima na trecta?msaada pls kwako na kwa wengneo wahumu na nje ya jf{wasomaji} 0752317974,wanicheki kwenye hi namba
 
mbegu yako ni ya kampuni gani?nimepata shamba km eka mia moro ila inahitaji kusafishwa sbb ni shamba jipya.vp unaweza ukanisaidia uwezekano wakupata shamba lingne yakukodi lililosafishwa?yenye uwezekano wakulima na trecta?msaada pls kwako na kwa wengneo wahumu na nje ya jf{wasomaji} 0752317974,wanicheki kwenye hi namba

Suala la mbegu sio shida kama ambavyo mimi nilifikiri lakini ni shida kama hujui utapata wapi. Kama unahitaji mbegu za kampuni basi wasiliana na watu wa Naliendele Chuoni, Lakini kwa huku kusini wengi wanatumia mbegu hiyo ya lindi white kutokana na kuzaa sana na hasa wakulima wengi hubakiza mbegu kwa ajili ya msimu unaofuata hivyovnaweza kukusaidia kupata mbegu hiyo kwa bei nzuri na ukapata mafanikio.
 
Poa nimekupata,,,vp kuhusu shamba?naweza kupata shamba lililosafishwa?
 
Ninalo ambalo nilifanyia kazi mwaka jana ekari 15 zipo okey 15 nyingine zinahitaji kusafishwa tema ni shamba jipya na lina rutuba

Iko sehemu gani hyo shamba.taget ni shamba lilosafisha yakuingiza tractor.mashamba yasiyosafisha tunazo moro na tanga ila mda nikm hautaturuhusu kusafisha kwa mda nakuwah kilimo.taget yetu ni eka mia iliyosafishwa, kama unaweza kutupatia tutashukuru.
 
Iko sehemu gani hyo shamba.taget ni shamba lilosafisha yakuingiza tractor.mashamba yasiyosafisha tunazo moro na tanga ila mda nikm hautaturuhusu kusafisha kwa mda nakuwah kilimo.taget yetu ni eka mia iliyosafishwa.km unaweza kutupatia tutashukuru.

Mkuu GEBA2013 Sema uletewe vijana wa kung'oa visiki kwenye hilo shamba lenu. Msimu wa kulimo bado mbali sana mpaka Feb hecta 25 watakuwa wamebomoa.

Cha muhimu zaidi nunueni chainsaw wakati madogo wanang'oa miti nyie huku nyuma mnalingua magogo na kufunga biwi au mnaimport Wamalila kutoka mbeya special kwa kuchoma mkaa. Ndani ya miezi sita shamba litakuwa jeupe pee tayari kwa kulima na tractor.
 
Last edited by a moderator:
Iko sehemu gani hyo shamba.taget ni shamba lilosafisha yakuingiza tractor.mashamba yasiyosafisha tunazo moro na tanga ila mda nikm hautaturuhusu kusafisha kwa mda nakuwah kilimo.taget yetu ni eka mia iliyosafishwa.km unaweza kutupatia tutashukuru.

Hapana kwa kiasi kikubwa kama hicho sio rahisi kukuhakikishisia labda kwa maeneo ya kilwa na nachingwea kuna watu wanalima sana pamoja na liwale ksma una mtu huko anaweza kukusaidia.
 
Back
Top Bottom