GEBA2013
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 4,880
- 6,047
Sorry kwa thread yangu kukatika. kwa hiyo kwa maelezo hayo na mengine mengi sio kilimo kizuri sana lakini ni biashara nzuri sana na hio inatokana na kwamba inahitaki mtaji mkubwa ili kufanya kwa hiyo competition kwa watamyabiashara wadogo inakuwa ndogo mimi nilianza na mtaji wa 6m lakini ndani ya mwezi mmoja nina faida ya 6m nilifarijika sana so kama mtu anataka kujua namna ya biashara ya mazao naweza msaidia lakini kilimo chake hapana maana sikupata matarajio niliotaka.
Ungetusaidia hzo matarajio ulizokosa.embufunguka mkuu.