Kilimo chenye viashiria vya faida kubwa

Kilimo chenye viashiria vya faida kubwa

Nilimsikiliza jamaa mwny Co. Ya Malembo farm kwny kipindi cha kina masudi kipanya pale clouds+ cha saa 2 usiku.

Akasema sa hivi kinacho trend huko mitandaoni/mashambani ni kilimo cha parachichi(HASS) anasema wakulima wanalima sana na wote ukiwauliza mtauzia wapi wanakwambia Ulaya,ukiwauliza Ulaya nchi ipi maana sio nchi zote tunafanya nao biashara hawana majibu,ukiwauliza mnajua ni standards gani hizo nchi za ulaya zinataka ili kununua hayo matunda wao hawana majibu ila wanakwambia tu cha msingi iwe ni aina ya HASS.

Yajayo yanafurahisha,Parachichi inaenda kua kama kilimo cha Tikitimaji.
Mkuu, wewe peke yako ndio umenielewa. Mimi ni mkulima wa hass nimepitia mengi najua ninachokiongea... Huko kwenye kukidhi vigezo vya soko la ulaya ni mbilinge kweli kweli
 
Mkuu, wewe peke yako ndio umenielewa. Mimi ni mkulima wa hass nimepitia mengi najua ninachokiongea... Huko kwenye kukidhi vigezo vya soko la ulaya ni mbilinge kweli kweli
Mkuu nadhani ni bora wangetafuta experience kutoka kwa watu wenye uzoefu kama kwako na kwingineko kuliko waendelea kupeana moyo na mwisho wa siku iwe ni hasara kwao.

Kufikia hizo standards za ulaya imekua ni tatizo kwny mazao mengi kutoka huku kwetu.
 
Masoko yapo miaka yote ila kwa ajili ya wizara kubana sana kuhusu vibali hili ndio tatizo kubwa kwetu

Fursa ni nyingi na mazao na matunda ya kila aina yapo ila tutaishia kupeleka Kenya tu aidha kwa kificho au ki halali lakini kwa Ulaya soko wanalo wao maana sisi tumeshindwa kabisa kwa uzembe wa na roho mbaya sijui kwa Wizara husika au gov kwa ujumla

Ukiangalia supermarkets Ulaya utaona [emoji1649] zimeandikwa kuwa zimetoka SA, Kenya au Ug
Utaratibu wa kutoa vibali uangaliwe upo kwani tunapoteza fursa nyingi sana huku tukisifia sisi ndio kaka wakubwa wa EA
 
Mimi naamini kotu kizuri kinaweza kuwa na changamoto fulani, lakini changamoto hizo hazipaswi kuwarudisha nyuma watu wenye mawazo ya kusonga mbele.

Ninawaomba mliotutangulia kwenye harakati hizi muwe wawazi na wakweli mtusaidie kusema changamoto halisi.

Pia mtuambie nini ushauri wenu je watu walime parachichi au waache. Na katika kila jibu njooni na namna ya msaada.

Sidhani kama maisha yangekuwa hayana changamoto tungeishia kuwa watu mbumbumbu. Changamoto ndio akili.

Na sina iman kwamba hakuna uhitaji wa parachichi , eti kwamba mashamba yaliyopo yanatosha, kama ni hvo tujuezeni.

Asanteni karibuni tuendelee kujifunza .,...
 
Masoko yapo miaka yote ila kwa ajili ya wizara kubana sana kuhusu vibali hili ndio tatizo kubwa kwetu

Fursa ni nyingi na mazao na matunda ya kila aina yapo ila tutaishia kupeleka Kenya tu aidha kwa kificho au ki halali lakini kwa Ulaya soko wanalo wao maana sisi tumeshindwa kabisa kwa uzembe wa na roho mbaya sijui kwa Wizara husika au gov kwa ujumla

Ukiangalia supermarkets Ulaya utaona [emoji1649] zimeandikwa kuwa zimetoka SA, Kenya au Ug
Utaratibu wa kutoa vibali uangaliwe upo kwani tunapoteza fursa nyingi sana huku tukisifia sisi ndio kaka wakubwa wa EA
Inawezekana walioshika vibali ndio wafanyabiashara so wanadhani wakiwapeni vibali mtawaovertake kwa hiyo wanabana ili wao waendelee kuwa wanufaika
 
Nilimsikiliza jamaa mwny Co. Ya Malembo farm kwny kipindi cha kina masudi kipanya pale clouds+ cha saa 2 usiku.

Akasema sa hivi kinacho trend huko mitandaoni/mashambani ni kilimo cha parachichi(HASS) anasema wakulima wanalima sana na wote ukiwauliza mtauzia wapi wanakwambia Ulaya,ukiwauliza Ulaya nchi ipi maana sio nchi zote tunafanya nao biashara hawana majibu,ukiwauliza mnajua ni standards gani hizo nchi za ulaya zinataka ili kununua hayo matunda wao hawana majibu ila wanakwambia tu cha msingi iwe ni aina ya HASS.

Yajayo yanafurahisha,Parachichi inaenda kua kama kilimo cha Tikitimaji.
Parachichi haiwez kuwa kama tikiti mkuu.
 
Inawezekana walioshika vibali ndio wafanyabiashara so wanadhani wakiwapeni vibali mtawaovertake kwa hiyo wanabana ili wao waendelee kuwa wanufaika

Hapana
Hawana akili kiasi hicho kwani wangejulikana na pia biashara kama hizi ni kubwa sana kiasi kwamba hata wakiwa maelfu bado zitabaki

Ni uzembe na uhasidi tu hawana lolote au kutokuwa na maono

Mbona Kenya na UG wanasafirisha sana nje mpaka Supermarkets kubwa ulaya tunanunua na zimeandikwa kuwa zinatoka kwao
Ila huwezi kuona hata siku moja za Tz

Tatizo letu pia ni moja supplier wanahitaji mzunguko wa bidhaa kila wakati kwa hiyo tunahitaji sana umwagiliaji badala ya kusubiri mvua tu
 
Hapana
Hawana akili kiasi hicho kwani wangejulikana na pia biashara kama hizi ni kubwa sana kiasi kwamba hata wakiwa maelfu bado zitabaki

Ni uzembe na uhasidi tu hawana lolote au kutokuwa na maono

Mbona Kenya na UG wanasafirisha sana nje mpaka Supermarkets kubwa ulaya tunanunua na zimeandikwa kuwa zinatoka kwao
Ila huwezi kuona hata siku moja za Tz

Tatizo letu pia ni moja supplier wanahitaji mzunguko wa bidhaa kila wakati kwa hiyo tunahitaji sana umwagiliaji badala ya kusubiri mvua tu
Haya ndio maoni bora ya uboreshaji wa kilimo na sio vinginevyo... Hongera saana mkuu kwa kuja na wazo mbadala.... Supplier consistence due consistent fruits availability.
 
Haya ndio maoni bora ya uboreshaji wa kilimo na sio vinginevyo... Hongera saana mkuu kwa kuja na wazo mbadala.... Supplier consistence due consistent fruits availability.

Mkuu kuna wanunuzi nilienda kuongea nao na kumuuliza kwanini hawana matunda na mboga toka Tz?
Akasema kama naweza kuleta kila wakati pindi anapohitaji sawa

Ila kwa masharti ya order zikitoka anakupa siku tatu kabla na uwe umepakia mzigo
Linataka uwekezaji mzuri na bidhaa kupatikana kila wakati
Hapo umwagiliaji ni lazima

Matunda na mbogamboga zinalipa sana Ulaya kwani demand ni kubwa sana
 
Mkuu kuna wanunuzi nilienda kuongea nao na kumuuliza kwanini hawana matunda na mboga toka Tz?
Akasema kama naweza kuleta kila wakati pindi anapohitaji sawa

Ila kwa masharti ya order zikitoka anakupa siku tatu kabla na uwe umepakia mzigo
Linataka uwekezaji mzuri na bidhaa kupatikana kila wakati
Hapo umwagiliaji ni lazima

Matunda na mbogamboga zinalipa sana Ulaya kwani demand ni kubwa sana
Kwa majibu hayo, ile wasiwasi ya kuwa soko liko wapi itaisha mana kumbe shida ni kutengeneza mazingira bora maana walaji wapo tena wengi
 
Kwa majibu hayo, ile wasiwasi ya kuwa soko liko wapi itaisha mana kumbe shida ni kutengeneza mazingira bora maana walaji wapo tena wengi

Soko lipo sana tena na faida kubwa tu ila tatizo ni huko hivyo vibali na mchakato utakaopitia hutakuwa na hamu
Wabunge wanajitapa wanaweza kuruka sarakasi ila masuala kama haya yanayoingizia taifa fedha za kigeni wachangiaji ni zero
 
Matunzo ni ya kawaida kama ilivyo miti mingine ya kisasa
haikuzuii kuendelea na shughuli nyingine
unataka kufananisha kilimo cha parachichi na greenhouse?
Hahaaaaaa. Hornet Kuna siku nikawa nnaangalia YouTube kilimo Bora Cha maembe. Nkaona huko Japan maembe flan mekundu eti yamepandwa kwenye greenhouse, wakati huku tunayo kawaida tu.
 
Hahaaaaaa. Hornet Kuna siku nikawa nnaangalia YouTube kilimo Bora Cha maembe. Nkaona huko Japan maembe flan mekundu eti yamepandwa kwenye greenhouse, wakati huku tunayo kawaida tu.


Mataifa ya wenzetu wasomi w kilimo kila siku wapo busy Kuibua namna mpya na rahisi za uzalishaji katika kilimo

Yaani machine, mbegu technology zinakuwa kila kukicha
 
Mkuu kuna wanunuzi nilienda kuongea nao na kumuuliza kwanini hawana matunda na mboga toka Tz?
Akasema kama naweza kuleta kila wakati pindi anapohitaji sawa

Ila kwa masharti ya order zikitoka anakupa siku tatu kabla na uwe umepakia mzigo
Linataka uwekezaji mzuri na bidhaa kupatikana kila wakati
Hapo umwagiliaji ni lazima

Matunda na mbogamboga zinalipa sana Ulaya kwani demand ni kubwa sana

Nadhani Katika hayo wanayosema ya kujiunganisha na Kenya kibiashara wangedadisi sera zao juu ya exportation watufungulie milango
 
Nadhani Katika hayo wanayosema ya kujiunganisha na Kenya kibiashara wangedadisi sera zao juu ya exportation watufungulie milango

Nakumbuka kwenye utawala wa JK alituma mpaka watu wakajifunze mpaka namna ya Packaging lakini yaliishia wapi sijui

Kitu tunachohitaji ni kufungua wigo hili la uuzaji kwenye mataifa makubwa na kupata vibali kwa urahisi zaidi
Kama wakikubali kutoa vibali bila longolongo nyingi wengi wangefanya

Lingine tunahitaji umwagiliaji sana ingawa wengi hawachangamkii hizi fursa

Ni mradi unaotaka mtaji na dedication
 
Back
Top Bottom