mwagito25
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 633
- 352
- Thread starter
- #41
Tatizo tunakosa mpango wa kitaifa kushughulikia mambo yetu. Maana haiwezekani mtu utumie gharama kubwa afu kusio na mwendelezo.
Tunachoomba viongozi wawe na dhamira ya dhati katika kuleta mafaniko katika sekta nyingi hasa kilimo maana ndio uti wa mgongo
Tunachoomba viongozi wawe na dhamira ya dhati katika kuleta mafaniko katika sekta nyingi hasa kilimo maana ndio uti wa mgongo