Kwanini chainsaw hairuhusiwi Tanzania mkuu? Maana madukani zipo na zinauzwa kihalali kabisa.Mkiwa nje mnaota ndoto za mchana kwa kutheorize fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika. Kwa taarifa yako chainsaw hairuhusiwi hapa Tanzania
Afadhali wewe umeuliza ili upate ufahamu. Si hao mahoka wanahemka tu. Kwanza kuna vi chain saw vidogo vya kukata kama matawi au miti havikatazwi. Chain saw zinazokatazwa ni za kuchana mbao.
Chain saw hairuhusiwi kwa sababu inaharibu mbao. Mti ambao ukitumia msumeno wa kawaida unatoa mbao 10, ukitumia chain saw utapata mbao 7 au pungufu hivyo ni hasara kwa mkulima wa miti ya mbao. Ndiyo maana inakatazwa ili kumlinda mkulima
Acha kupotosha. Mi namiliki chainsaw Husqavarna 272 made in Brazil na zinauzwa maduka mengi tu pale mnara wa saa Dar es salaam au samora avenue. Na mafundi wanaziwasha mchana kweupe kuzitengeneza tena wanatengenezea nje kabisa.Mkiwa nje mnaota ndoto za mchana kwa kutheorize fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika. Kwa taarifa yako chainsaw hairuhusiwi hapa Tanzania
Nazungumzia reality.Kama mmeamua kujifurahisha sawa, lakini kama mnazungumzia reality kwa wahusika hii kitu ya 20 acres kwa wengi haitekelezeki, tena mbaya zaidi hata kwa wenye ajira, wafanyakazi wengi wanalia mishahara duni, bila mikopo hapa mnapiga story tu, na usilete habari ya whatsap ambazo hata sizijui zikoje.
Kama hutaki Tanzania iwe na wakulima wengi ni kwasababu ya ubinafsi wako, watu wanatafuta namna ya kutoka haijalishi wanatokaje bora watoke kihalali, na zaidi nikuulize wewe umeajiri wangapi kuwaondoa walipo? umepunguza wangapi kwenye hiyo 67% au unatembea na namba za kwenye vitabu tu ulizotoka nazo chuo?
Badala useme serikali itengeneze mazingira ya watu kujiajiri unataka watu wenyewe wajitengenezee mazingira!
Rafiki unaendeleaje?Kweli
Jibu #39Kwanini chainsaw hairuhusiwi Tanzania mkuu? Maana madukani zipo na zinauzwa kihalali kabisa.
Mimi ni mkulima wa miti ya mbao. Nakueleza kitu cha uhakika. Kama unapinga muulize Afisa misitu ili upate ukweli. Aidha uliza watu wa kutoka Moshi wakueleze kuwa mlio tu wa chain saw ni hatari mpaka watu wanawashia ndani ya ndoo.Acha kupotosha. Mi namiliki chainsaw Husqavarna 272 made in Brazil na zinauzwa maduka mengi tu pale mnara wa saa Dar es salaam au samora avenue. Na mafundi wanaziwasha mchana kweupe kuzitengeneza tena wanatengenezea nje kabisa.
Hata hapa mjini Dsm tumeenda kukata miti ya minazi na kucharanga mbao jirani kabisa na kituo cha polisi Sitakishari ina maana polisi walisikia inaanguruma na sio siku moja kama masaa 6 kwa siku.
Kama huna uhakika ja kitu kaa kimya bro. Usilte story za vijiweni.
Mi mkulima nina shamba eka lina miti kibao. Unadhani unasafishaje ile miti yote mikubwa. Kile ni kitendea kazi.
Ni sawa kusema tusitumia ng'ombe wanaumia au tunawatesa tutumie jembe tu la mkono nikifananisha.
Usidhani serikali haina macho au imejaa wajinga.
Kuna taratibu za kitumia chainsaw
Usiseme Tanzania. Sema hukp kwenu.
Sijui umemwandikia nani huu uzi . Kama ulivyosema kilimo ni gharama. Mtu anayeweza kulima heka 20 ni tajiri. masikini halimi ekari 20Kilimo kinahitaji uwekezeji mkubwa, nikiangalia wale settlers wa Zimbabwean na South Africa waliweka pesa nyingi kwenye kilimo na wanazalisha vyakula kwa wingi. Wakati wa British East Africa, wazungu waliopenda kulima walipewa ardhi lakini kwa masharti ya kuonyesha bank statement inayoonyesha una pesa ya kutosha kuendeleza ardhi.
Anza na heka 20 tu lakini uwe na nyumba bora ya kuishi, ghala la chakula, ukiwa kwenye remote area ambako ndiko kwenye ardhi ya kutosha ni muhimu uwe na wafanyakazi wawili wa kukusaidia. Hawa wanajitaji nyumba zao, licha ya kuwa na uhakika nao kila siku, pia watasaidia ulinzi.
Kwa ufupi tu, uwe na tractor, wheel barrow moja au zaidi, majembe, mapanga, nyundo, shoka, tree chainsaw kwa kukatia miti, usafiri hata Rav4 old model inatosha.
Tunaposema vijana wajiajiri ardhi tunayo, tuyafikirie haya pia.
View attachment 1704212
View attachment 1704214
View attachment 1704217
#39 SIO JIBUJibu #39
Uzi unahusu kukata mbao, it seems unatumia nguvu kuhamisha mada just kulisha hoja zako dhaifu.Mimi ni mkulima wa miti ya mbao. Nakueleza kitu cha uhakika. Kama unapinga muulize Afisa misitu ili upate ukweli. Aidha uliza watu wa kutoka Moshi wakueleze kuwa mlio tu wa chain saw ni hatari mpaka watu wanawashia ndani ya ndoo.
Acha kuleta story zako za kuambiwa hizo...Afadhali wewe umeuliza ili upate ufahamu. Si hao mahoka wanahemka tu. Kwanza kuna vi chain saw vidogo vya kukata kama matawi au miti havikatazwi. Chain saw zinazokatazwa ni za kuchana mbao.
Chain saw hairuhusiwi kwa sababu inaharibu mbao. Mti ambao ukitumia msumeno wa kawaida unatoa mbao 10, ukitumia chain saw utapata mbao 7 au pungufu hivyo ni hasara kwa mkulima wa miti ya mbao. Ndiyo maana inakatazwa ili kumlinda mkulima
Usiseme Tanzania ndugu Afisa misitu hata huku wapo mbona unakuwa mtu wa ajabu kwani kuna serikali ngapi. Mi nalima kisarawe. Tuambie wewe uko wapi kwenye sheria za ajabu.Mimi ni mkulima wa miti ya mbao. Nakueleza kitu cha uhakika. Kama unapinga muulize Afisa misitu ili upate ukweli. Aidha uliza watu wa kutoka Moshi wakueleze kuwa mlio tu wa chain saw ni hatari mpaka watu wanawashia ndani ya ndoo.
Ha ha ulilima nini bro Slowly mi bado nimekomaaMi nishawah kufanya kilimo aiseee pesa ilinitoka kinyama , uzuri nilipoivisha nikauz nikapata pesa nyingi Kwa mkupuo nikakimbia kabisa Pori Ila nitarudi tena ...!! Kilimo bila pesa ni ngumu kuchomoka
Mkuu niligonga mpunga aisee ilikuwa noma Sana broHa ha ulilima nini bro Slowly mi bado nimekomaa
Acha dharauHiyo robo ekari mbuzi akipita unadhani utabaki na kitu!!
Ninazo heka 50 karibu na mkata, kama vipi njoo hayo mawazo yako tupige partnershipMm mwenyewe nataka kulima. Natafuta pori la ekari 50+ nimiliki kihalali niingie mzigoni soko langu wakazi wa Dar na Dodoma nataka nilime nifuge Ng'ombe,Mbuzi,Kondoo,Nguruwe na Samaki
Ni kitu gani kinastawi hapo vizuriNinazo heka 50 karibu na mkata, kama vipi njoo hayo mawazo yako tupige partnership
Kumbe siku hizi kumiliki chainsaw ni kama kumiliki silaha ya moto bila kibali!!!!? Kweli maendelea acha tuyaone kwa wenzetu.Mkiwa nje mnaota ndoto za mchana kwa kutheorize fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika. Kwa taarifa yako chainsaw hairuhusiwi hapa Tanzania
Trekta si kama mil 30 kwa watu watano watachanga kila mtu 6m,😀Tufikirie jinsi ya kutatua hili. Manaweza kucha ga pesa watu watano katika Wilaya moja mkanunua trekta na kila mtu akalitumia kwa wiki moja msimo wa kilimo.