TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Siyo Mikoa yote imeweka katazo la kutumia Chainsaw.Mkiwa nje mnaota ndoto za mchana kwa kutheorize fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika. Kwa taarifa yako chainsaw hairuhusiwi hapa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Mikoa yote imeweka katazo la kutumia Chainsaw.Mkiwa nje mnaota ndoto za mchana kwa kutheorize fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika. Kwa taarifa yako chainsaw hairuhusiwi hapa Tanzania.
Sijambo kwa asilimia kubwa sn. ThanksRafiki unaendeleaje?
mlio wa chainsaw Kilimanjaro ni kisanga mkuu, lazima uwe na kibali cha kuimiliki kutoka maliasili, na hata miti utakayoenda kuikata mwenye miti awe ameomba kibali cha kukata hiyo miti pia. Vinginevyo Chainsaw inataifishwa na unafungwa pamoja na faini JuuMimi ni mkulima wa miti ya mbao. Nakueleza kitu cha uhakika. Kama unapinga muulize Afisa misitu ili upate ukweli. Aidha uliza watu wa kutoka Moshi wakueleze kuwa mlio tu wa chain saw ni hatari mpaka watu wanawashia ndani ya ndoo.
Tusichielewa ni kwa nafaka ni utajiri wa kwanza duniani. Katika heka 20 unaweza kuacha heka mbili za chakula chako cha ziada kama mihogo, migomba na viazi vitamu. Ukiacha heka 18 kwa nafaka kama mpunga au mahindi.Nazungumzia reality.
Karibu asilimia 90 au zaidi ya watanzania wana angalau ndugu anayeishi kwa kutegemea peasantry. Wazazi wangu pia wamesomeshwa na kukuzwa na kilimo hicho kidogo.
Ila hali yao kimaisha ilikuwa ya tabu sana na ni hali ambayo siyo lengo la mwanadamu kuishi hasa wakati huu. Kwa hiyo kuendelea na kilimo kidogo hakutainua hali ya maisha ya mtanzania au binadamu kwa ujumla.
Kilimo inatakiwa kiwe kikubwa na kiwe industrialized ili wananchi waweze kunfaika either directly au indirectly. Otherwise wewe utakuwa unapiga hatua mbili mbele na mbili nyuma at the same time.
Hayo mambo ya ubinafsi wangu sijui nini, sidhani kama nina muda au haja ya kujadili.
Kuhusu serikali kutengeneza mazingira, hizo ni ndoto za alinacha ambazo zimepandikizwa vichwani mwenu. Haitatokea serikali itakayokutengenezea mazingira bila wewe kutengeneza mazingira ya serikali kukutengenezea mazingira.
Labda serikali za Ulaya na America ziwatengenezee mazingira, na watakuomba usiwafokee tafadhali.
😍😍😍Sijambo kwa asilimia kubwa sn. Thanks
Kilimo kinahitaji uwekezeji mkubwa, nikiangalia wale settlers wa Zimbabwean na South Africa waliweka pesa nyingi kwenye kilimo na wanazalisha vyakula kwa wingi. Wakati wa British East Africa, wazungu waliopenda kulima walipewa ardhi lakini kwa masharti ya kuonyesha bank statement inayoonyesha una pesa ya kutosha kuendeleza ardhi.
Anza na heka 20 tu lakini uwe na nyumba bora ya kuishi, ghala la chakula, ukiwa kwenye remote area ambako ndiko kwenye ardhi ya kutosha ni muhimu uwe na wafanyakazi wawili wa kukusaidia. Hawa wanajitaji nyumba zao, licha ya kuwa na uhakika nao kila siku, pia watasaidia ulinzi.
Kwa ufupi tu, uwe na tractor, wheel barrow moja au zaidi, majembe, mapanga, nyundo, shoka, tree chainsaw kwa kukatia miti, usafiri hata Rav4 old model inatosha.
Tunaposema vijana wajiajiri ardhi tunayo, tuyafikirie haya pia.
View attachment 1704212
View attachment 1704214
View attachment 1704217
Sio kweli mwaka jana mwezi wa 11 tumenunua chain saw kariakoo tena mpya kabisaAfadhali wewe umeuliza ili upate ufahamu. Si hao mahoka wanahemka tu. Kwanza kuna vi chain saw vidogo vya kukata kama matawi au miti havikatazwi. Chain saw zinazokatazwa ni za kuchana mbao.
Chain saw hairuhusiwi kwa sababu inaharibu mbao. Mti ambao ukitumia msumeno wa kawaida unatoa mbao 10, ukitumia chain saw utapata mbao 7 au pungufu hivyo ni hasara kwa mkulima wa miti ya mbao. Ndiyo maana inakatazwa ili kumlinda mkulima
Ukweli kabisaKilimo kinahitaji uwekezeji mkubwa, nikiangalia wale settlers wa Zimbabwean na South Africa waliweka pesa nyingi kwenye kilimo na wanazalisha vyakula kwa wingi. Wakati wa British East Africa, wazungu waliopenda kulima walipewa ardhi lakini kwa masharti ya kuonyesha bank statement inayoonyesha una pesa ya kutosha kuendeleza ardhi.
Anza na heka 20 tu lakini uwe na nyumba bora ya kuishi, ghala la chakula, ukiwa kwenye remote area ambako ndiko kwenye ardhi ya kutosha ni muhimu uwe na wafanyakazi wawili wa kukusaidia. Hawa wanajitaji nyumba zao, licha ya kuwa na uhakika nao kila siku, pia watasaidia ulinzi.
Kwa ufupi tu, uwe na tractor, wheel barrow moja au zaidi, majembe, mapanga, nyundo, shoka, tree chainsaw kwa kukatia miti, usafiri hata Rav4 old model inatosha.
Tunaposema vijana wajiajiri ardhi tunayo, tuyafikirie haya pia.
View attachment 1704212
View attachment 1704214
View attachment 1704217
Kuwepo sio kuruhusiwa ndugu, kwani bangi haipo Tanzania? Je bangi inaruhusiwa? Jichanganye ukamatwe na hiyo mashine utaona moto wakeMbona zipo na zinatumika au wewe upo Kenya?
Bahati mbaya wengi wanasubiri pesa ya mafao baada ya kustaafu ndiyo wanaingiza kwenye kilimo. Kilimo kinahitaji nguvu, ukianza ukiwa 25-30 mpaka ukifika 50-55 mashamba yanajiendesha yenyewe wewe uangalizi wako uko kwenye pesaHitimisho
Tutaongea yote mwisho wa siku pesa tunatoa wapi kwa hayo
Asante pia ingesaidia Serikali ingekuwa na vituo vya ku service na vya kukodisha matractor na ushauri .kilimo iwaachie wafanye wananchi binafsi ,yenyewe ijikite kwenye uwezeshaji tuu.Wakulima wadogo wapo na wengi wamejenga, wanasomesha watoto kwa kazi hiyo ya kilimo, usiwadharau hata kidogo, na zaidi ningekuona wa maana uilaumu serikali kuwaacha waendelee kuwa walivyo, badala ya hiki unachoandika hapa ni sawa na kuwataka wakae tu wasijishughulishe na chochote mpaka watakapopata mitaji mikubwa.
Unachoongea ni sawa na kusema watu wasifikirie kuendelea na elumu ya juu, mbona darasa la saba tena wapo weMsipende kujikweza, nimewazungumzia wadogo ambao ndio wapo wengi, hiyo 20 mil. wengi wenu bila mikopo hamna, ni ndoto mnaota, kila mtu ana namna yake ya kutoka, msiwakaririshe watu wajione wana mzigo mzito mbele yao wakate tamaa kabla hata ya kuanza, na wengi humu mitandaoni hata hamlimi, huwa mnachati tu kuhusu kilimo kwenye smartphone zenu.
Iyo ni subsistence farmingKijana asie na ajira ambaye ndie kwanza ametoka chuo anataka kujishughulisha na kilimo unamshauri aanze na hekari 20? awe na nyumba na wafanyakazi wawili!
Kwanini asianze na hekari moja au nusu hekari kisha awe anajiendeleza na hekari zaidi kwa kadri anavyovuna na kuuza mazao yake?
Hii thread umewaandikia wafanyakazi wa sekta binafsi, na serikalini may be tena sio wote, lakini haipo kwa wale wanaotaka kuanza kutafuta kupitia kilimo.
Kilimo cha hekari moja siyo kilimo cha kibiashara.
Najua utakuja na mifano ya WhatsApp groups, please don't. Tanzania kuna wakulima wengi mno na hilo ni tatizo kubwa.
Kamwe kama nchi hatutaendelea tukiwa na asilimia 67 ya watu wote wanajihusisha na kilimo, we will never develop that way.
Kitakuwaje?Acha kupotosha jamii, usi-generalize mambo. Vp kama ni kilimo cha umwagiliaji hekari moja? Tena cha horticultural crops.
hongera mkuu, unafanya kilimo cha mazao gani kiongoziNakubaliana kabisa na hoja zako. Niko kwenye game naelewa nini una maanisha.
Karibuni kigamboni -buyuni. Tulime
Mkuu sitaki ugomvi na serikali. Nalima matikiti na bamia.hongera mkuu, unafanya kilimo cha mazao gani kiongozi