Kilimo kinahitaji uwekezeji mkubwa ili uone faida

Kilimo kinahitaji uwekezeji mkubwa ili uone faida

Kitakuwaje?
Si uelezee tuone mchanganuo wako kuliko kuongea maneno yasiyo na namba hata moja.
Nielezee hekari moja ya zao fulani, nitawekeza kiasi fulani na nitaingiza kiasi fulani katika kipindi cha mwaka mmoja.
C'mon lets go ....

Nikielezea namba nitaambiwa ni kilimo cha PDF au Whatsapp. Ni sawa maana namba haziwezi kuwa static kutokana na factors mbalimbali mfano hali ya hewa, masoko, soil type, irrigation etc ila we chukua mfano mkulima anayelima kilimo cha umwagiliaji kwa mazao ya mbogamboga ambayo kupanda hadi kuvuna hayazidi miezi minne ( atalima mara tatu kwa mwaka + kilimo cha umwagiliaji + hekari moja + mazao mbalimbali ya mbogamboga).
 
Bado tupo kwenye kilimo cha kwenye madaftari mkuu acha kututisha uku mambo rahisi kabisa.. eka moja ya tikiti maji inatoa tikiti elf moja.. anaebisha akajaribu🤣🤣😂
 
Nikielezea namba nitaambiwa ni kilimo cha PDF au Whatsapp. Ni sawa maana namba haziwezi kuwa static kutokana na factors mbalimbali mfano hali ya hewa, masoko, soil type, irrigation etc ila we chukua mfano mkulima anayelima kilimo cha umwagiliaji kwa mazao ya mbogamboga ambayo kupanda hadi kuvuna hayazidi miezi minne ( atalima mara tatu kwa mwaka + kilimo cha umwagiliaji + hekari moja + mazao mbalimbali ya mbogamboga).
Bado sana ndugu yangu.
Hamna haja ya kubishana, ungeona watu wanavyounguza hela, ni wengi mno na mifano ni mingi.
Works better as a supplemental income.
 
Bado sana ndugu yangu.
Hamna haja ya kubishana, ungeona watu wanavyounguza hela, ni wengi mno na mifano ni mingi.
Works better as a supplemental income.

What works for you, won’t work on my side and vice versa. Kwahiyo hao wanaotoboa kwenye kilimo wanafanyaje? Inaweza kuwa kweli wanaounguza hela ni wengi kuliko wanaotusua, ila hao wanaotusua wanafanyaje? Nadhani ukipata jibu tutakuwa tumefunga mjadala.
 
What works for you, won’t work on my side and vice versa. Kwahiyo hao wanaotoboa kwenye kilimo wanafanyaje? Inaweza kuwa kweli wanaounguza hela ni wengi kuliko wanaotusua, ila hao wanaotusua wanafanyaje? Nadhani ukipata jibu tutakuwa tumefunga mjadala.
Hakuna mwenye ekari moja anayetusua.
Najua hilo. Sasa wewe ndiyo unayepotosha.
Hakuna duniani nchi iliyoendelea kiuchumi ikawa na asilimia 20 ya watu wake wanajishughulisha na kilimo, let alone 67%.
Tujitahidi tuachane na kilimo, kilimo kie chini ya watu wachache wenye mashamba makubwa yanayoendeshwa kibiashara.
 
Kwenye nchi ambayo kuna uwekezaji mkubwa mkubwa kwenye kilimo wakulima hawatakiwi kuzidi asilimia 10 ya wananchi.....sasa hawa petty farmers inakuwa vigumu ku apply mbinu bora za kilimo na hata kuhifadi mazao na kufanya predictions za soko na kufanya bargaining hata kwenye masoko ya kimataifa.....
 
Anything, mention it. Matunda, mahindi, migomba, ufuta, mahindi...nk. Ni pori bado sijaweza kusafisha ila ni eneo potential sana na mto uko in less than 2km
Ok na barabara ikoje......gari zinapitika mpaka shamba
 
Afadhali wewe umeuliza ili upate ufahamu. Si hao mahoka wanahemka tu. Kwanza kuna vi chain saw vidogo vya kukata kama matawi au miti havikatazwi. Chain saw zinazokatazwa ni za kuchana mbao.

Chain saw hairuhusiwi kwa sababu inaharibu mbao. Mti ambao ukitumia msumeno wa kawaida unatoa mbao 10, ukitumia chain saw utapata mbao 7 au pungufu hivyo ni hasara kwa mkulima wa miti ya mbao. Ndiyo maana inakatazwa ili kumlinda mkulima

Aisee hizi akili za kijima mnazitoa wapi?

Yaani chain Saw kupigwa marufuku kisa inatoa mbao Saba badala ya kumi?

Na kutumia huo msumeno na kutumia chain saw kuna tofauti gani kiuzalishaji

Maana ukipiga hesabu ya muda unaotumika na msumeno wa wakawaida na muda unaotumika na chain saw si ajabu kiuzalishaji chain Saw unaweza kuwa na faida maradufu
 
Kwa wenzetu ardhi ni mtaji tosha ndio maana hawa wawekezaji wanaweza kuja bila hata senti wakaomba ardhi wakipewa wanaenda kwao kuchukua mikopo benki.
Hapa tina benki ya kilimo fatilia uone wati gani wanakopeshwa, wengi wanaokopeshwa sio wakulima ni wafabiashara wa kati.
Ni ngumu kwa graduate kujiajili kupitia kilimo kwani kama unavyosema kilimo kinahitaji uwekezaji ili uone manufaa yake.
 
Back
Top Bottom